Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kumeibuka mijadala kuhusu wanawake wa kaskazini na mambo yao katika mahusiano au ndoa. nachoweza kusema yote au mengi ni kweli kabisa........................ Natoa ushuhuda ambavyo imewahi...
23 Reactions
106 Replies
5K Views
Huwa sioni sababu ya kujivunga. Hayanaga tuzo. Ni kweli. Sasa kama sitofanya ndo napewa hiyo tuzo? Kama Mungu atanijaalia maisha marefu hapa duniani, nitafikia umri sitoweza kabisa kufanya...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Brother, nina mtoto mmoja na mke wangu (kiserikali) na tuna miaka 3 hadi sasa, naishi nae bila ndoa. Tuna ugomvi mkubwa wa mara kwa mara tatizo ni baada ya kuanguka kiuchumi akaanza tabia zake za...
4 Reactions
86 Replies
4K Views
Wanaume wenzangu sio kila mwanamke alieko karibu na wewe lazima umle no, wengine acha wakupite. Namaanisha labda umefanikiwa vihela vya mboga kidogo anakuja mdada wa watu mrembo anakuomba...
44 Reactions
86 Replies
3K Views
Nimekutana na bwana mdogo akisikitika sana, nilipo muuliza ni kipi kimekusibu? Kumbe ilikuwa hivi, bwana mdogo alikuwa anachakata mbususu ya bure bure kutoka kwa dada wa kazi (beki tatu)...
6 Reactions
79 Replies
7K Views
Baada ya Mahakama kutamka kuwa Hakimi hamiliki pesa wala mali yoyote, Hakimi akaanza ku trend mitandaoni. Watu wakampatia sifa zenye rangi, harufu na maumbo yote. Ikumbukwe kwamba, suala hili...
22 Reactions
270 Replies
15K Views
Ni muhimu uyajue haya mapema. Kabla ya kuchelewa na kujikuta unaumia juu ya wanawake bila sababu. Wanawake ni tofauti na wanaume. Jifunze haya mapema. Utatumika jinsi unavyomuongoza. Kama...
20 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, itifaki imezingatiwa Ndugu zangu jua lilikuwepo tangu zamani na mpaka sasa hivi tunaona uwepo wake. Mwezi ulikuwepo tokea zamani mpaka sasa tunauona mwanga wake. Mvua...
3 Reactions
9 Replies
560 Views
Nipo hapa Chuo X Kuna Mwanamke nimemwambia Mimi ni Mtumishi wa Serikali nafanya Kazi ofisi ya waziri Mkuu . Wakati tupo Katika maongezi imeingia message kwenye simu yangu , jina limeandikwa Mh...
9 Reactions
33 Replies
2K Views
Wife amekuwa ni mtu wa raha japo kuna vi ups and down ila muda mwingi raha imetawala. Siku hadi siku wife anazidi kuwa kibonge mashavu yamenawiri na ngozi kuwa nzuri bila kutumia vipodozi...
23 Reactions
93 Replies
6K Views
Habar wana jf Natamani wote ni wazima Wazee hii kwangu ishakuwa kipengele nilikuwa na mwanamke tulipendana sana na kutambulika kwa wazazi wetu kuwa tupo pamoja na huyo mwanamke ila baadae...
3 Reactions
61 Replies
3K Views
Za sahizi humu ndani kama mjuavyo mida yangu ya wanga ndo mida mixuri zaidi kwangu kwenye kutafakari mambo mbalimbali Majuzi nilikuja na thread ya kusema kuwa namuwaza sana demu fulani hivi...
7 Reactions
63 Replies
4K Views
Kuna mambo mengine yanafikirisha saana na kustaajabisha. Kuna watu walipambana usiku na mchana kutunga sheria za haki sawa kwa wote yaani mwanaume na mwanamke wote wako 50/50 Lakini cha ajabu...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Ni wakati wa kubadilika sasa kutoka kwa hasi hadi kuwa chanya. Jitahidi uwe mwema kwa wengine. Jipende kwa ukubwa wowote. Ikiwa una uwezo wa kupenda, jipende mwenyewe kwanza. Usimuendekeze...
8 Reactions
98 Replies
4K Views
Nimeandika hivi baada ya kukutana na post Moja Zari kaandika; "Binti kama UKIPATA nafasi ya kucheat Kwa ajili ya pesa basi tafadhali Fanya hivyo. Hawa wanaume Wana cheat Kwa ajili ya vitu vya...
1 Reactions
4 Replies
360 Views
Kuna mavazi ya kike/mwanamke akivaa huwa NALIA NGWENA nasisimukamka sana mpaka kichwa Cha chini. (1) kanga na chupi/taiti, uvaaji wa namna hii huwa nasisimka sana macho huwa yananitoka mithri ya...
8 Reactions
59 Replies
5K Views
Hili jambo linanihuzunisha sana. Sina cha kuwasaidia lakini angalau nina mdomo na mikono ya kusema na kuandika. Kila ninapona watoto wadogo wasio na mwelekeo kwemye maisha, hawana pa kulala, kula...
13 Reactions
65 Replies
2K Views
Huu upuuzi Kila siku naukataa,kama Pesa ya Mwanamke Hainihusu yupo hapo Kwa Ajili ya nini hasa? Hicho kinachoitwa ndoa ni Cha maana gani ikiwa kinaleta unyonyaji Kwa Mwanamke? Si Bora niwe...
7 Reactions
61 Replies
3K Views
Habari wana jf niende kwenye mada.. Chanzo Ni nature ya mji Kila mji una Aina fulani ya maisha ya asili kutokana na mahangaiko yamaisha yanayo sababishwa na mji husika ... Ukija mkoani utakutana...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom