Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ni vizuri kumwambia mkeo kiwacho Cha pesa unacholipwa kazini?
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Hizi zinaweza kuwa sababu kuu, zinazowafanya wanawake wengi wasiwe na wapenzi wa kiume:- Kuwajibu wanaume wanao watongoza kwa lugha ya ukali Kuwadharau wanaume wanao watongoza kimuonekano na...
22 Reactions
118 Replies
5K Views
Wakuu habari za leo, Natumai kuwa nyote hamjambo. Twende kwenye mada. Nimekuwa nikifikiria kauli kama Kupelekewa Moto, Kuliwa, Kubanduliwa na zingine myingi. Mbona kauli kama hizi zinafanya...
9 Reactions
64 Replies
4K Views
Nawasalimu. Mnisamehe kwa kutokuwa mwandishi mzuri. Moja kwa moja kwenye hoja ya msingi. Nimeishi kwenye ndoa na huyu mke wangu kwa miaka 10 na kujaliwa watoto wawili. Kilichonifanya nije hapa...
29 Reactions
214 Replies
12K Views
Wakuu kuna mwanamke nilizaa naye mtoto na tulishashindwana, kwa sasa mtoto ana miaka minne. Changamoto ninayopata huyu mtoto kashaanza kuhoji maswali, mara uko wapi unafanya nini, nataka nije...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Sikuwahi kufikiria kama jambo kama hili litakuja kutokea nchini.. Nilichozoea kuona ni watoto waliobakwa wakifanyiwa vipimo na ripoti ya daktari kusema mtoto alikutwa na michubuko ama kuonekana...
20 Reactions
77 Replies
5K Views
Sababu kubwa ya wanaume kufukuzia wanawake wanaojiuza huwa ni kwenda kupoza hasira na machungu ya kubaniwa na wake zao kimapenzi. Kwenye ngono za kununua hawanyimwi wala kubaniwa na wafanya...
9 Reactions
72 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu Nina rafiki yangu kapata binti wa kisukuma wa huko shinyanga. Katika story za hapa na pale nimewahi sikia kwamba unapoenda huko kwao wana utamaduni wa kumpa msosi heavy...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Cheers [emoji1635][emoji1635] [emoji481][emoji481][emoji482] Niko maeneo ya Moja moto Moja baridi. Kuna mambo nayakumbuka nabaki kucheka tu yaani. Nakumbuka miaka ya nyuma wakati bado...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu kuna kademu kamoja kajirani kangu ni kazuri kinoma ni kasukuma, haka kademu uwa kanakuja kwangu kuniomba muvi sasa cha ajabu uwa kanagoma kuingia ndani. Nina mawasiliano nacho kama siku 4...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Nisaidieni mbinu za kupata mdada ile nianzishe nae Urafiki then mahusiano serious. Nina umri wa miaka 28, sijawahi kuwa kwenye serious relationship. Natamani sana nipate mdada tupendane ila ndio...
10 Reactions
39 Replies
2K Views
Kwema Wakuu! Nashukuru Kwa sababu mpaka sasa Nina mialiko mitatu ya Idi, nawashukuru wote mlionialika. Nirejee kwenye mada. Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Hii ni orodha ya mambo...
22 Reactions
146 Replies
6K Views
Nimepata likizo ya kikazi ya siku 28 nikasema ngoja nitumie hii likizo kupima Imani ya mtu ,sasa hii ni wiki ya 3 tangu nilipomwambia wife nimefukuzwa kazi, ndani ya wiki 2 za mwanzo alijifanya...
24 Reactions
107 Replies
7K Views
Mwanaume yeyote anayeelewa maana halisi kabisa ya kuoa, hapaswi kuthubutu kumuoa mwanamke ambae tayari ana mtoto hata kama mtoto huyo alimpata kwa bahati mbaya. Labda kama mzazi mwenzake...
13 Reactions
97 Replies
34K Views
Ni Kwa nini nikiweka namba ya Simu kwenye locator ili nijue sehemu alipo mtu mwenyewe Simu hiyo haikubali? Naomba mwenye ujuzi wa kuweza kumpata mtu kwa kutumia namba ya simu anielekeze. Au kama...
0 Reactions
16 Replies
676 Views
Mitaani kuna mabinti wachache sana ambao wanafaa kuwa wife materials, ila wengi ni shida..nimeona ili mwanaume upate mke inabidi aidha umwombe Mungu sana, au ukubaliane na ujinga wa mwanamke Kama...
16 Reactions
82 Replies
3K Views
Kwa madogo huenda msielewe hili, basi kaeni kwa kutulia tujifunze. Wewe ni Baba umeoa mke mwenye mtoto/watoto, au nawe ukiwa na watoto tayari kwa mama mwingine. Au wewe ni mama umeolewa na baba...
9 Reactions
62 Replies
4K Views
Binafsi nilichelewa kuingia kwenye ulimwengu wa kimahusiano. Moja ya sababu zilizonichelewesha ni uoga wa kutongoza. Nilikuwa mjanja sana ila Zuzu Kwa wanawake. Kutongoza ilikuwa ni adhabu kwangu...
14 Reactions
172 Replies
11K Views
Mrembo gani ambaye ni mkali sana asiyepiga mizinga humu, tutoke naye siku ya sikukuu ya Iddi. Siku ya sikukuu ni siku ya kufurahi na marafiki; kama una sifa tajwa njoo hapa jukwaani ujieleze...
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Hivi kufanya imagination kwa sisi wanaume unapokaribia kutoa wazungu kuwa una Lucy wakati mpo na Neema sio uzifu? Hata wanandoa wengi utamu ukikolea huwa wanapiga imagination kuwa Wana mtu fulani...
2 Reactions
10 Replies
801 Views
Back
Top Bottom