Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nadhani mmeona wenyewe mambo aliyofanya ASHRAF HAKIMI na wanaume pia baadhi ya wanawake wanavyofurahia alichokifanya. Mwanaume anamdharau mwanamke anamthamini mama yake. Yaani anamthamini...
23 Reactions
216 Replies
6K Views
Habari za weekend wana JF, niende moja kwa moja kwenye mada. Binafsi nimeoa miaka 9 iliyopita na watoto 3, maisha ya ndoa yako poa sana. Kwa upande wangu kulingana na mwanamke niliyebahatika...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha...
34 Reactions
280 Replies
10K Views
Habari wandugu, Moja kwa moja niende kwenye mada Apo juu. Kuna hii ishu ya 50/50 yaani mwanamke na mwanaume wawe sawa kwenye kila kitu bila kumkandamiza mmoja Kati yao. Kwa upande wangu naona ni...
10 Reactions
137 Replies
4K Views
Mama ndiye mwanamke wa kwanza kabisa anayekutana na mtoto wake tangu kuzaliwa, na hivyo kuwa na uhusiano wa kipekee na mtoto huyo. Mwanamke huyu anamlea mtoto wake kwa miaka kadhaa, akimpatia...
8 Reactions
88 Replies
2K Views
Kufunga 'PM' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula...
21 Reactions
454 Replies
8K Views
Hahahah ngoja nianze na kicheko unafiki, hivi wanaonijua huwa naandikaga pumba eti? Anyway sikuumbiwa mapenzi, ninayotamani yote hufa. I hate love, ila sina jinsi, najua napoteza ila sina namna...
11 Reactions
225 Replies
5K Views
Habari. Maisha yana hadithi nyingi sana ila mimi ninachokumbuka kuna muda mwanamke mmoja alikuwa amenipenda sana kipindi ambacho mimi nimetoka kumaliza chuo sina kazi ila mtoto ananielewa balaa...
28 Reactions
63 Replies
5K Views
Nazungumza na wewe mwanamke. Baraka yako ipo kwa mumeo, ukipata bahati ya kuolewa na mume ambaye anatimiza majukumu yake kama mume kaa kwa kutulia, muheshimu mumeo shoga, Muheshimu sana maana huyo...
13 Reactions
29 Replies
2K Views
Leo taasisi ya ndoa inapitia magumu mengi sana. Wababa hawajui wajibu wao na hawajui namna ya kuishi na mke kwa akili. Mwanamke ametoka kwenye ubavu mmoja tu wa mwanaume, hivyo basi mwanaume...
34 Reactions
74 Replies
4K Views
Nimekaa tu nikawaza. Hawa wenzetu wakiishiwa hela wanaweza wakautumia mwili wao kama kitegauchumi. Je, sisi wanaume tukiishiwa hela na ramani hazisomi tunafanyaje? Hebu wale wazee wenzangu...
5 Reactions
47 Replies
3K Views
Mfalme Sulemani anasema kimbia jangwani (Mithali 21:19) au ukae kwenye dari (Mithali 21:9) peke yako. Labda ndivyo alivyoishia yeye na wanawake zake 1,000. Ukitaka ushauri wa mwenye wake wengi...
21 Reactions
141 Replies
4K Views
SINGLE Lady Acheni Kukata Tamaa. Wanaume wanaowajibika ni wengi. Kuna mwanaume anakutafuta, je uko tayari kwa ajili yake? Unaweza kukamilisha mpango wako mwaka huu! Wanaume wapo wengi kuliko...
5 Reactions
28 Replies
942 Views
Kisa cha mchezaji wa PSG Achraf Hakimi kuandikisha mali zake kwa jina la mama yake halafu mkewe kuambulia patupu mara baada ya kuachana kimewafanya wanaume wengi kupata muamko wa kutaka kuiga hiyo...
13 Reactions
60 Replies
4K Views
Habari wakuu. Kama kichwa cha uzi kilivyojieleza hapo juu. Kuna hii kasumba mtu anakuuliza (hasa kwa wanaume) vipi umeoa? Ukijibu hapana atakuuliza tena, ila ushapata mtoto? Je, ni sawa mtu...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Ni asubuhi njema! Kama kichwa cha uzi kinavyosema, maadili ya kiafrika ndiyo yaliyotulea na kutufikisha hapa tulipo. Kuna mitazamo mbali mbali ambayo si rasmi kwa baadhi ya wanajamii kuhusiana...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Majini wakiwa kama viumbe hai nao hutamani kuwa na mke au Mume wa kibinadamu Hali hii hupelekea kutafuta ampendaye katika wanadamu na kufunga nae ndoa hata bila binadamu huyo kupenda. Na hizi ni...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Za mchana Jamani leo natoa pongezi kwa Wanaume watanashati na utanashati huo unakuja kujidhihirisha ndani yani unakuta tango na sio bamia Ila ninyi watanashati wazuri yaani halafu ndani ziro...
8 Reactions
79 Replies
6K Views
Ni aina ya wanawake ambao wala hutumii nguvu sana kuwapata, cha kukupagawisha tu ni kwamba huwa ni pisi kali sana, wakimya, wanavaa fresh, hawana mdomo, unaweza kusema umepata kumbe hapo ndiko...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
I just want to know the reality of life, is it true all men cheat? I have ended my long relationship because of cheating.I cant tolerate continuing with a person after i found evidence he has...
9 Reactions
116 Replies
4K Views
Back
Top Bottom