Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Malezi ya siku hizi ya ovyo kabisa eti unakuta wazazi wanawalea watoto wao kama kuku wa kisasa hasa hawa wa kiume yani mtoto mpaka anakua mtu mzima hajui shida yani anakua yupo slow slow yani yupo...
4 Reactions
9 Replies
958 Views
Kukataliwa na Mwanamke uliyetokea kumtamani sana imekua ni mala nyingi sana. Christian Ray nadhani hata wewe nimuhanga katika hili. but mala nyingi ni tamaa tu ya nje. na kumbe huyo mwanamke hana...
5 Reactions
35 Replies
9K Views
Kuna single mother fulani ambaye tumezoana saana kama watani tu wamakabila Uyo single mother Ana watoto 4 na mume wake alifariki toka 2022 Sasa siku hizi anaumwa matatizo ya mgongo na kiuno Jana...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika...
123 Reactions
1K Replies
121K Views
Shida ya kuishi na mwanamke ndo huanzia hapa. Shida ya kumpata mwanamke ndo huanzia hapa. Hupelekea mtu kusema mwanamke haeleweki. Hupelekea kutoelewana. Sababu anakua hana jibu kamili kutoka...
1 Reactions
5 Replies
825 Views
Haya mambo ya kusema nataka mwanamme mtu mzima aliechoka na maisha tutulie tuleane tule uzee kumbe hapa mjini hamna bwana utasubiri sana. Watu wazima kwanza nguvu hawana, stress za magu, mara...
29 Reactions
240 Replies
16K Views
Miaka fulani hivi nyuma mimi na jamaa zangu watatu tulijijengea akili ya kuogopa sana ngoma, yaani ilikua tukipiga story za mapenzi tunaongelea ngoma tu all the time hiyo ikafanya kila mwanamke...
11 Reactions
60 Replies
7K Views
Hii hali imenikuta wikiendi hii, kuna mchepuko wangu mmoja ni mtumishi wizara moja hapa dodoma nikaona si vibaya wikiendi tutoke nae baada ya kula na kunywa tukaamua tukapumzike. Kama kawaida...
18 Reactions
263 Replies
27K Views
Habari zenu kuna swali huwa najiuliza ila bado sijapata jibu,nimeamua kuwashirikisha huwenda mtanisaidia kupata jibu ningependa hasa kupata jibu kutoka kwa wakina dada kwani wao ndio wahusika...
6 Reactions
258 Replies
59K Views
Tangu nimuoe nilisha gundua kwamba mke wangu alikua na tabia ya uchoya hakutaka kusaidia majirani wake tukiwa na kitu cha ziada ndugu au marafiki wakija hawapikii chakula kizuri kwenye firiji kama...
14 Reactions
43 Replies
3K Views
Moja ya kitu ambacho wanaume wakifanyiwa watapata amani tukiondoa mapenzi ya kitandani ni kumuheshimu na kufuata kauli yake. Nashangaa wanawake wa sasahivi Wana ujasiri wa kumwambia mume kuwa...
3 Reactions
4 Replies
601 Views
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa! Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko...
36 Reactions
172 Replies
9K Views
Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka, mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo Kampala. Dada...
13 Reactions
128 Replies
15K Views
Watu wengi sana huchunguza kigezo cha uchepukaji tu kwa mchumba wake kabla ya kuamua kufunga naye pingu za maisha. Mimi Sexless kama kungwi mzoefu naomba niwaase ya kwamba kuchepuka hakuepukiki...
1 Reactions
1 Replies
503 Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 28 Nina kil0 97. Sijivunii kuwa na kil0 nyingi hivi ila napamba kuzipunguza ila na0na kama zinazidi. Kwenye Uandishi wangu Badala ya O naweka 0 hiv0 mnivumilie...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Nani yupo sahihi hapa katika ulipaji wa 'bill' muendapo 'out'?
4 Reactions
7 Replies
356 Views
Hili suala la kugongeana wapangaji sijui wenye nyumba kwangu halijakaa poa kabisa. Unajua kabisa ana mtu wake either anakuja au anaishi hapo, hadi muda mwingine wakiwa ndani unapunguza sauti ya...
8 Reactions
65 Replies
6K Views
Habari za Jumapili wanajamii.
59 Reactions
551 Replies
48K Views
Kunakipindi tuliachana na mpenz wang hvyo nkawa mpweke yaan sina dem tena, akajitokeza dem mwingne ambaye tunapendana sijakaa sana ee bwana wee et dem mwingne kajitokeza ananipenda m@m@eee.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi wazee wetu wanapo sema mapenzi ya leo sio kama ya zamani, najiuliza wanazungumzia zamani ipi? Maana tukisikia music ya zamani pia na wao walikuwa wanaimba mapenzi ya leo sio kama ya zamani...
1 Reactions
2 Replies
662 Views
Back
Top Bottom