Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Polen na majukumu! Miaka kadhaa iliyopita nilioa, mwenzi niliyeoa alikuwa amesha zaa na mtu mwingine. Moyo wangu ukatokea kumpenda hata kama alikuwa na mtoto, nilianza naye maisha...
16 Reactions
106 Replies
13K Views
Wadau, wiki liliyopita nilikuwa moro kwa mambo yangu binafsi. Mishale ya saa tano nikatinga baa moja kupata maji ya ilala. Mezani nilipokaa nilikuwa peke yangu, kupiga funda tatu tu, jimama...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Nipo njia panda kwa kweli.... Naombeni ushauri, hasa hasa huyo wa kwanza Picha kwa hisani ya Google
2 Reactions
76 Replies
3K Views
Advice Huku mtaani ,majumbani barabarani habari ni kutelekezwa kwa watoto na kila familia Basi hukosi zao la single mothers au kijana wa ovyo aliyetia wanawake Mimba bila kuwaoa What I need to...
4 Reactions
8 Replies
833 Views
Wanawake wengi wa sasahivi wamekuwa ni pasua kichwa katika familia zao.Wanafanya mambo ambayo yanachochea UGOMVI na chuki Kila mara. Hawana heshima Kwa Waume zao sababu hawajui thamani ya...
2 Reactions
10 Replies
674 Views
Mimi nimekutana na malalamiko mengi na magomvi mengi ya mahusiano yanayotokana na hili. Hapa ndio pale mwenyezi Mungu aliwaambia wanaume waishi wanawake kwa akili. Usipotumia akili unaweza...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu. Naamini humu ndani watu Wana maarifa mbali mbali katika nyanja tofauti tofauti. Nipo na mahusiano na mwanamke mmoja ambae nmezaa nae mtoto mmoja. Siku kama mbili...
3 Reactions
54 Replies
2K Views
INTRODUCTION Eeeh bwana eeeh! Wazima humu na Heri ya pasaka sanaaa. NB: Sina maana yoyote ya kudhihaki kutokana na kichwa cha habari. Anyway baada ya salama twende kwenye mada. SCENARIO Nina...
11 Reactions
50 Replies
5K Views
VIPI Shangazi? Nimeachana na mpenzi wangu baada yake kubadilisha ghafla mienendo yake. Tulipoanza uhusiano wetu, mpenzi wangu alikuwa mwanamke mwenye heshima sana kwangu, lakini wakati fulani...
1 Reactions
9 Replies
721 Views
1. Watu Majani 2. Watu Tawi 3. Watu Mizizi WATU MAJANI: Hawa ni watu ambao wanakuja katika maisha yako kwa msimu tu. Huwezi kuwategemea kwa sababu ni dhaifu. Wanakuja kuchukua tu wanachotaka...
11 Reactions
41 Replies
3K Views
Acheni acheni acheni mishangazi. Ngozi ngumu, matiti magumu na sura ngumu. Makalio magumu n.k Chukueni mabinti. Tits laini, makalio laini, ngozi laini. Sasa nyie komaeni na mishangazi mfe kwa...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Kumekuwa na makelele ya vijana wakisema ndoa ni wizi, utapeli na kupotezeana muda nk. Ndoa za sasa ni tofauti kabisa na ndoa za zamani, mama na baba zetu walidumu kwenye ndoa kwa muda mrefu bila...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndiyo group pekee ambalo wameweka kukaa nami miezi miwili. Wamejitahidi sana ila nadhani wamefikia hatua wameshindwa Mimi mwenzenu haya magroup ya whatsapp huwa simalizi week moja. Wanani remove...
15 Reactions
46 Replies
2K Views
Mwanamke aliyewafahamu wanaume, na hakuna mwanaume aliyechomoka kwake. Aliwezaje? Alifukuzwa nchini kwake, lakini alikuja kuwa Malkia wa nchi ile ile aliyofukuzwa, Aliwezaje? [emoji419] Mwaka 48...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Binafsi nikikumbuka mpka nasema kweli Mungu yupo. Yule dada alikuwa mchawi kweli kweli na kila mtu alimuogopa. Mimi baada ya kutoka chuo nikaenda kumtembelea babu kijijini...
23 Reactions
96 Replies
9K Views
Alijiona mjanja akawapa K jamaa zangu wawili... Nami siku flani nikawa na njaa nikategemea nami angeni poza akanitolea mbavuni. Akaniruka. Ila next week yake alipokuwa na jamaa wakanywaaa weeeeee...
21 Reactions
56 Replies
3K Views
Siku ya jana mida ya saa saba mchana nilikuwa matembezini, nilipoamua nirudi nyumbani kwenye kona fulani hivi nikakutana na wife tukapeana salamu baadae akaendelea na mishe zake, ila moyo nikawa...
11 Reactions
183 Replies
14K Views
Nimefanya uchunguzi mdogo(simple research) hapa kitaa ninapoishi na maeneo tofauti tofauti pamoja na kwenye social network, nikagundua sababu kuu muhimu zinazofanya baadhi ya wanaume kukataa kuoa...
7 Reactions
62 Replies
3K Views
Wengi wenu nadhani mshawahi kukutana na pingamizi za ndugu na wazazi linapokuja suala la kuolewa au kuoa mtu fulani ambaye ni mtu wa jamii tofauti na yako namaanisha kabila tofauti. Mambo haya...
6 Reactions
222 Replies
26K Views
Back
Top Bottom