Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nilikata miaka kama kadhaa hivi bila kuchovya (kuosha mpini) si sababu sina pesa. Laaah ... Pesa mademu wananilia sana na vile mimi ni mpole na mwaminifu so huwa nakuwa na demu ila akiniambia...
13 Reactions
39 Replies
3K Views
Kwa mila na Desturi zetu za Kitanzania. Jamaa aliyeoa dada yako hata siku moja SIO NDUGU YAKO. Hii kitu inote kwa sababu kwanza kabisa dada yako akifariki jamaa anaenda kumzika kwao. Watoto wote...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Ikiwa unapenda kuolewa, lazima uolewe ndani ya miaka 2. Vyanzo vyote vinavyoaminika kama vile U.N na World Factbook vinaonyesha uwiano wa kimataifa wa Wanaume kwa Wanawake ni takriban 1:1. Kwa...
5 Reactions
74 Replies
2K Views
Wakuu, Mtaa jiran na Ninakofanya biashara Kuna mzee mmoja yuko Kwny early 60s, zamani kipindi naanza anza biashara aliwahi kua mwenye nyumba wangu kwenye fremu moja wapo Kati ya fremu zake. Huyu...
12 Reactions
206 Replies
7K Views
Hello Africa Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja ambaye tulijuana tukiwa shule ya upili ni mda sasa tangu tuwe kwenye mahusihano sasa kila tukigombana anakunja nguo zake anataka kuondoka na...
5 Reactions
79 Replies
2K Views
Hello guys, Kila mmoja wetu ajiangalie kwenye kioo kuanzia kichwa hadi unyayo..most of us tutagundua kuwa we are below average in terms of looks wanaume wachache sana hapa Tanzania wana-qualify...
5 Reactions
89 Replies
14K Views
Yaani nashindwa kuelewa wenzangu hua mnawezaje umemtongoza mwanamke kakukubalia mnapanga siku ya game for the first time mnakaa kwanza baa mle mnywe ndo mkafanye yenu, huwa mnafanyaje Kwa sababu...
8 Reactions
57 Replies
3K Views
Salamu ndugu Wana JF Wazazi ni jukumu lenu kuwalea watoto na kuwafundisha Kila waanachostahili ikiwemo na tahadhari zote wanazotakiwa kuzichukua katika maisha Ili kuishi vizuri.Mnapaswa kufanya...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Natumai hamjambo wananzengo Wakuu kuna binadam wana moyo sana, hili nimelithibitisha baada ya huyu bwana kunisimulia kisa chake. Ipo hivi, huyu bwana alisoma chuo kimoja na mpenziwe, wakiwa chuo...
10 Reactions
49 Replies
5K Views
Kwenye mchezo wa kandanda kinachohitajika na kupata pointi tatu muhimu, hii ni muhimu Sana, haitajilishi unashinda hyo mechi Kwa goli 1, 2, 3au goli 4 muhimu ni kupata point tatu haijalishi...
3 Reactions
16 Replies
951 Views
Binti anawapanga Wanaume zaidi ya watatu kwa mpigo bila wao kujuana na kujua kwamba wapo wenyewe. Ipo hivi wakuu, huyu mwanamke ni binti anauza duka la karibu na ofisi yangu (mimi ni...
13 Reactions
79 Replies
4K Views
Mimi katika maisha yangu nilishaapa sitooa mwanamke mwenye mtoto sababu ninajua mahawala hawaachani tena kama wamezaa ndio huwezi kuzuia kwa kisingizio matunzo ya mtoto kumbe jamaa anakumbushia...
9 Reactions
224 Replies
21K Views
Mwezi wa pili nilimkopesha dem fulani hela, alikuwa ndio amehamia geto kuna vitu alikuwa lazima anunue. Kiwango cha pesa sitokitaja 😂, aliniahidi kurudisha katikati ya mwezi wa 3 sasa naona siku...
10 Reactions
135 Replies
6K Views
Habari za mchana ndugu zangu. Naishi na mzazi mwenzangu na alishakuwa na watoto kabla ya kukutana na mimi... Ni hivi, juzi alimpost mtoto nisiyemjua status kumuuliza ni mtoto wa nani akaniambia...
9 Reactions
86 Replies
4K Views
Salamu zenu wakuu Wana JF, Mwanaume fanya yote Ila usije ukaoa mwanamke mwanaharakati eti wanatetea haki zao kwenye Ndoa nao ni wapambanaji. Mfano si mnaona mdada maarufu hapa mjini mama ntilie...
12 Reactions
32 Replies
2K Views
Ipo wazi kuwa katika mfumo rasmi wa maisha ya mwanadamu, huwa unahusisha pia muunganiko wa jinsia mbili tofauti (ndoa). Ila kwa kadri siku zinavyoenda, muunganiko huu umegeuka kuwa changamoto sana...
91 Reactions
565 Replies
28K Views
Hi Wanajamii, Kama title hapo unavyoiona kiukweli mimi pia ni muhanga wa hili jambo yaan kupagawa na muonekano wa pisi kali lkn baada ya kuingia ktk uhusiano kiukweli ni majutoo , vizinga kibao...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Wasalaam.... Naomba niende moja kwa moja kwenye huu uzi ndugu zangu, huku kipenga kikiwa tayari kimeshapulizwa [emoji350] Twende kazi sasaaa..... Ni mwaka sasa umepita tangu niachane na Ex...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wadau wa MMU. Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them? Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu...
38 Reactions
985 Replies
72K Views
TAMAA Tamaa huwa haidumu kamwe. Tamaa hupigwa na kukimbia. Tamaa ni matumizi ya muda kisha unatupa. Tamaa huchochewa na ubinafsi. Tamaa huwa haina subira. UPENDO Upendo unajituma. Upendo...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom