Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Pamoja na mapungufu waliyonayo wanawake kwenye mahusiano ya kimapenzi, haimaanishi kuwa sisi wanaume hatuna mapungufu yetu, ukisoma Between the lines kwenye thread wanazoleta humu wanaume, mara...
23 Reactions
122 Replies
7K Views
Miaka yote sijawahi kujua maana ya amri ya SITA wengi watashangaa sana ila ndio ukweli , . Lala na mume wako tu tofauti na hapo utapata shida ambazo ndio tunaenda Kwa waganga kutolewa nuksi...
7 Reactions
66 Replies
3K Views
Asili ya mwanamke ni kuharibu mambo. Asili ya mwanaume ni kuweka vitu pamoja/ kuvifanya viwe vya sawa/kawaida. Kwaiyo ukiona mwanamke anakufanyia vitu vya ajabu, anachafua mambo, anaharibu...
14 Reactions
74 Replies
7K Views
Habari za majukumu wana JF, NAHITAJI kupata uhakika na maelekezo juu ya mademu chotara au shombeshombe wa kiarabu nimepata tetesi kua mkoa wa TABORA. Wanapatikana kwa wingi na maisha yao ni...
7 Reactions
75 Replies
7K Views
Wiki iliyopita nilikutana na mwanamke niliyefahamiana zamani sana, tena utotoni kabisaa, hata ugwadu wa barehe niliumalizia kwake, sio mimi tu, hata na marafiki zangu waliponea kwake na kwa...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Miezi kadhaa imepita niliandika uzi humu nikasema nitaenda kupima DNA watoto wangu. Nilipatiwa muongozo kwenye ule uzi na baadhi ya wanasheria/mawakili waliomo humu ikabidi kumjulisha wakili...
29 Reactions
167 Replies
8K Views
Habari zenu! Kama isemavyo hapo juu... Enyi vijana na wazee ni nani aliyewaroga? Ingefaa wanyama waendelee kuishi hapa Duniani na nyinyi kupuuzwa kabisa!. Hata sasa hamjafikili bado?Mahusiano...
1 Reactions
9 Replies
990 Views
Katika maisha kosea vyote ila sio kuoa. Huyu kaka etu ana roho ya uchuro yani sisi wadogo zake tumbo moja tukiwa na shida ya kifedha jibu lake atasema Sina pesa ukibahatika sana basi utapewa nusu...
16 Reactions
88 Replies
5K Views
Ni Jumanne njema! Niende kwenye hoja yangu. Kutokana na mabadiliko na mapinduzi ya teknolojia, baadhi ya tamaduni njema kabisa za kiafrika wazazi wengi mmeziacha. Sasa siyo mbaya kwani kutenda...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Wanawake ukipata fursa yoyote kwenye maisha yako usiiache eti kisa kuogopa mwanaume au kuwaza kuwa mbali na huyo mwanaume. Wanawake jifunzeni kujiweka wa kwanza kwenye kila kitu kwani hao wanaume...
15 Reactions
102 Replies
4K Views
Katika Mapenzi Wakati Mwingine Gharama za Maumivu ya Mtu Mwingine ndio Gharama za Furaha kwa Mtu au Watu Wengine...Sikia! Elie Taktouk, ambaye Ni Milionea Mwenye Asili ya Lebanon alifunga Ndoa na...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Jamii forums ni sehemu sahihi ya kupata ushauri, samahani Kama ntakuwa nawakera kuleta mada mpya kila siku Nina Visa na mikasa kwenye life langu. Mimi ni mtoto wa 5 Kati ya familia yenye watoto...
11 Reactions
92 Replies
5K Views
Wakuu tuache mbamba Mademu wazuri kuwala ni pesa sasa usijifanye unalia lia tu hapa wakati kinachotakiwa ni pesa. Pesa pesa pesa pesa pesa pesa Shauri yako kama unatafuta vipesa unahonga...
8 Reactions
58 Replies
2K Views
Jana status zote, comments kumsifia hakimi kwa maamuzi yake Mali zote kuandika jina la mama yake. Hivi nyie mwanaume wa Tanzania mna weza kufanya hivo Kuna kitu hamkijui ngoja niwape Siri...
9 Reactions
126 Replies
5K Views
Miezi mitatu iliyopita nilianza uhusiani na binti ambaye hatujawahi kuonana mpaka leo. Tumejuana fb lakini msichana huyo ametokea kinipenda sana kiufupi amezimika namimi. Sijawahi kumwambia...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari wakuu, Hivi karibuni kumekuwa na story inayotrend sana kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wanandoa wawili waliofanikiwa kufikisha miaka mitatu kwenye ndoa yao na kufanikiwa kupata...
17 Reactions
101 Replies
8K Views
Mwanaume wangu kafanya kweli ️ Ni mshabiki wa Simba huyu jamaa, kanishangaza hadi kunishika mtima wangu baada ya team yangu kufungwa na Simba, nilikuwa shabiki wa yanga lakini sasa.... . Akii...
6 Reactions
95 Replies
3K Views
Habari zenu, Naombeni ushauri wenu ili niepuke na hii hali, Kama mtu atashindwa kunishauri naomba aache maana sipendi kutukanwa. Mimi ni binti ni mkazi wa Dar ila kikabila nimetokea mkoa uliopo...
24 Reactions
537 Replies
57K Views
Kizazi cha sasa na ndoa nyingi zenye ukame wa tendo la ndoa CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES 23 Oktoba 2022 Vijana wa kizazi cha sasa wanapaswa kuwa katika ubora wao wakati wa kujamiiana. Kwa nini...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
  • Closed
Naomba nikiri kuna nyakati ukikaa ukazikumbuka unatamani zijirudie najua labda yupo jf amebadili username au alishafariki au alijitoa jf naomba kama yupo akumbuke namkumbuka sana na natamani...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom