Habari zenu nyote, najua kila mmoja anapitia matatizo yake kivyake ila naomba nipate kibali cha kushauriwa juu ya tatizo langu hili.
Baba zangu, kaka zangu, dada zangu, na rafiki zangu wa MMU...
Daah, unapojidanganya unaujua ulimwengu huu basi kiukweli huujui kabisa au unaijua sehemu ndogo sana
Kuna siku nilikwenda kwa mganga na jamaa yangu ili nikamtengeneze mwanamke mmoja kwenye...
ILIANDIKWA NA LUQMAN MALOTO
AKIWA Kijana, alifanya tukio. Hakujuta. Na akasahau. Akaishi miaka 44 mingine. Ndipo akatokea mtu akamkumbusha kile alichokifanya. Akaumia. Akatamani asahihishe makosa...
Ikiwa nimebakiza siku kadhaa kuanza ule mchakato wangu wa kuoa ila nimejikuta niko kwenye hali ya sitofahamu kama huyu binti nitamuweza au sitomuweza katika maisha ndoa, kuanzia yeye hadi ukoo...
Binafsi najivunja kuwa mtanzania, vipo VINGI vinavyonifanya nijivunie kuwa mtanzania mojawapo ni amani na uwezo wa mtu kuishi popote ndani ya nchi.
Kama na wewe unapenda kuwa mtanzania like yako...
Hivi wanawake mna shida gani haswaaaa kama mwanaume humtaki mwambie sio tunajipinda kutafuta pesa na kuhudumia kumbe una king'asti chako pembeni tena hakakutaki mpaka utoe hela kijamaa chenyewe...
When emotions are involved, people tend to get hurt and bitterness and resentment can arise. In any relationship romantic or otherwise, there must be clear boundaries established. When these...
Habar wakuu,
Jion Nilikua bar napata Moja Moto,Moja baridi. kichwa kikapata Moto gafla Sana baada kupigiwa simu na wife kwamba nyumbani tumepata ugeni wa ghafla wa dada angu wa kambo upande wa...
Nipeni mbinu ndugu yenu, maana kila nikijaribu kumkwepa kiaina beauty huyu inashindikana.
This girl she's very beautiful na pia ana sifa muhimu zote ambazo zinamfanya aonekane bora mbele ya bora...
Hapo vip!
Hatimae roboti za kike zinashika kasi sana Duniani.Wanasema hizi roboti ni watamu kuliko wanawake wakaida.
Na ukiwaona hauwezi kuwatofautisha na wanadamu.
Alon Mask,ambaye ni tajiri...
Mimi nakumbuka few years ago niliwahi kudanganya familia flani mi daktari nipo muhimbili kitengo siri cha kuhudumia wagojwa na watu wasiojulikana .
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mwaka 2018 Mimi na aliyekuwa mke Wangu tuliachana na kwa bahati mbaya mwenzangu akaolewa na mwanaume mwingine baada ya kuachana kwetu.
Mimi nikaendelea na maisha yangu
Lakini cha ajabu uyo mke...
Njia nzima tunawasiliana, najua anaenda kwa ndugu, meseji yake ya mwisho ni kua amefika, baada ya hapo hapokei simu. ni nini kitakua kinaendelea ndugu zangu?
Nimejiridhisha na hata aliempokea ni...
Huyu binti ni shemeji yangu.
Anaomba pesa mara kwa mara, nilimsaidia kulipia kodi awamu mbili na kampani zingine ndogondogo. Sasa nilipoona anazidi kunipiga virungu nikamwomba nyapu akakataa...
Kuna habari nimeisoma kutoka kwa Labani og inayomuhusu Elon Musk kuzindua maroboti ya kike/mbadala wa mwanamke na unaweza kuishi nalo geto/nyumbani Kama mkeo.
NALIA NGWENA nimetafakali mno...
Muigizaji Vin Diesel aliachana na mpenzi wake wa miaka mitatu, lakini walipoachana, hakumtoa nje ya nyumba yake, aliogopa kwamba angeishi maisha ya chini, hivyo alimuachia nyumba yao na yeye...
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake. Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano...
Vijana wengi wanapambana sana lakini hawafanikiwa, kila wakijitahidi kujitoa kwenye janga la umasikini wanashindwa kabisa. Unashangaa tu mambo yako wala hayaendi, unafanya hivi na vile lakini...
Za siku mingi bandugu.
Nimeandika uzi huu lengo niwasalimu tu na nijue wangapi walio active.. na ukurasa wetu huu pendwa wenye forums mbalimbali.
Nawasalimu wote.
Maisha yaendelee, usiache...
Kuamini kuwa na mwanamke anavutiwa sana na mwonekano tu
Kwa sisi wanaume tunavutiwa na mvuto zaidi, lakini mwanamke anavutiwa nawe kutokana na vile anavyojisikia akiwa nawe. Akijisikia amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.