Sijui kwa upande wenu ila kila nikitizama siku hizi single parenting imekuwa kama trend yaani kitu fulani ambacho vijana hawakiogopi.
Nikitizama zaidi nawaona hawa wana saikolojia/motivation...
Ktk maisha nje ya ulimwengu wa mapenzi kuna kitu kinaitwa utapeli wa kuaminika. Hili ni kosa kisheria.
Ingefaa hata ktk ulimwengu wa mapenzi hili kosa liwepo. Wale wote walio na wachumba na...
Jamani ashampoo nilikuwa mshua fulani nilianza kuingiza hela toka nikiwa chuo huko sasa hela zilikuwa zinaingia sana kwa siku milioni kwanza kawaida .hapo nikiwa chuo mwaka wa pili tayari...
Tokea utotoni hadi sasa sijawahi kuvaa hata saa ya mkononi, ukiachilia cheni za shingoni, naona kama tabu, sasa tabu imekuja kuwa hii pete ya ndoa, nataka kuitoa kwa kuwa nahisi ni kama foreign...
Zawadi kubwa tulionayo kwa sasa ni uhai, na tunaishi mara moja tu. Kila mmoja amepangiwa miaka yake ya kuishi, wengine 70, 50, 60, 30, 12, 99 n.k
Kutokana na mazingira hayo, miaka tuliyopewa...
Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wanawake wanao lea Watoto wenyewe katika jamii zetu. Sio kwamba ni sifa mbaya lahasha, bali ni moja ya mfumo unaoanza kuzoeleka na kufanywa kuwa kama ndio mfumo...
Kwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.
Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au...
Onyo: Usisome Post hii kama umewahi kutendwa na Mwanamke, utaugua Presha na stress usijue la kufanya
Nazungumza na wanawake wote bila kujali umri
Nasema hivi, ninyi ni Mama zetu, ni wake zetu pia...
Lady ikiwa una uraibu wa ngono, na umelala na wanaume wengi sana lakini hakuna hata mmoja wao aliyetamani kukuoa. unaweza kuushinda uraibu huo wa ngono kwa kuamua tu kuachana na hiyo tabia...
Hii sijui niiteje au Ndio Wokovu unanifata fata kila niendako.
Je nikubali mwito wa wokovu au nikaze fuvu?
Huyu manzi mama nilivyosema nikifika naye tu ndani kwa ajili ya mnyanduano basi...
Dada zao ( Wanawake Wakubwa ) ukiwa nao Mapumzikoni Ukiitoa Kuni Ngumu yako wanaanza Kuiogopa na kuipigia Tathmini ila kwa Mabinti wa Siku hizi kabla hata hujaitoa Mafichoni Kuni Ngumu yako tayari...
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa.
Moja kwa moja kwenye mada. Huyu mwanadada kwa kweli nilimwelewa sana na kuwa naye kwenye mahusiano ikatokea friction akapelekewa maneno na bypassers...
Leo naomba niwe brief mno kwenye hili.
Wanawake wengi hawana habari kuwa michepuko ya waume zao ina drive magari makali kama vanguard, harriers etc.
Wewe hujanunuliwa hata bajaji ila mwenzako...
Wapendwa nimeamua ku move from my house to be away from my husband not sure forever or for sometime.
I have moved with the kids. Najisikia nina amani kiasi sasa though there is so much pressure...
Kama heading inavyojieleza katika mikoa michache niliyotembea na kujionea hizo umbaji za Allah, kwa dodoma kuna kitu cha tofauti,
Malaya wa dodoma hawajali chochote kuhusu Condom wao...
Nilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu...
Wakubwa: Shikamoo
Wadogo: Marhabaaaa
Niende kwenye mada.
Leo nilikuwa na harakati zangu tu hapa town, sasa mida ya kurudi nyumbani nipo Kawe pale magari yakawa ya shida saaana, kitendo...
Habari wana jf naiman wote tuwazima wa afya, nitumie fursa hii kuwapa pole na majukumu yetu ya kila siku bila kumsahau aliyejuu kwa fadhili zake.
Wanajamvi nimekuja kwenu nahitaji msaada, mm ni...
Habari ya weekend ndugu zangu..
Naombeni ushauri wakuu
Nataka kuoa ila mpaka sasa nashindwa kujua ni yupi ni mchague hapa
1: huyu binti ni mchaga wa kimarangu
alisha wahi kua kwenye mahusiano...
Matokeo yoyote yanatokana na mchakato/ mfumo fulani.
Hasa matokeo yatakayokupa furaha na maendeleo kwa muda mrefu.
Kujali mchakato ni kufanya kila unachotakiwa kufanya kwa muda huu bila kujali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.