NIFANYE NINI?
Ninashawishika sana kuanza tena kununua malaya-Dua zenu wadau
Imekua kitambo kidogo tangu nilete hapa uzi wa kuacha kununua malaya ila cha ajabu nimeanza kua tempted
Sio kwamba...
Mwanaume hanaga chaguo.
Ila mwanamke ndo anachaguo.
Mwanaume ni wa mwanamke yeyote ila mwanamke sio wa wanaume wote.
Katika vitabu vya Dini vinasema.
1 wakoritho 11:9
Wala mwanaume hakuumbwa...
Huko tweeter Kuna meme imeenda sana viral ambayo inaonyesha wanaume wamejipanga mstari wa foleni wakiwa uchi na mmoja kati yao amevaa nguo huku kashika maua wakipata huduma ya mapenzi kwa...
Wanaume wa jf sio wakweli hata kidogo ,they are not real but full of acting.
Sijapenda embu niambie Kama unamke umeoa ulinifatia nini Bobo na kuniomba WhatsApp number and then usinipigie simu...
Juzi nlikuwa na demu mmoja tumetoka wote job tukapitia kula sehemu na kunywa kidogo. Of course ni demu ambaye huwa tuna chezeana chezeana. Hatuna mapenzi ya kudumu ila tukihitajiana tunakutana...
Ebwanaeeeeeeee, za leooo.
Moja Kwa moja kwenye mada.... Hivi nyie wanawake mkoje.... Hasa mnaoshinda nyumbani wakati sisi tupo kutafuta na kuvuja majaisho huko mtaani.
Iko hivi... Mimi huwa...
Ni katika hali ya story za kuhusu masuala yanayohusu mazingira tunayoishi, Hapa namaanisha kuhusu usafi na mengineyo na Mimi ni single boy hivyo sina wa kusimamia masuala hayo zaidi ya mimi...
Iko hivi;
Kuna binti nilikua nammezea mate kinoma. Kuna mahala huwa nakunywa chai sasa huwa anapenda kuja kununua vitafunwa hapo, so nikawa namuonaona pale. Wiki mbili zilizopita nilimuomba namba...
Mtu nisiye kuwa na Mengi.
Hiyo ndiyo Idadi Rasmi ya wanawake niliotembea nao kimapenzi,humo ndani kuna kila aina ya mwanamke,lengo langu ni kufikisha idadi ya wanawake 100 ndiyo nitulize kende...
Watu wawili wanaopendana na kuishi kila mmoja kivyake ni tofauti sana na watu wanaopendana na kuishi nyumba moja.
Wapo ambao hujiuliza inakuwaje wapenzi wawili waliokuwa wanapendana na kuwa na...
Huwaga najiuliza sana, lets say wazazi wawili walitengana, sasa imefika kipindi mtoto yupo na miaka mitatu hivi analilia baba kila siku, baba akatoa sharti kwa kusema au kimafumbo kwamba ili...
Hili tatizo nimekuwa nikikutana nalo sana huku Kanda ya ziwa. Vijana wengi wa kiume wanapofika Kanda ya Ziwa hasa ule msemo wetu wa kujitafuta na Mungu akawawezesha hununua samani za ndani na...
Kwa masikitiko makubwa, mchana huu nimepokea taarifa ya "Nahisi ni mimba."
Ujuwe nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa kama hii, lakini leo nahisi kichwa kimewaka moto...
Out thereee wakuuu
Rajabu kahali born in Chitoholi Mtwara Tanzania, anadai siku hizi wanamuita tembo, Jeshi, Teacher Konde kwenye moja ya interview yake miaka isiyopungua 6 iliyopita anakiri...
Wake zenu,siyo wapenz wala wachumba, wake zenu yaani.
Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke. Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili...
Kichwa cha uzi kinajieleza.
Guys, nafikiri hawa wanawake sasa tuwapumzishe, this is too much maana halipiti lisaa limoja uzi kuhusu mwanamke uko posted. Na kibaya zaidi ni wanaume ndio wanalia...
Mnakera sana na ndiyo Wengine hivi sasa tumeamua Kubobea kununua ( Migoma ) tu kwani huwa hawana Usumbufu wala Mbambamba kama mlivyo Wanafiki na Wapuuzi nyie.
Na kwa huu Upuuzi wenu mtaendelea...
Ni maneno yalio tolewa na binti mmoja mwenye uzuri wake. Na sauti flani hivi ya kibez ikiwa na mchanganyiko na mahaba ya kudeka.
Huyu ni binti ambae nilikutana nae katika harakati za kula maisha...
Watu mwanzo wanapendana na kuishi vizuri mfano mume na mke, boyfriend na girlfriend.
Lakini inafika kipindi inaibuka chuki na visasi kati yao baada ya sintofahamu fulani kutokea kati yao.
Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.