Habari za Sikukuu! Niende kwenye maada, katika pita pita zangu nimegundua wanaume wengi wanapenda Wadada wenye Mizigo.
Tena wkt mwingine hata wakipita barabarani wanyabi wanashusha vioo Ili...
Kuna Mchambuzi Mmoja wa Michezo anayekuja vizuri kwa sasa nchini Tanzania hivi Karibuni katoka Kuoa na Boss wake Mkuu Tajiri ila Kiwembe ( Mtiaji Tukuka ) kamzawadia Gari la Kifahari na Kiwanja...
Mapenzi ya mbalimbali yanajumuisha;
Mapenzi na mtu wa mbali na unapoishi (mkoa mwingine/ nchi nyingine).
Mapenzi na mtu mtandaoni na hujawahi kukutana naye.
Mapenzi na mtu ambaye ratiba zenu...
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana jamani leo nimeyaona maajabu yao.
Iko hivi, my man nilikwenda naye kwenye mwaliko wa kula sikukuu ya idi nyumbani kwa shoga yangu Pamela, nilialikwa na shoga yangu...
Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa...
Haya waoaji nadhani mnajionea wenyewe..
Mwanaume kama uko tayari kutawaliwa na Mwanamke Muoe tena Kwa ndoa ila usije kusema hukuambiwa.
====
TAKWIMU za Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini...
Habari wana jf,Leo nitazungumzia dhana ambayo imejengeka kwa baadhi ya imani kuwa ni vibaya kufanya mapenzi kabla ya ndoa.Nianze na mkasa wangu namna hii-
Kuna kaka mmoja alitokea kumpenda binti...
Wiki iliopita nilikutana na dada njiani hapa mtaani kwetu, nikamuomba namba akanipa, baadaye nikamwambia atafute siku tuonane kwenye mgahawa/restaurant for a lunch date, tufahamiane zaidi...
Wanajamvi za muda huu. Kilichonileta jamvini kwa wajuvi muda huu ni ili tatizo langu linalonisumbua. Nimevunga nimeona hali inazidi kuwa mbaya na hivyo kulazimika kuliweka wazi.
Mimi kiasili nina...
Miaka kumi iliyopita yani 2009 niligraduate bachelor of Education in Arts UDSM nilikuwa na mpenzi wangu aliyekuwa anaitwa Rechael yeye alikuwa anasoma Bachelor of Tax .. IFM .
Hakika tulipendana...
Napenda Sana mavazi waliyovaa wanawake wa zamani.Mavazi yanayopiga kelele kuwa "Mimi ni mwanamke".Enzi za mababu zetu unapokutana na Mwanamke huhitaji kumchunguza mara mbili mbili kama ni mwanamke...
Hellow, Habari Wana JF. Sorry Mimi sio muandishi mzuri hua nachanganya capital letters katikati,
As normal Jf imekuwa na member bright sana ambao wengine washachomwa mishale mingi sana kwenye...
Habari wa JF,
Leo nilikua mahali napiga story mbili tatu na pisi moja hivi mitaa ya stend. Tuliongea mengi then tukazama kwenye story za mapenzi, nikamuuliza, kwanini wapenzi wa kutafutana na...
Kama mada inavyosema.
Kuna vijana wenzangu wanaamini kuwa ukioa mwanamke aliyebikra ni salama zaidi na mahisiano au ndoa yake itadumu na atakuwa hana presha na mkewe.
Mtu yuko tayari kuchukua...
Nimechunguza ndoa za ndugu zangu wengi walionizidi umri, utakuta mama anakwambia mumewe hakuwa kwenye mawazo yake, Alimpenda kijana mwingine, ila imetokea tu ameolewa na mume alie naye sasa baada...
Ukiona unapata shida kwenye mapenzi, hauridhiki na mapenzi unayopata, hauridhishwi kitandani. Kiasi kwamba unaona hutokuja kupata mapenzi ya kweli. Au umekata tamaa ya kufaidi mapenzi.
Usijali...
Habari ndugu zangu, nina rafiki yangu ambae tunapendana sana.yeye ni mwanafunzi wa chuo lakini pia anamchumba ambae soon tu akimaliza chuo wanatarajia kufunga ndoa. sasa tatizo ni kuwa amepata...
Habari wana JF
Mapenzi yapo tangu enzi na enzi, mapenzi yanaleta hisia tofauti tofauti katika maisha ya mwanadamu iwe furaha huzuni, hasira msongo wa mawazo n.k.
Maada yangu ya leo inajikita...
MSAADA TAFAZALI
Jambo wandugu zangu wa Tz natumaini nyinyi wote mna afya tele.
Mimi kijana wenu nakuja mbele zenu kuomba msaada kwenu kwasababu nasumbuliwa sijuwi kama ni ugonjwa wala kitu gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.