Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kwa nilivyokereka hakuna salamu hapa! Baada ya kumfatilia kwa wiki kadhaa akaingia line, toto fulani hivi nyeupe ndefu yenye kiuno nyigu, tunasema figure ya kimataifa. Figure ambayo hata tozo...
20 Reactions
152 Replies
6K Views
Huwa nachoshwa sana na watu wanaotaka kuoa au kuingia kwenye mahusiano lakini cha kwanza wanaangalia Kabila la mtu kwa kuamini kabisa kuwa kabila Fulani Wana tabia hizi na hizi. Bila kupepesa...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna mwanamke nimeanza date nae kama mwezi mmoja, sasa first time niliomba mzigo akazingua na kusema bado tupeane muda. Mie nikachukulia poa tu sio mbaya, ikapita kama mwezi kutoka na ubize wa...
22 Reactions
183 Replies
10K Views
Habarini wadau. Mimi ni baba wa familia ya mtoto mmoja na mke ambaye tunapendana sana. Pia Mimi ni mwalimu mpya wa shule moja hapa jiji kasoro bahari nina kama miezi mitano (5) hapa shuleni ila...
20 Reactions
208 Replies
22K Views
Lakini kuna watu bado wanapata hamu ya kusex kipindi hiki cha huzuni.😢kama kweli mmefanya ivo inasikitisha sana mjue😭 Jikazeni jamani kuweni wavumilivu hizo nyapu zipo tu. RIP Makamanda
22 Reactions
210 Replies
6K Views
Jamani wanaume mnatakiwa kupewa maua yenu mnajitoaga sana baadhi yenu na mkiamua kujitoa mnajitoa mpaka familia zenu amuwasikilizi kisa mapenzi asanteni kwa upendo wenu
15 Reactions
59 Replies
3K Views
Kuoa Mwanamke Anayefanya Kazi Vs Kuoa Mwanamke Goli Kipa kipi bora? Nahitaji jiko ebu nishaurine wadau najua wengi wenu mnauzoefu . ✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
6 Reactions
72 Replies
6K Views
Closed
13 Reactions
159 Replies
13K Views
Naombeni ushauri wenu. Demu anakula pesa zangu jinsi atakavyo. Ikifika wakati wa mimi sasa kumla anakuwa na masharti Kuna styles hazitaki. Anasema hawezi fanya mapenzi kwa style hatarishi kwake...
2 Reactions
1 Replies
394 Views
Kuna binti mmoja ni mama lishe. Ni mdada mzuri sana, kama mnavyojua wadada wanaofanya hizi shughuli za umama lishe, tena ukiwa mzuri kuna kuwa na mtiririko wa wanaume kuomba namba kila mara. Na...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Mambo Yanakwenda Kasi Watu Wale Raha Sana 😃😄😅😂😁😀
1 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Warangi 2. Wanyaturu 3. Wameru 4. Wamasai 5. Wasukuma 6. Wachagga 7. Wahaya 8. Wanyamwenzi 9. Wapare 10. Wanyakysa
55 Reactions
954 Replies
298K Views
Ni habari iliyousonenesha moyo wangu na kunifanya nishindwe kuyazuia machozi yangu.... Nimelia peke yangu nimeona Leo ni washirikishe nanyi huzuni hii pengine ntapata faraja... Nakumbuka ilikuwa...
83 Reactions
481 Replies
36K Views
Ewe mwanaume, kamwe mwanamke asikwambie kuwa hawezi kukutunuku mpaka pale mtakapofunga ndoa. Usikubali. Inaweza tokea mkashindwa ku match code. Unaweza kuwa aina ya mwanaume unayesukuma ukuni kwa...
4 Reactions
55 Replies
6K Views
Sijui hata ni kwanini nimeandika maneno hayo, ila akili ilikuw inawaza vitu vingi vya kuadika hpo juu.. Jukwaa ni la mahusiano, na kweli naona watu mko bussy kuhusiana inapendeza.. Then...
2 Reactions
17 Replies
531 Views
Aise, kwa hili hapana. Sikuwa tayari! Hata mzazi wangu asingeweza kunifanyia ukatili wa namna hii Ni stori ya kitambo kidogo (2019), miezi sita baada ya kufunga ndoa, nilifuma sms za mapenzi...
10 Reactions
35 Replies
4K Views
Ule usiku wake wa kwanza kulala magetoni kwangu ulimchanganya sana Nilimvua mibaibui yake kisha kumfunga kanga nusu utupu, mtoto wa watu ni mwendo wa aibu mule ndani Nikawasha widi (cha Arusha)...
2 Reactions
8 Replies
841 Views
Kazo iendelee! Mimi ni mpole na mkimya toka utoto. Mpaka muda huu ni mtu mpole, naumia mno jamaa au rafiki yangu akipata matatizo. Najiona ni kama mimi ndiye ninayepata matatizo hayo, nashughulika...
11 Reactions
113 Replies
7K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka kadhaa, baada ya kutafta maisha kwa muda mrefu Tanzania yakagoma nikaamua kujikusanya nikauza kieneo nikasafiri kuja zangu nchini Singapore, nikafika huku...
12 Reactions
213 Replies
34K Views
Nimekumbuka kisa kimoja kilinitokea miaka miwili iliyopita. Mi ni mtu nikiwa na kasalio kidogo, huwa sipendi kujibana bana; nitaenda kujumuika na jamii ili mradi siku iende vizuri, hasa siku za...
5 Reactions
67 Replies
4K Views
Back
Top Bottom