Mwanamke anataka ajisikie unamjali.
Yaani unajali hisia zake za upendo kwako. Ila drama zake unaweza kupotezea.
Utamuonesha kujali hisia zake kwa kutenga muda kwa ajili yenu. Mkatengeneza...
Habari zetu maG.T's.,
Nahitaji ushauri nina mchumba ambaye ni mtoto wa binam yangu ananipenda sana nami pia nampenda tatizo linakuja kwa baba ake ni binam yangu ambaye tuko karibu kidogo ila...
Usingizi unapaa nanga mpaka niwawaze wanawake wazuri wazuri wenye mikia au maziwa kama yale ya kwenye video za dawa za macho.
Humu kumejaa watalamu, naomba mnipe ushauri ni kwanini?
Mambo yanayohusu mapenzi huwa yanaumiza sana pengine kuzidi kitu kingine.
Nifanyeje ili nisije umia hata nikivunjwa moyo na nitakayempenda?
Nifanyeje ili nisimpende mwanamke hata kama nitakuwa...
Unajisikiaje ikiwa moyo wako una huzuni?
Kausha macho yako mwenyewe ili kufuta machozi ya mwingine
Katika ulimwengu huu mzuri kuna mabehewa mengi
Mengine yamebeba roho zilizovaa mavazi meusi...
Ukiachilia mbali kwamba idadi ya wanaume duniani inazidi kuporomoka, na kwamba katika hiyo hiyo idadi ndogo iliyopo bado kunawengine wengi wameamua kujikataa na kujifanya wanawake, Lakini bado...
Ukitembea na pisi kali warembo wengine watakuwa wanajitongozesha wao wenyewe.
Jumamosi iliyopita, nilipata mwaliko kutoka kwa mpenzi wangu (mchepuko) tukutane katika kiwanja fulani, angalau...
Kwa miaka miwili iliyopita nimefanya kazi saana sana.
Nilikua nawaza nikipata pesa za kiasi filani nitaenjoy sana maisha.
Sasa hivi saa 6 na dakika 48 nipo macho thinking of mustarbating.
Pesa...
Niseme nisiseme?
Tega sikio.
Upendo sio kigezo pekee kwenye ndoa, upendo hautakuwepo kati yenu kwa nyakati zote. Mnahitaji sababu zingine muhimu za kuishi kwenye ndoa.
Sababu hizo ni pamoja na...
Habari za weekend[emoji274]
Week imekuwa nzuri sana kwa sisi wafatiliaji wa kesi mbowe, ni kesi nzuri sana n yenye kuvutia. Mwaka umeanza vyema sana na moja ya lengo langu mwaka huu mwishoni ni...
Utangulizi:
Mapenzi na tamaa ni miongoni mwa hisia ambazo mara nyingi huchanganywa na kuchanganya watu. Katika mjadala huu, tutajadili ikiwa kuna tofauti kati ya kupenda na kutamani. Je, ni hisia...
Straight to the point, huyu mwana mama yupo Dar es Salaam nami nipo mkoa mwingine.
Huwa tunawasiliana mara Moja Moja story za shule maana ni school mate ila alinizidi vidato kadhaa.
Tukiwa shule...
Katika ulimwengu wa mahusiano na mapenzi, suala la mipaka na uhuru limekuwa likijadiliwa kwa muda mrefu. Baadhi ya watu wanaamini kwamba mapenzi yanapaswa kuwa na mipaka ili kuheshimu maslahi na...
Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana...
Wakuu salama?
Naomba msaada wa kujua huyu binti anashida gani.
Niko hivi niko na binti mmoja kwenye mahusiano sasa shida inakuja binti huyu nikimwambia aje home anakuja lakini akifika...
Nimefiwa na ndugu yangu mwaka umepita.
Sasa naota usiku ananitokea akifurahia maisha yangu ya mahangaiko au akiona nami kufa siku zijazo! Mara kadhaa tunapigana sana.
Yote hayo hutokea kwenye...
Najua wote.mnaendelea vyema.. nami hiyo ndo furaha yangu kuona mnaendelea vema kwenye nyanja zote
Mimi ni msiri kiasi chake,na mara nyingi upenda utulivu hasa nikiwa naoga.. nilikua hoteli...
Hii Dunia ina mambo sna kama HUJATEMBEA huwez kuona mengi,
Kile unachokiona Cha maana Kuna mtu anakipigia deki na kukiacha nje kikinyeshewa mvua.
Kama kuna mwanamke unamuona ni mzuri sana mtaani...
Mwanaume mmoja alikua ana uhusiano na wasichana watatu. Na akaamua sasa achague mmoja wa kumuoa.
Akawapa mtihani. Akamgawia kila msichana mmoja kiasi cha shilingi Milioni moja na laki tano...
Basi miaka ya nyuma ilitokea nikawa na rafiki kwenye mtandao. Huyo dada alikuwa anaonekana mambo mazuri sana. Tunachat n.k na alibahatika kupata rangi ya mitume wengi.
Basi tukadumu na kupeana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.