Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Guten Abend. Leo nimepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa za kushikiliwa kwa kijana mmoja niliyekuwa naye kwenye project moja ya afya nchini. Alikuwa 'Index Tester'. Kijana mmoja ambaye...
12 Reactions
53 Replies
3K Views
Babu yangu namsikia kila mara anapo toa ushauri kwa wana ndoa hutumia hili neno mara kwa mara naogopa kumuuliza manaake kwasabb hayanihusu sana nasitaki kuingilia maongezi ya wa kubwa. Wajuzi wa...
3 Reactions
4 Replies
313 Views
Wakuu bado Nahitaji mke. Niliwahi kuleta Uzi humu 👇🏾👇🏾 https://www.jamiiforums.com/threads/nahitaji-mke-wa-kuoa.2087011/
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Tunaishi kwenye dunia ambayo BABA ama MWANAUME anaweza kuaga asubuhi anaenda kibaruani ama mishe mishe ili kuipa moyo familia kuwa wataiona siku, japo uhalisia hana anapokwenda. Tunaishi kwenye...
0 Reactions
10 Replies
900 Views
Sina maana ya kuwa mmbea ama kumkandia dada yangu ila hii ndio hali halisi ya matatizo haya ya sasa yanayofanya ndoa nyingi kubomoka, mimi nimeleta case study. Mifano ipo mingi sana juu ya...
55 Reactions
167 Replies
9K Views
Nahisi km nimeharibu hpa maana baada ya kunitumia msg ya kwnza nikamjibu "sawa usijali" ila msg haikuwa delivered ila imekuja kuwa delivered baada ya yy kutuma msg ya pili, toka hpo nimeharibu...
1 Reactions
8 Replies
668 Views
Wakuu amani kwenu, leo nami nimewiwa na haja ya kutoa mchango wangu kuhusu umri sahihi umpasao binti kuolewa. Mada hii imezua mijadala mingi nchini kwa sasa hasa baada ya viongozi wa kiimani wa...
16 Reactions
154 Replies
7K Views
Wandugu, Ni sababu zipi za msingi zinazopelekea watu wanaopendana kusalitiana?
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimesikiliza mahojiano ya alokuwa mke wa Mwaka,kiukweli wanaume wa kitanzania waachane na habari za kuoa wake wengi hawawezi kabisa kuwamudu na kujimudu wao kiakili,mwanamke alikuwa mkeo kakuzalia...
26 Reactions
276 Replies
9K Views
Kutoka kitabu desturi za wasuaheli (Waswahili) Iwapo kijana mboo yake ndogo, huzungumza kwa mganga — ya kama: "mimi Uume wangu mdogo, vijana wanawake wananicheka. " mganga hujibu: "nipe mchele...
7 Reactions
25 Replies
4K Views
Hii imetokea leo mitaa fulan huku Daslam. Ipo hivii, jamaa na huyo mwanamke ni wapenzi wa muda mrefu sana, mahusiano yao yalifika mbali kiasi kwamba, huyu jamaa alifahamika na baadhi ya ndugu wa...
16 Reactions
66 Replies
3K Views
Kuna kilio kikubwa Kwa wanaume kujilaumu Kwa kutumia dk chache na kufika kileleni na kuacha wenza wao hawajaridhika wawapo kitandani. Kutokana na changamoto hii Kuna watu wanalishwa midawa hata...
4 Reactions
53 Replies
3K Views
1.kuwa msafi mda wote ,haijalishi unakipato gani jitahidi uvae vizuri unyoe vizuri. hamna kitu wanawake wanapenda kama mwanaume msafi hasa ukivaa nguo nyeupe 2.Harufu nzuri. Hakikisha unanukia...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Kama ulizaa na mwanaume mwingine kabla kwanini umpeleke kwenye Ndoa mpya? Inatosha tu kumjulisha mume mpya kuwa ulishawahi kuzaa kabla tena umfahamishe kipindi cha Urafiki au Uchumba. Unaongeza...
7 Reactions
184 Replies
17K Views
Kuna mambo yanachekesha sana
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Watu wameoana harusi kubwa sana mashallah halafu harusi kwisha wamerudi kupanga eh Tena,?? Hivi kwanini mnaoana halafu mnaishi nyumba ya kupanga na unafamilia? Inatisha
11 Reactions
74 Replies
2K Views
Habari wandugu! Kwa heshima kubwa naomba kutoa mrejesho wa mada yangu niliyoibandika jukwaa hili la kuhitaji Mwanamke wa kuanza nae Mahusiano mapya, kiukweli wengi walikuja in box karibia...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Hi wanajukwaa Nimekuja mji x kikazi,nimefika kwenye saa 12 jion,nikabook hotel,nikaoga na kupumzika kidogo. Mida ya saa 2 usiku wadau wakanipitia room kwangu,tukatoka kupata chakula,then vile ni...
4 Reactions
8 Replies
929 Views
Wakazi wa Dodoma wana asili ya uvivu,asante JPM kuhamisha serikali Dodoma ili kuwachangamsha hawa watani zangu. Mwaka juzi nilikuwa naishi Dodoma mitaa ya Nkuhungu,nyumba haikuwa na uzio ila...
25 Reactions
62 Replies
6K Views
SHORT STORY: JANA NIMETOKA CHUO NIKAPANDA DALADALA ASEEE NIMEKUTANA NA HIYO PISI INA BONGE LA JAWLINE 😋😋 DUHH MAPUMBU YALICHEZA CHEZA ASEE NILITAMANI NIMPE LOVE BITE ILA NDO HIVYO UDOMO ZEGE...
7 Reactions
267 Replies
14K Views
Back
Top Bottom