Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna mrembo alinizungusha miaka mitatu. Sms anajibu, story kwenye simu poa, kukutana maeneo tunakutana ila home hataki kuja. Gheto langu ningeliita tu kwa Mkapa maana ukiingia hutoki. Kuna basi...
41 Reactions
108 Replies
10K Views
Eid mubaraka wanajamvi.... Iko ivi nina mademu watatu kila moja anaplay nafasi yake bila kujuana.. Shida inakuja kila mmoja anataka nimuoe au nimzalishe mi nawaambia muda bado na sijajipanga ivo...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Eti mume anaondoka asubuhi na msitu akirudi usiku hana, kanyolewa na mchepuko? Aloo mtatuua nyie wababa
8 Reactions
313 Replies
11K Views
Jana nilitoka na demu moja ni liyanga lenzangu ili twende tukawazomee Simba wakifunga 3 na Wydad. Hili lijidada mashallah kweli kweli toka jumatano linaniambia twende sote tukaangalie mpira...
8 Reactions
34 Replies
3K Views
Mimi ni Kijana miaka 22, nipo mwaka wa pili moja ya chuo kikuu apa inchini nasoma shahada ya kwanza ya ualimu. Nilipo fika chuo mwaka wa kwanza mwaka Jana Kuna binti nilimpenda sana, Yy alikuwa...
4 Reactions
77 Replies
4K Views
Wasalaam ndugu zangu..... Mimi ni mwenzenu wa humu humu, yamenikuta yakanishinda ndo maana nimekuja kupasukia humu angalau nipate kupona psychology. Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja, huyu...
3 Reactions
142 Replies
16K Views
Hiki kitu nataka niwaulize wanaume wenzangu, inakaaje unafahamu mwanamke flani anatoka na flani na wewe anampangia foleni unapiga...
13 Reactions
101 Replies
4K Views
Mcheza kikapu maarufu toka NBA, Stephen Jackson amemuacha solemba aliekuwa mchumba wake baada ya kukutaa kisaini makubaliano ya PreNup Kwa Msaada wa Google Translator: Umaarufu na utajiri...
31 Reactions
198 Replies
13K Views
Have you observed this strange behaviour by women on WhatsApp. They'll put up all these rich & handsome guys hyping them on their WhatsApp statuses, even those they don't know personally. But when...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Mdada aliniuliza siku hizo Cheese unataka nikupe hadi Nini ndo unipende....? Nikamwambia hapana. Hiyo nini akae nayo tu au awape wengine. Mimi siwezi. Siwezi oa mwanamke ambaye amenyorodoka kama...
4 Reactions
7 Replies
742 Views
Wewe ndo Kigoma yangu, Mnasema wanaume siku hizi hatujui kupenda siku hizi,miye ni mwanaume na ninakupenda kinoma mama Hakuna kama mapenzi ya wahuni mkapendana, mwanaume hip hop mwanamke hard...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Hellow lovers, Wanaume wabaya sana. Vuta picha mtu unampenda sana, unaenda kumtembelea unamkuta na mwanamke amevaa khanga na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
49 Reactions
322 Replies
12K Views
Heshima kwenu wakuu. Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na...
26 Reactions
374 Replies
264K Views
Unaweza ukawa na mwanamke mzuri ila mwenye kiburi, jeuri sio kesi sana sababu anaweza badilika. Nivipi ukiwa na mwanamke mzuri na uwezi kumtumia kisa tu una upungufu wa nguvu za kiume. Hapa...
7 Reactions
36 Replies
4K Views
Ndugu zangu ama vijana wenzangu kuna hili suala la kutongoza mke wa mtu ambaye hujui wametoka wapi na mmewe nataka niwape kisa cha mshikaji ambaye alikatwa kisigino maeneo ya Kibaha pale Kwa...
21 Reactions
62 Replies
7K Views
!
10 Reactions
93 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, leo nimerudi kutoka mishe mishe zangu za ufundi, ile nafika nyumbani baada ya watoto wangu kunipokea na kusalimiana nao mwanangu akaniambia baba Mwalim Joyce amesema ukifika...
27 Reactions
119 Replies
8K Views
Sijui Wewe Unaishi Wapi Labda sehemu Ya Kishua, Uko Kwenu Munakosa Vibe La Uswahilini, Unajua Maisha Ya Uswahilini Wewe Ukiachana Na Misosi Ya Tofauti Kama Miguu Ya Kuku Viazi Viwili Na...
3 Reactions
78 Replies
2K Views
Ni Ushauri tu, tunaishi na watu ndugu jamaa na marafiki, kuna wakati wanakuudhi au kukera mpaka kiwango cha juu kabisa lakini chora mstari wa maneno yako au matendo yako kuna maneno usitamke wala...
8 Reactions
18 Replies
901 Views
Habari vijana wenzangu pamoja na wanajukwaa Kwa ujumla.. Na tumai mko salama wote , Jambo kuu ni kwa wapenda sketi hasa vijana. Vijana Sasa hivi tunakumbwa na magonjwa mengi hasa yanayotokana...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Back
Top Bottom