Why do you admire someone?(Kwa nini unavutiwa na mtu?)
Hapa kuna machache:
1. Akili
Huwa inafurahisha kuwa karibu na watu wanaojua mambo kunizidi - ni nafasi ya Mimi kujifunza Vitu kutoka Kwao...
Mwezi wa March mwaka huu Somoe alinipigia simu kuwa Valentine day imejibu,maana tulioelekeana moto akiwa kwenye danger days, Nikamwambia wow! Haina shida nitalea. Mwezi wa sita ndani ya wiki mbili...
Kuna MC fulani kitaa ni muongeaji mzuri, kuna siku alikuwa ana kazi mbili. Moja ilikuwa kuongoza ibada ya mazishi makaburini mida ya alasiri kwenye msiba wa mtu wake wa karibu, alipewa kazi hii...
Wanawaje wote akili zao zinafanana. Unakumbuka ule mwaka Leicister city anachukua ubingwa wa EPL?
Timu ilikuwa chini ya kocja Raniel
Sasa kuna mzee mmoja pale England kaganana na Raniel copycopy...
Mume wangu tulikutana chuo, mimi nikiwa na miaka 20, yeye 21. Tukaanza kuishi pamoja kama mke na mume.
Tulikuwa tukiandika majarida mitandaoni ndo tunapata pesa ya kujitunza wenyewe, na ndo pesa...
Nilikutana na huyu binti mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15.
Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu...
Wanaume wenzangu hapa unafanyaje. Unaishi na mkeo tu ndani, watoto wote wapo shule anakuja nyumbani shemeji yako wa kiume ambaye ni mdogo wake na mkeo, huyu jamaa kamaliza chuo anasikilizia ajira...
Wasalaam wakuu
Kipenzi mke wangu najua ananijali sana na kunipenda , ndiyo maana akakubali kwa kila hali na namna ifaayo kunipokea
Na kabisa baraka tele ziwe juu ya huyu mwanadada juu ya...
Wanaume,
Usimfungulie biashara mwanamke wako.
Usifikirie hata kufungua biashara chini ya jina lake.
Fungua biashara yako na umuajiri.
Shughulika naye kama mfanyakazi mwingine yeyote na uwe...
Jamanii nimechoka na hawa mabinti
Kama mada inavyojieleza. Mi ni kijana rijali mwenye umri upatao miaka 35 Kutokana na changamoto za kimapenzi kutoka kwa hawa mabinti wa 20's nimeona sasa...
Leo nimeamua kuja na uzi huu kutokana na tatizo kubwa lililomo katika jamii yetu ya Kitanzania hususani sehemu za Mijini hasa miji mikubwa mikubwa. Vijana wengi wadogo (18-25) wamejikuta katika...
Nina umri was miaka kadhaa sio teenager tena ni mtu mzima flan ila napenda chini na kwa imani yangu mambo magumu mno.
Niliachwa wkt nikiwa college, niliteseka Sana, nilikuja kugundua asb...
Ni familia flani hapa hapa jijini Dar es salaam. Ukiwatoa wazazi ambao washatangulia mbele ya haki, wanabaki watoto tisa. Wakike watatu na wakiume sita. Kufungua mimba ni dume na kifunga mimba ni...
Sijui nyie mmeumbwaje jamani! Khaaaaa!
Hivi aliyewapa kibali wakati wa sex kutupiga makofi makalio yetu ni nani? Aliyewaambia wakati wa sex ni wakati wa kupigana makofi nani? Unakuta jitu hata...
Ndiyo! Kuanzia wiki ijayo ndiyo uwongo walioaminishwa nao leo utajulikana na kudhihirika.
Leo wapenzi wao wametoa visababu kedekede vya kuwafanya wawe mbali nao lkn wiki ijayo itajulikana kuwa...
Ukiona imeingia msg mojawapo katika hizi kipindi hiki.
" Mambo my ! Nimekumiss sana"
" Babe umenisusa upo kweli"
" Mambo vipi? Unaendeleaje?"
" Nina hamu na wewe babe?"
" Siku hizi umenitenga...
Yaani upare wangu huu unanikosesha pisi kali saana, yaani nikimtongoza binti yoyote hata awe mzuri vipi akianza kuniomba pesa sijui kusuka umeme mzuka unanikata kabisa.
Nipo radhi nikae nae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.