Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Anaesema kuwa mtoto wa nje ya ndoa ana hitilafu kijamii na kwa Mungu afikirie upya. Mwenye uwezo wa kuumba ni Mungu tu peke yake. Kama umebahatika kupata mtoto wa nje ya ndoa mkumbatie sawa na...
8 Reactions
82 Replies
8K Views
Kama maada inavyojieleza hapo juu, wanaume wenzangu msipende kujibu sms iliyo tumwa juu ya screen. Ni bora uifungue na kuijibu ila sio juu ya screen [emoji24][emoji24][emoji24], sina hamu mke...
35 Reactions
118 Replies
6K Views
Hivi Mwanamke akisema hata Mwanaume umpe umpe nini haridhiki, hiyo ‘nini’ humaanisha kitu gani? Tuambieni hizo nini ni nini basi. Kama hamsemi mtaendelea kuita wanaume wote ni Mbwa.
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Tunaambiwa kwamba kuendelea kuishi pamoja na kuzaa watoto bila kufunga ndoa kanisani ni uzinzi na kumchukiza Mungu. Sasa na mimi nauliza, naweza kwenda kanisani kufunga ndoa bila kusaini...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu... Katika harakati zangu za kimaisha kuna kipindi hapa katikati nimepitia msongo wa mawazo mkali sana kazini uliodumu kwa muda wa mwezi mmoja na nilishindwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sasa shida ni nini mpaka mnakiuka utaratibu? The storyteller wenu nimefall in love kwa kabinti kadogo dogo ka QT. Kutokana na mitego kaliyokuwa kakinielekezea, ya kufunga khanga vibaya mbele...
2 Reactions
7 Replies
526 Views
Ni mejifunza kitu kikumbwa kwa stori ya Hakim, ndoa ni kama vita ya kirafika mwanamke ni "friendly enemy" ni muhimu kuchukua tahadhari na kuacha huruma wa kijinga kuna wale akisha zaa na mwanaume...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Mshahara wangu wa mwezi March umechelewa kutoka Mpaka tarehe hii. Nilihitaji kiasi cha Tsh 1.4m kwa ajili ya kufanyia jambo fulani Najua mke wangu hawezi kosa hiyo pesa. Najua anatunzia chumbani...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Mfumo ni ule ule kama ilivyoandikwa Mke amuheshimu Mumewe na Mme ampende Mkewe. Basi hili andiko linawahusu na watoto pia 'BABA AHESHIMIWE MAMA APENDWE' hili ni jukumu la wazazi kulitimiza...
3 Reactions
18 Replies
530 Views
Imagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa. Eti kisa...
7 Reactions
114 Replies
6K Views
Nampenda sana huyu binti Joannah kweli, ni mpambanaji na anajua kupenda. Nimetoka club mida hii nikitafakari namna huyu mrembo anavyonipenda, na kweli nathibitisha ananipenda, kupitia jukwaa hili...
21 Reactions
211 Replies
8K Views
Nilikuwa simfahamu huyu ndugu yangu, ni mtoto wa mama mdogo, nimemfahamu juzi kwenye family gathering event😭ni damu yangu kabisa halafu kijana, mara ya kwanza nlivomuona tabia zake, na jinsi...
8 Reactions
92 Replies
5K Views
Habari wakuu, poleni na majukumu Mimi ni kijana wa makamu nimepanga na ninajitegemea pia ni mfanyabiashara... Shida iliyonileta hapa wakuu kuna msichana mrembo sana ambaye nilikuwa nafahamiana...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Wanaume siku hizi mmekuwa wambea sana kuliko wanawake, mwanaume kabisa unakaa kijiweni unamjadili mwanamke au unataka kushindana na mtoto wakike huo ni ujinga. Mwanaume mzuri hanaga mambo mengi...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Kuna hii kasumba ya baadhi ya familia kijana wa kiume hata kama hajafikia umri wa kuoa, wazazi au ndugu zake wanamwambia asioe mapema kwasababu hatawasaidia ndugu zake. Uhusiano wa mimi kuoa na...
6 Reactions
33 Replies
1K Views
Habari Wana JF. Wengi wetu tumekuwa na maombi tofauti sana juu ya tuliowahi kuwa nao katika mahusiano na hatimae kuachana (ex). Nikianza kwa upande wangu nilikuwa na huyo mrembo wangu tulipendana...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Mamboo Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa Mwanaume ambaye anajua kucare. Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke...
14 Reactions
192 Replies
8K Views
Kumtoa Arusha Kuja Dar Tsh 80,000/= Kumrudisha Arusha Tsh 80,000/= Kulala Nae Siku Tatu Tsh 150,000/= Chakula Kwa Siku Tatu 60,000/= Kuhonga Tsh 150,000/= UBER 50,000/= JUMLA Tsh 570,000/=...
26 Reactions
109 Replies
5K Views
Siku moja jioni, nikiwa nimejichokea zangu kutokana na harakati za maisha za hapa na pale, nikaamua kutinga kwenye kijiwe kimoja kwa ajili ya kupata mvinyo baridi pamoja na kwenda kusikiliza mziki...
4 Reactions
83 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwa Tuliowahi kupigwa vibuti, hebu tukumbushane changamoto tulizowahi kupitia baada ya kuona hapa sasa nimeachwa. Mimi upande wangu nilipata tatizo la presha...
31 Reactions
481 Replies
64K Views
Back
Top Bottom