Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Out there wakuuuu Nilikuwa na mpenzi wangu huyu binti mmoja swaafi, mambo yalikuwa ni moto[emoji91][emoji91][emoji91],, mpaka kama miezi miwili hapo nyuma mimi nilivoanza kuzingua Nilichozingua...
16 Reactions
79 Replies
4K Views
Wazazi wengi huwa hawana utamaduni wa kuomba msamaha watoto wao pale wanapogundua kuwa wamewakosea. Badala yake hutengeneza mazingira ama ya kugeuza kosa lile liwe kwa mtoto, au kutengeza...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Nilianza mahusiano na huyu binti mwaka juzi mwezi wa kumi na mbili. Mwaka 2019 Nikiwa semester ya mwisho kabla ya kumaliza chuo nilipata supplementary ambayo mwalimu alichelewa kutoa matokeo...
20 Reactions
117 Replies
9K Views
Kuna kitu uwa nashangaa sana kwa wanawake. Mwanamke anapenda kupewa attention na mwanaume wakati anatongozwa. Ila akipewa sana attention yani kujaliwa sana anamchukulia mwanaume poa. Mwanaume...
8 Reactions
32 Replies
5K Views
Huwa nawashangaa Sana wadada wanalalamika wapenzi wao kutaka tigo. Ikumbukwe wanawake wa kileo wanaringa sana na mawowo Yao. Wanayatingisha tingisha na kuyabana ili kuvutia wanaume. Kumbuka kama...
12 Reactions
58 Replies
10K Views
Happy Women’s History Month! [emoji2272]WOMEN.[emoji68] WOMEN [emoji73] WOMEN Every woman who has walked with God has a story to tell you.[emoji126] [emoji3502] Sara will tell you: "Nothing is...
-2 Reactions
1 Replies
337 Views
Habari zenu... Kama unajua wewe ni mwanaume au mvulana na unatabia ya kusuka nywele za kichwani, kuvaa hereni, kutoboa pua, kuweka nywele blich jueni wazi kabisa hamfai kuoa kabisa au kuwa na...
-1 Reactions
3 Replies
831 Views
Hakika Mabaharia wenzangu Mtanielewa poa. .....Wanawake wengi Wenye umri mkubwa 57 above ni Watamu Sana na wanajuha Sana Kuhandle tofauti Sana na Hivi Vinavyosema BABY NIAKUAMBIE kitu...
12 Reactions
203 Replies
27K Views
DeepPond Natumain u mwema bro. Kwanza ningependa kukupa hongera ya mafanikio yako katika jitihada zako za kiuchumi. Pia ningependa kukupa hongera kwa moyo wako mwepesi na uelewa. According to...
17 Reactions
64 Replies
5K Views
Ni muhimu kwa mwanamke kumjaribu mwanaume. Ni njia yao ya kujilinda na kujua ujasiri wa mwanaume. Mwanamke hupima ujasiri wa mwanaume mara kwa mara. Haijalishi we ni rafiki yake, mpenzi wake...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba nijielekeze kwenye mada husika. Tukatae tukubali, Kuna wanawake wanasura ngumu sana. Humu JF na vijiweni tumezoea kusema wana sura za baba au wajomba zao. Kundi hili la wanawake hawana...
3 Reactions
76 Replies
4K Views
Hello totoz! Baada ya kimya kingi nimerudi kuwashika.
7 Reactions
46 Replies
1K Views
Habari... Kwa wanawake wote, Kama unajua wewe upo kundi hili jua siku ya wanawake haikuhusu hivyo subiria kufa tuu au siku ya ukimwi duniani.. Wanawake wote walio toboa pua siku ya wanawake...
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Kuna hii tabia ya baadhi ya wanawake kutoka nje ya ndoa sababu tu ya kuwakomoa waume zao baada ya kugundua kwamba waume zao wanatoka nje ya ndoa. Kiukweli sisi wanaume tunaumia sana kuliko hata...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Wanabodi, Kama umejaaliwa kipaji cha kupenda na uwezo wa kupenda kwa dhati, wee penda tuu, hata ufanyiwe nini, huwezi kuacha kupenda, hivyo sio vibaya ukijitolea kuwa mwalimu wa kupenda kwa...
72 Reactions
299 Replies
29K Views
Itoshe kichwa Cha habari kutoa utanguli kamili. Baada ya kuyafuma manukato murua ktk miezi ya wagumu hii ikiwemo bingo la kuchoronga maneno Kwa kipaza sauti kwenye msiba wa don Mmoja wa kipande...
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Dunia ni uwanja wa mapambano; unakuta huyu anataka kuwa na yule, na yule anataka kuwa na huyu. Sasa kumekuwa na mbinu kwa baadhi ya wanawake tunaotembea nao; siku ya kufanya tendo la ndoa...
8 Reactions
75 Replies
2K Views
Nimekaribishwa nyumba ya mdada mmoja Mkenya kwake hapa Nairobi. Yeye ni single na mrundikano wa vitu ndani ya chumba kimoja ni vingi. Sasa nataka kuchaji simu nakuta anachaji ni sichokijua kwa...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Mwaka 2018 mwanzoni, aliajiriwa kwenye kampuni niliyokuwa nafanya kazi mimi. Na alifanya kazi chini yangu. Yaani mimi ndiye nilikuwa msimamizi wake wa kazi. Huyu dada alinivutia tuu ile siku ya...
15 Reactions
85 Replies
6K Views
Back
Top Bottom