Habari za usiku ..
Hakuna mwanamke anapenda kusikia ukweli kutoka kwa mwanaume yeyote yule... Amini na waambieni wanaume wenzangu.
Ukitaka kumpoteza mkeo, mpenzi wako au demu wako au mchepuko...
Hivi wanaume nyie ni nani kawaroga?
Mimi kama mwanamke nimeumizwa sana na nitaendelea kuumizwa kila nikiona wanaume wanavujisha video clip za wanawake wenzangu wakiwa watupu chumbani wamelala...
Kitambo kidogo mwamba nikiwa darasa la saba najiita LY (last year ). Nilitokea kumzimia mtoto mmoja wa kipemba lakini mwamba kumwambia kuwa nampenda ndiyo ulikua mtihani mkubwa sana.
Kwa kuwa...
Katika hali ilozoeleka kusia kutoka kwa mabinti ama madada zetu pale tunapowachumbia ni ile wao wanaposisitiza kushiriki tendo la ndoa pale tu ndoa itakapokuwa imefungwa.
Ndoa haijafungwa no sex...
Ili swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano...
Hello family,
👇👇👇
Natuma salamu kwa huyu member mwenye picha yenye nyashi a.k.a Nanamucho amefanye dharau eti sisi wadau humu hatuna pesa, sasa natoa ofa kwake na mabasha wake nikutane nao sehemu...
Dunia haitomsahau Gabriel Villa, mwanasheria kwa taaluma aliyefanya pia kazi ya uwakala wa usafirishaji.
Bwana huyu mwaka 1994 alikutana na mwanadada mrembo Christina Carta kwenye sherehe...
Mwanamke anajua ana thamani.
Tangu azaliwe anathaminika kuliko mwanaume. Na jamii inamlinda.
Jambo linalowapa nguvu kwenye suala la mahusiano.
Mwanamke ana sehemu kubwa ya kuchagua mpenzi...
Kama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM...
Kidume nilijichanga nikasema ngoja nitafute mtu wa kucheza game naye ili nifurahie jasho langu..
Nikaamua kutafuta dadapoa, nikampata tukapanga kukutana sehemu fulani.
Nikamwambia andaa kabisa...
Kitanda changu ni nne kwa sita, mke wangu aisee ana staha sana. Kinachofurahisha Zaidi ukimshika mgongo nywele zinasisimka, ukimshika paja linatelezaa tu, ukimnong’oneza mpaka nywele za kichwani...
The only thing women want from men is Attention, PENIS, bank Card,
Trust, Compassion, PENIS, passwords
Love,jokes, cash, Orgasms, time, Gifts, Compliments, Prayers, Shoping, money and PENIS...
Habari wakuu, ndugu zangu naombeni ushauri, mm Kuna familia tunaishinao kama ndugu ila kimsingi siyo ndugu zangu just kukutana katika jumuiya za kanisani kusali, na nimekuwa ni kiwatembelea kwao...
Hili ni moja Kati ya tukio ambalo huwa nikilikumbuka linanikata maini sana NALIA NGWENA, nikiwa nimemaliza kidato Cha nne, pale nyumbani kwetu kulikua na wapangaji vyumba vya nje vilikua vinne...
NDOA, NDOA, NDOA;
@ Ndipo akaja Yule Malaika Awekaye Ukumbusho Katika Vitabu Sawasawa Na Matendo ya Kila Mtu ameshika Kitabu Cha mtu mmojawapo. "Bwana Kitabu Chake Ni Hiki Hapa", Alisema.
~"Jumla...
Nawaunga mkono wanaokataa ndoa, ndoa kwa sasa ni utapeli hususani kwa vijana wa kiume na wanaume.
Kijana wa kiume ukishindwa kabisa kujizuia kutoishi na mwanamke basi tafuta mwanamke atakayekuwa...
Pichani hapa chini ni Hakimi na aliyekuwa mkewe. Kwa kuangalia tu mavazi yake, sisi makungwi tunapata jibu kuwa huyu alikuwa siyo mke, bali ni kahaba lililokubuhu.
Nawaonya enyi wanaume...
Labda ameuidhiwa kazini, au
Labda yupo kwenye siku zake, au
Labda amegombana na rafiki zake, au
Labda mtu amevaa nguo imefanana na yake, au chochote kimemuudhi.
Anaweza kutaka kuondoa hasira...
Acha pupa/Uharaka
• Mtoto wakike wala usimwarakishe. Ukifika chumbani(akafika chumbani) kwanza (kumbatianeni na mbusu pia mnongoneze. Kwa sauti ya mahaba ya chumbani, mwambie nakupenda.
•...
Wanaume wengi wanaishi kwenye ndoa na inaonekana ndoa sio suluhisho la kukidhi haja zao za kimwili.Hii imetokana na sababu nyingi.
Kuna mtu asubuhi ameandika Uzi kuwa “Vijana mkiingia kwenye ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.