Mnaishi pamoja lakini mpo kama mtu na dada yake. Na mahitaji yako ya kimapenzi hayatimizwi. Ujue mvuto umepungua. Inaweza kutokea hata baada ya miaka mingi ya mahusiano. Inaweza kutokea wakati ndo...
Leo navunja kibubu anybody around Moro town tunaweza Anza weekend hata saivi kama mnataka [emoji2957][emoji2957][emoji12][emoji490][emoji1635][emoji481]
Kama ulikuwa ni mtu usieenda kabisa club, si mbaya ila nikwambie kitu bro jitahidi walau once kwa miezi miwili tembelea hayo maeneo, fululiza weekend mbili mfululizo club zenye majina...
Nimekuwa msomaji wa threads nyingi humu ndani. Leo nimeona nilete kisa changu mwenyewe humu ndani.
Husika na mada hapo juu. Ni hivi, mimi ni daktari, mwanamke niliyekuwa naishi naye ni mkulima...
Baadhi ya wanaume ni wajinga sana
Wanaume hao hudhani kuwa wanahitaji wanawake tu kwa ajili ya ngono ila hawataki kuoa mwanamke asiye bikira.
Kwa kawaida hupewa ngono kwa ukarimu kutoka kwa...
Samaleko...
Hiki nacho ni moja ya visa vyangu kwenye harakati zangu za kumpata mtoto wa mama mkwe.
Kuna ka binti nilikutana nako miezi kama mitatu iliyopita. Siku ya kwanza tu nakaona...
Kwenye attachment hii ni convo ya mimi na mkewangu ambayo ilifanyika jana kupitia simu zetu. Story ni hivi, juzikati 'Jmosi' tuliandaa sherehe ya birthday ya mwaka mmoja ya mtoto wetu D...
Wanaume wenzangu msile mazao na mbegu bana sisi watoto wenu tutapanda na kula nini?
Yani sasa hivi hata kama nimekaa tu na washkaji kwa jinsi pisi zinavyoliwa najua tu hata nikioa wataliwa tu...
Wakuu kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu hawa dada zetu mbona hawaeleweki?
Kuna mwanangu mmoja hana muonekano hana hela ila ni muhuni anavuta sigara lakini wanawake wanampenda mno awala sana...
Idadi kubwa ya wanaume waseja hawawaamini wanawake. Wamelala na wanawake wasiohesabika ambao wanadhani kila mwanamke amelegea. Mwizi anaamini kila mtu anaiba.
Habari wana jamii forum poleni sana na majukumu ya kila siku na harakati za kutokomeza hili zimwi jipya la nga'mbo linalotuandama..kwa waliofunga asalaaam aleikum mola aendelee kupokea dua...
Habari za asubuhi ndugu zangu...
Katika harakati zangu nataka kuoa ila mwanamke wa kuoa sipati kabisa pia napenda sana niwe na familia ila mama mtoto ndie awe mke na awe mama kweli kweli maana...
Dunia haitomsahau Gabriel Villa, mwanasheria kwa taaluma aliyefanya pia kazi ya uwakala wa usafirishaji.
Bwana huyu mwaka 1994 alikutana na mwanadada mrembo Christina Carta kwenye sherehe...
Nawasalimu
Kauli hii ya tafuta pesa, imekua si kauli ngeni sana masikioni mwetu au pindi usomapo maandishi imekua ni kauli ya kawaida sana na inakua kwa kasi sana katika wakati wetu huu. Kauli...
Hello family,
Nisaidieni tafsiri ya ndoto hii nimeota mpenzi wangu Irene mtoto wa Hedaru mwenye Babu na Bibi wa huko Gonja Kighale amejifungua mapacha wote wa kike, ni mpenzi wangu miezi sita...
Habari muda huu Wana JF poleni na majukumu mbalimbali na ramdhani Kareem kwa ndugu zangu waislamu.
Juzi siku ya jumamosi mke wangu alianza kutapika uku akilalamika anajisikia uchovu, leo Imebidi...
Jamani hali zenu,
Sifa za mwanaume alpha male(anayejitambua, mwenye hela/madaraka na kusimama kwenye nafasi ya kiume);
1. Yeye hajali sifa kutoka kwa wanawake iwe mke wake au akina dada wengine...
Ratiba zako, pesa zako na mawazo yako mengi yaelekee kwenye malengo.
Alafu utengeneze muda kwa ajili ya mwanamke na familia pia. Na sio kinyume. Yaani ukaanza na mwanamke alafu ndo ufate malengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.