Habarini Wadau na wapenzi wangu
Leo mama mfundaji nimekuja na haya machache kuwasomesha WANAUME ambao ni Wavivu
hawajitumi kwa wenzi wao, Wengine hawawajali wala kuwatunza wake wao wanaona kama...
WARNING:Ukijiona una roho/mambo/tabia ya kike hata kwa asilimia moja, plz usioe. Twende sasa..
Hakuna kiumbe chenye akili kama mwanamke lakin amenyimwa nguvu na uvumilivu, kwa wanaume tuna 'upeo'...
Maumivu ya mwanamke anaposalitiwa yanaweza kuwa na athari kubwa sana kihisia. Hali hii inaweza kusababisha machungu na kuumiza moyo. Kila mwanamke anaweza kuhisi maumivu tofauti na kuonesha hisia...
Anaandika, Robert Heriel.
Baba.
Zamani Mwanamke hakuwa na Haki ya kupenda, hakuwa na Haki ya kuchagua mwanaume WA moyo wake, Mwanaume anayempenda. Mwanamke alikuwa kama kikaragosi tuu kisicho na...
Kuna mwanamke ambaye nilikuja kupewa baada ya kudai kuwa ana ujamzito wangu. Baada ya miezi kadhaa mimba ile iliaribika. Tukaendelea kuishi kama mume na mke.
Ila kwa kipindi ambacho tulikaa...
Hasa kwa wale vinganganizi kutwa nzima kufatilia kama mwanaume ana mtoto nje, ukiupata ukweli ujipange kisaikolojia!! ni heri ukae kimya umwache mme wako kama alivyo wewe kaa kimya tu maisha...
Kila mtu anamkatisha mwengine tamaa kwa namna moja au nyingine. Lakini ni juu yetu kupunguza hizo tabia, na kuruhusu wengine wawe bora zaidi. Unapoona mtu anajitahidi, usimshushe chini. Angalia...
Yan mda wote anataka akuone ndani Kama msukule vile, wanawake nani aliewadanganya kuwa mwanaume anachungwa kama mbuzi?
Nimeaga nna appointment na wanachama wenzangu imekuwa nongwa, kavuta mdomo...
Hapa nlipopanga ni vyumba viwili sebule na jiko, na nje kuna kibaraza mbele ya sebule ambako ni karibu na barabara. Tumekaa hapa takribani miaka miwil bila shida yoyote.
Juzi kati wife ananipigia...
STORI: VIJANA WA NAMBA WA NAMBA 9
“Wazee wa chombezo kichuo chuo”
SEHEMU YA KWANZA (01)
INSTARAM @middotz_
Whatstapp: +255 655 969 973
Chombezo ni moja ya vitu wafikiriavyo vijana wengi chuoni...
Jamani hii kitu najiuliza sana. Inakuwaje wadada wenzagu, tena wengine nawazidi uzuri lkn wao wanahongwa magari na majumba? Mm naishia kupewa elfu 20, 50 ama kulipiwa kodi mwezi mmoja?
Nipeni...
Habari zenu wakuu. Nimewiwa kuwasimilia safari yangu ya mahusiano hatimae kuja kumpata aliyesubiriwa kwa miongo kuwa Mrs A.
Mimi ni aina ya wale vijana wa kiume wanaoamini kwenye kujitafuta...
Ni usiku tulivu. Naomba sasa nielekee kwenye hoja yangu moja kwa moja.
Wewe unaweza, ingawa mara moja au zaidi umekuwa ukidharaulika.
Umeanza darasa la kwanza mpaka la saba, ukafika sekondari na...
Hata zawadi ya Mimba msije omba. Mke wa mtu si mtu. Mke wa mtu si sumu tu peke yake ni balaa.
Kimbu ana hali mbaya. Mbaya sana jamaa yangu.
Soma: Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama...
Habari..
Kutokana na wimbi kubwa la vijana pamoja na wanawake na mabinti wa dogo wenye tamaa mbaya ya hela, mali na anasa za hapa duniani. Vijana wengi, Wanawake na mabinti wamepotoka na kuanza...
Habari!
Kama kichwa kinavyosema.
Kama huwa unamlipa pesa kila mnapofanya mapenzi nj vyema ijulikane kuwa hiyo ni biashara kamili. Hata kama hakutajii kiwango rasmi au hakushikii badtola ili...
Tambua:
Siku hizi sio kama zamani ambapo undugu ulikuwa na thamani, damu ilikuwa nzito kuliko maji.
Siku hizi unaweza ukawa na braza hapa mjini msionane miaka miwili na msipigiane simu.
Siku...
Wakuu za sahizi
Tuendee direct kwenye mada...
Hapa chini ntaweka visa kadhaa nilivyoshuhudia na vingine nilivyokutana navyo kwenye harakati za maisha
KISA CHA 1: CHA NDUGU YANGU WA MBALI
-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.