Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wakuu, Ninayo furaha ya pekee sana jioni ya leo baada ya kutunukiwa mwili na binti mrembo niliyemtafuta kwa miaka mingi sana bila mafanikio, sana sana niliambulia matusi mpaka nikawa...
40 Reactions
338 Replies
16K Views
Am going breafly! Mba wananisumbua baada ya kunyoa ndevu, ni mba wa ngozi, hawajakithiri ila ni ule weupe weupe tu. Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka...
5 Reactions
122 Replies
7K Views
Mwanaume mmoja ambaye jina lake halijafahamika amejinyonga na kufariki dunia ukweni kwake baada ya juhudi za kupatanisha na mke wake kugonga mwamba. Mwanaume huyo alikuwa amekwenda ukweni kwake...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Hatimaye nimepata mwanamke wa kipekee ambaye nina imani hatoweza kuisumbua akili yangu maishani mwangu kote. Hata nikimshirikisha suala la kuoa mke wa pili, wa tatu, wa nne, wa tano n.k kutoka...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Wakuu naombeni uzoefu ukitaka kwenda ukweni (kwa mwanamke)kwa mara ya kwanza unatakiwa ufanye nini au uzingatie vitu gani Nasoma maoni [emoji4][emoji4]
1 Reactions
10 Replies
566 Views
Sikuhizi sina maneno mengi, mdada anayenifurahisha namhonga. Bei hutofautiana kutegemeana na sampuli. Ma great thinker wasio na hela mje hapa kutoa povu, ila mkae mkijua kama hamwahongi wapenzi...
6 Reactions
27 Replies
746 Views
  • Poll Poll
Hata wakiuza milioni 20 nitauza mbaka boksa ninunue nikafunge nae ndoa Maana sio kwa hekaheka za mademu wa udongo thanks elon musk Mungu akuweke Haina kisonono wala kaswende no kugongwewa...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Kila mtu anatamani kuona dunia ikiendelea, ikisonga kutoka hapa ilipo. Mabadiliko ama maendeleo ya dunia huja na maumivu makubwa sana, maendeleo hayaji burebure tu, ni lazima uumie. Unataka...
2 Reactions
2 Replies
631 Views
Habari wakuu Ni miaka minne tangu nilipoamua kumuoa mwanamke nimpendaye katika dunia hii na tunaenda kwa mengi Tatizo ninalokutana nalo kwa sasa ni mke wangu huyu kuwa kibonge haswa na mbaya...
14 Reactions
114 Replies
7K Views
Huyu demu nimekuwa nikimfatilia saana. Nimemuona ni mwanamke mzuri saana ambaye ana Akili saana Tena anafaa kuwa mke kabisa. Ila wanaempoteza zaidi ni aina ya wanaume ambao anawapata na mazingira...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Sijui kwa wanaume wengine wanavutiwa na nini hasa kwa mwanamke wakati wa mahaba na penzi zito Utamu/raha ya mapenz ni hisia. Ukizikosa hisia mapenz yanakua kama uchafu kwako. Binadamu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar wakuu bila poteza muda ngja niende direct kwa mada hasa kwa wale wadau wa kununua papuchi mitaa ya lacharz. Jana jamaa yangu yaliyo mkuta hana hamu tena ya kununua malaya. Jana mida ya sa3...
24 Reactions
396 Replies
76K Views
Wakuu Nakumbuka Ile December siku ambayo kesho yake ni xmass, ndo siku Aliingia period Kwa mwezi huo. Kisha Kaja kuingia Tena period mwezi January tar 20 Baada ya hapo kaingia Tena period...
8 Reactions
106 Replies
6K Views
Nimeikuta hii mahala! Ni kwanini ipo hivi!!? Au ni kwasababu kuna nadharia kua mwanaume ndio anatangulia[emoji848] Au wanawake hawana mali za kuandikia mirathi!!? === Ameandika Yericko Nyerere...
6 Reactions
72 Replies
3K Views
Ni kama miezi miwili sasa nlikutana naye Bank fulani town nikiwa naenda weka mkwanja. Akashoboka. Basi mi mlume ndago nikasema hamna noma kama vipi tuunge. Basi ikawa hivyo. Sasa ana ushamba wa...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Habari za jioni wazee wenzangu, Kwa wale wakongwe kwenye mahusiano, umeshawahi kugundua kuwa siku mkeo akiangalia tamthilia (hasa kabla ya kulala), halafu ikatokea amevutiwa sana na actor wa hiyo...
5 Reactions
18 Replies
974 Views
Hii inawahusu wanaume waliooa ila hawapendi kuwatoa out wake zao. Mtoe out mkeo, ni mwanamke mzuri ambaye alihatarisha maisha yake ili kukupatia watoto. Anakuhudumia chakula kitamu kila siku...
14 Reactions
43 Replies
3K Views
Huyu kala pesa zangu nyingi lakini hataki kutoa mzigo. Alinipa mara Moja tu Tena baada ya kulazimisha. Najitahid niachane nae lakini nafsi inagoma. Kibaya zaidi tumepanga ghorofa Moja. Akiniona...
3 Reactions
17 Replies
888 Views
Natamani ningetumia muda mwingi zaidi pamoja naye. Natamani ningekua namsikiliza na kuongea naye. Natamani ningemtongoza mapema kabla jamaa hajamchukua. Saivi yupo na bwana mwingine. Hiyo ni...
1 Reactions
1 Replies
360 Views
Ndugu zangu habari za Jumatatu, nawasalim. Mimi na mke wangu tumebahatika kupata watoto wawili kwenye ndoa yetu yenye miaka nane. Sisi wote ni waajiriwa, kwa muda mrefu, nimekuwa nikijiuliza...
11 Reactions
160 Replies
31K Views
Back
Top Bottom