Mwandishi: Hassan yahaya ( B.Sc )
Contact: hassanmatola508@gmail.com
habari ndugu zangu, awali ya yote napenda nitoe maana ya mapenzi. Mapenzi ni ukaribu unajijenga baina wa watu, wanyama, mtu na...
Habari za mida hii Wana JF mko poa bila shaka. Kiufupi tu nlikuwa mwanachama hai wa chaputa mpka nkaamua kuwa single boy kwa muda mrefu, ila nmeleft kwa nguvu ya maombi lakini mana ushauri na...
Unapoachwa na mtu umpendaye inauma.
Hasa ukifikiria kwamba huyo mtu mlikua mnaendana sana. Mlikua mnaelewana.
Mawazo huwa ni mengi, lakini kitu kinachotokea ni kwamba unajikuta huwezi waza kitu...
Wakuu!!
Hapa home ninaishi na mdogo wake mke wangu, huyu binti ana miaka kama 22, na ninapoishi kuna nyumba kubwa na mabanda, nazan mnaelewa.
Huyu mdogo wa mkewangu ambae ni wakike yeye nimempa...
Habari ndugu zangu,
Kutokana na kupanda na kushuka kwa thamani ya hela inayotokana na kuyumba kwa uchumi. Je, ni sahihi kumuachi mkeo au mwanamke kuachiwa shilingi 2000 kama matumizi ya siku...
Unakuta msichana mdogo tu kavaa kitenge, kanga, gauni bwanga kama anazuia mimba isionekane, yaan hivyo vyote kavaa kwa pamoja na remba kichwani na yeboyebo au skuna. Ukiuliza unaambiwa ndo vaa...
Habarini,kuna kero kubwa sana kufanya tendo la ndoa na mwanamke mwenye kitambi hasa kwa sisi wanaume ambao hatupendi vitambi yaani hatuvutiwi navyo.
Kuna mashangazi (kama wanavyoitwa) watu wazima...
Napitia kipindi kizito sana ndugu zanguni. Miaka mitano iliyopita nilikutana na binti ambaye niliingia nae kwenye mahusiano ya kimapenzi. Miezi miwili baadae binti alidai kuwa anahitaji kumbukumbu...
Holidays mjuba NALIA NGWENA huwa napenda kukaa kwenye kahawa na wazee wangu.
Kuna hoja moja iliibuka kuhusu wanawake wa kutoka Tanga, mtwara (wamakonde) na wazaramo.
Kuna mzee mmoja alisema " ni...
Jambo letu tena!
Jitahidi kujitambua kwa yale unayoyaweza na yale yanayokupatia ugumu lakini kamwe usiwaeleze watu mapungufu yako kwasababu watayatumia dhidi yako. Mara nyingi watu huwaangusha...
Weekend ndo nimeimalizia hvi na gemu ya ugenini. First half moja moja second half mbili moja gemu ilikuwa ya kawaida ila ya kuvutia.
Wakulungwa inashangaza sna kusikia Kuna watu wanaleft...
Wadau salaam.
Naamua mpo safii kabisa, kwa wenye changamoto basi ni dua zangu Mungu akufanyie wepesi.
Kabla sijaingia katika mahusiano swali langu kichwani lilikua " hivi hawa watu wanaitana...
Hi ni yako, rafiki yangu mpendwa trudie
Mwenyezi Mungu akubariki katika ulichopewa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa, na uruzukiwe wema wake. Na aliyepongezwa atamuombea aliyempongeza...
Wanaume wenzangi mlio kwenye ndoa hali kama hii unawezaje kuivumilia?
Kwa mfano;
Umeamka asubuhi umejiandaa kwenda kazini, bahati mbaya ukasahau ufunguo ambao mkeo kauona ila wakati wa...
Happy new yr pipo.
Well.. kuna kitu kinanitafuna sana... Kwasasa sipo Tanzania niko nje ya nchi.
Nilimwacha Girlfriend wangu wa almost 4yrs together. With lots of love and happiness namimi nikaja...
Usipate shida kuhusu uongee nini na mwanamke, sababu wanawake wanajali unavowafanya wajisikie ukiwa nao zaidi ya maneno unayoongea. Kadri unavyojiamini ndivyo mwanamke anakuamini pia. Hivyo cha...
Habari zenu wana MMU? Katika mizunguko yangu ya wiki iliyo pita nilibahatika kukutana na binti ambae nilitaka kuchepuka nae.
Kiukweli binti ni mzuri aisee analipa, niliomba appointment nae bahati...
Mimi sina girlfriend, mchumba, mke wala mchepuko, hivyo basi mimi ni mteja mkubwa sana wa madanguro, na sehemu zinazotoa huduma za massage, ambako huko ndio ninakoenda kuuburudisha mwili na akili...
Wazee wanasema "Upepo unaweza kutikisa majani ya miti sio kichwa cha mtu".
Mtu aliyeweka maisha yake kwa Mungu anaweza kupatwa na changamoto ya kupigwa vita, kuonewa wivu, kuchukiwa na hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.