Hivi hii sauti ya wife inaashiria nini? Nyie wenzangu mlioowa wanawake wafanya kazi kama mlivyo mnakumbana na kadhia kama hii? Pale ambapo unataka kumuwajibisha wife?
Hakika usiombe ukawa addicted na masturbation, naam mjumba nilikua napenda sana kupuchua na nilikua nafanya Kama dozi asubuhi, mchana na usiku.
Hakuna msanii wa kike ambaye sijapita nae, Beyonce...
Habari za mihangaiko wana jamvi, nakuja kwa kasi ya 4G.
Moja kwa moja kunako mada.Tatizo naloliona kwangu ni hili,
Kuna baadhi ya watu huwa nikikutana nao nahisi kama wananionea aibu Wake kwa...
Si rahisi kujua kama mwanamke anataka mrudiane.
Hasa pale unapokua humwelewi kwa vitu vinavyotokea.
Kutokana na wanaume nliowasaidia kuwarudisha ma ex wao.
Wakiachwa wampe muda huyo mwanamke...
Ni wazi kabisa hakupendi bali anampenda mke wake zaidi.
Hukufanya wewe kama mdoli wake wa weekend.
Hukuona wewe ni nafuu sana kutimiza tamaa zake.
Hukupatia vidokezo kama chambo, kisha lodge...
Habari za juma pili
Naomba nichukue fursa hii ku-share mkasa mmoja uliomkuta rafiki yangu wa karibu sana kwa jina anaitwa Said.
saidi huyu ni mshikaji wangu niliekutana nae chuo na tukawa marafik...
Unakuta kabisa mtoto wa kiume anasema apewe maua yake.. unashangaa.... Unaaangalia unasema hiiiiiiii.... Mtoto wa kiume anaomba apewe maua?
Siku zijazo si atasema apewe na shanga kabisa? Sisi...
Habari wadau
Nimeona ni shee na nyie ichi kitu cha ajabu nilichokiona ndani ya mwezi ulioisha Kwani sikutegemea kwenye Maisha yangu kama ipo siku atatokea mwanamke Aniambie kuwa Ananipenda na...
Naomba mwenye kujua "format" ya kuandika talaka anifahamishe. Yaani heading yake inakuwaje, unaiadresi kwa nani, na vitu kama hivyo.
Sio kwamba mambo yameharibika, la. Napenda kujua tu
Ndio nauliza hili swali maana baba mweusi siku hizi mnaita maji ya kunde na mama mweusi tii wenye mnaita chocolate colour ila katoto keupe pe inawezekana au mmoja kachochora?
Kapili keusi tii na...
Unajua atrraction inakwenda tofauti kwa wanaume na wanawake. Kwa wanaume tunaangalia kwanza muonekano halafu tunafaata tabia ila kwa wanawake ni vice versa wao huanza kwanza tabia kisha muonekano...
Naombeni msaada jamani kama kuna yeyote anaweza kujua dawa ya matatizo haya anisaidie.
Mimi ni mwanaume lakini nimekuwa na tatizo la kukuwa kwa makalio yangu, nimekuwa na shape kama mtoto wa...
Vijana wenzangu kuoa sio mpaka uwe na pesa.
Pesa zipi ukipata ndio utaoa,? Na usipozipata hizo pesa ndo tuseme hutooa? Inabidi ujue Usipooa pia baraka haziji
Sasa umekaa na mtoto wa watu siku 2...
Kuna watu wanatudanganya kuwa mapenzi pesa lakini siyo kweli. Kuna mwanamke nipo naye kwenye mahusiano, nilimkuta hana simu kubwa nikamnunulia simu kubwa ili kuepusha matatizo ya salio kila siku...
Wadau habarini...
Wanawake, akina mama, wafunzeni watoto wenu maadili mazuri yakula ya kiafrika....achaneni na umagaribi usio natija.
Jana nilikua ugenini maeneo fulani apa jijini Dar...ni...
Ulimwengu wa mapenzi ni mpana sana na umejaa kila aina ya vitu vya ajabu mathalani vinavyovutia kumpenda au kumkubali mwenza
Ni kawaida kuwasikia wenza au wapenzi wakijisemea kuona vitu tofauti...
Wakuu natumai kuwa nyote hamjambo, na jumapili iko poa..
Twende kenye mada,
Wakati fulani huenda ukalazimika kuwa mbali na mpenzi wako labda kwa sababu ya kazi na mambo mengne, ni nani kati ya...
1 MUKHTALIYA - Huyu ni mwanamke mwenye tabia ya kujivua yaani mara kwa mara hupenda kuomba talaka hata kosa si kosa yeye keshataka aachike tu, huyu hafai hasa ukimpenda sana atakusumbua ni tabia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.