ulioa ili iweje sasa,yaani mi najiuliza sana mtu umemuona ana faa kuwa mke why umdharau??tena unakuta ni hadharani bora iwe mafichoni. Unaenda mbali zaidi unamkalipia mkeo Kama mtoto mdogo aisee...
Nashukuru Sana dada na kaka uliyenishauri Jana ingawa 90% ya advance zilikuwa za kunipopoa.
Jana niliomba ushauri baada ya mpezi wangu kuniambia anahisi ana mimba.
Jioni hii nimefanikiwa kumpima...
Wakuu Salam,
Kuna ndugu yangu ananiomba ushauri kwamba mke wake amejifungua ila anahisi mtoto si wake, hivyo anataka kupima DNA ili ukwel ujulikane.
Nimemwambia kama utani, kwamba wewe unajua...
Nimejaribu kufanya utafiti wangu miaka mingi sana kuhusu mahusiano,Uchumba hadi ndoa.Na nikajua humu nikaona kampeni za vijana kuhusu kukataa ndoa.
Ila Kwa Hitimisho langu ni kwamba chanzo Cha...
Habari za asubuhi Jambo Forums!
Wengi nimeshuhudia wakisemwa vibaya kwenye mikusanyiko mbali mbali kwa sababu ya kutosalimia aidha kwa bahati mbayaau makusudi.
Hivi kwa nini imefika kipindi ni...
Wakuu,
Kuna Mwanamke flan Ni rafk yangu tumeshibana haswa, Kuna kipind nilipata Changamoto mwenzetu mmoja Alikua na Deni benki na wadau pesa imekata nyumba ya mwenzetu inapaswa ipigwe...
Habari wakuu,
Kuna watu wanamtindo wa kujaamiana na watu wasiowaamini kwa Mara ya kwanza au pili bila kondom halafu anaenda mbele kujilaumu au anajialaumu kesho yake, baada ya siku kadhaa anajipa...
Hizo ni mishe gani bro???
If you still bilieve in smashing many puss**s, Stupidity, You still brag bout f*ckn every girl you come Across🖕
Imagine you get a wife who has been f*ckd by more than...
Katika ulimwengu wa leo, wanadamu tunapambana na vikwazo anuai. Mara tu baada ya kuhitimu vyuo, tunajikuta ghafla tupo kwenye ulimwengu wa kutafuta ajira ama shughuli ya kuingiza kipato, maeneo...
Kwa akili timamu tatizo la usingle kwa muda mrefu, hupeleka lawama nje na kulifanya tatizo katika mfumo wa mechanics. Nipo single kwa sababu pamoja na kuishi mjini na sehemu yenye watu wengi...
Bila shaka title inajieleza,
Najua wanaume wengi ni watafutaji, mara nyingi warudipo nyumbani hukuta chakula tayari kimekwisha kuandaliwa na msimamizi mkuu ni mama ( mke).
Swali, je, nikweli...
Wasalaam
Kama kichwa kinavyojishulisha hapo juu wakuu
Miaka miwili hapo nyuma, 2018 , ilikuwa green city nlikutana na pini moja kali chotara ya kimwambao
Huyu mdada alikuwa mrembo kwelikweli...
Hello,
Taarifa toka kwa Wadiz a.k.a Baharia
Ukipata nafasi kuwasikia wanawake wakisema ukweli ni raha sana, mara kadhaa nimesikia hii kauli heshima ya mwanaume ni kuupeleka moto, mengine...
Habari za humu familia kubwa ya wana Jf:
Kama kichwa cha habari tajwa hapo juu mwaka 2016 nilikutana na dada nikiwa nafanya mazoezi ufukweni (coco-beach) tuka share mawili matatu hakuwa na simu...
Mimi najua ni kwa sababu wapo wenye kumahabatika nayo na wapo wenye kuumia kwayo na wapo wenye kuishi kwayo baina ya mahaba na maumivu ya mapenzi.
Wewe je?!
••••• [emoji28][emoji28]
Wiki hii nataka uelewe kwanini usifuate huu msemo wa ‘tafuta hela’ ili kupata wanawake. Unatakiwa upande bustani yako ndio vipepeo [emoji1652] waje.
Utaelewa kwanini...
Kujiamini katika unachokifanya.
Kujiamini katika ukisemacho.
Kujiamini huku kutokee ndani yako. Sio iwe kwa ajili kumpata mwanamke fulani.
Wengi hujiamini wakiwa na wanaume wengine. Ila akiwa na...
Kisa hiki ni cha kweli kilinitokea nikiwa safarini kuelekea shuleni.
Hadi namaliza masomo yangu ya O-level sikuwa nimewahi kusikia shule inayoitwa Ihungo ambayo ndiyo hiyo niliyochaguliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.