Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Amani iwe kwenu! Rejea kichwa cha uzi hapo juu. Mwanaume mwenye pesa si wa mwanamke mmoja, si unajua pesa si nywele kila mtu anazo. Usikae hata siku moja ukaamini mwanaume mwenye pesa eti ana...
9 Reactions
58 Replies
2K Views
Katika harakati zangu za mtaa kwa mtaa, nilijikuta naanzisha uhusiano na singo maza mmoja ambaye anasoma chuo A hapa mjini. Kutokana na shepu yake, nikajikuta mwili wote umelegea na moyo ukasahau...
6 Reactions
65 Replies
3K Views
Wanaume mnajiona kuhangaika kupata pisi Kali Kwa gharama yeyote ila kumbe mganga yeye hupewa mzigo kiulaini na pesa uliohonga wewe kirahisi so ndio maisha. Inabidi uzoeee Kaa Kwa kutulia. Unakuta...
4 Reactions
25 Replies
677 Views
Sikieni watu usitafute mtu ambaye Hana swagga zako Kama wewe ni Malaya hutulii oa kahaba ndio mtaelewana. Ukiwa handsome qute na unamadharau oa hivyo hivyoo mke mqute na mwenye madharau , . Oa...
9 Reactions
100 Replies
2K Views
Katika hekaheka za mapenzi kuna utamu na uchungu wake. Wanaoteseka sio wanaume tu bali wanawake nao sio mchezo. Licha ya nyuzi kama zile za kula tunda kimasihara. Kuna wakati unaweza kumwinda mtu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
𝗨𝗝𝗨𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗕𝗜𝗡𝗧𝗜 𝗪𝗢𝗧𝗘[emoji2960] Ukijaliwa kuwa 𝗠𝗦𝗜𝗖𝗛𝗔𝗡𝗔 mzuri na mrembo, usidhani utatetemesha kila 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗨𝗠𝗘. Kuna wanaume hawasumbuliwi na 𝗨𝗥𝗘𝗠𝗕𝗢 wako kama unavyodhani, uzuri wako hausaidii...
6 Reactions
78 Replies
3K Views
Wewe uko namba ngapi na tupe uzoefu wako 1: Mahusiano ya ndoa: haya yanakubalika na jamii na kutambuliwa na serikali. Ndo mahusiano ambayo wapenzi wana uhuru wa kujitambulisha popote na...
7 Reactions
50 Replies
4K Views
KWA MWANAUME AMBAYE HAJAOA : Ikiwa huna mpango wa kumuoa huyo mwanamke wako, kamwe usimuulize umri wake. Usimuulize kwanini bado yuko single. Usimuulize ana uzito wa kilo ngapi. Na ikiwa...
8 Reactions
58 Replies
4K Views
Leo nimeletewa notification na google photos na ika niamshia memories ambazo nisinge penda kuzi re-live. Growing up as a lastborn, kwa familia nyingi uta expect kuwa the most favorite lakini...
10 Reactions
49 Replies
2K Views
Kwa mliofanikiwa kuacha kuzagamua wake za watu mliwezaje wakuu? I know cheap is expensive I need to get rid of such behavior NB: Wake za watu ndio wameharibu hii taasisi ya ndoa kwa kiwango...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndoa iheshimiwe na watu wote. Salaam. Ama baada ya salaam leo napenda nishiriki nanyi kitu kipya kiitwacho baraka. Baraka sio utajiri ila hutajitisha. Baraka ni ulinzi wa ki-Mungu juu yako...
28 Reactions
77 Replies
3K Views
Hallo ndugu zangu Nina mchumba wangu ambaye tumepanga kuoana mimi na yeye mwaka kesho. Ila hali za huyo mchumba wangu mpaka sasa hivi na shindwa kuzielewa kabisa. Mimi huyo mchumba wangu ni mtu...
15 Reactions
74 Replies
5K Views
Hii imekaaje wakuu. Mpaka leo nazeeka sijawahi kuona au kusikia mtu masikini yaani mwenye kipato duni na pengine mwenye elimu duni akihangaishwa na shida hizi za kukosa nguvu za kiume. Hawa...
6 Reactions
53 Replies
3K Views
Umuofia Kwenu? Katika kuishi kwangu Visiwani Comoros, nilipata kuona tamaduni moja ya maisha ya ndoa. Mwanaume unaenda kuishi kwa mwanamke yaani nyumbani kwenye familia ya mke. Yaani ipo hivi...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
TEAM NDOA VS TEAM USIOE Mjadala huu mkali umeshika kasi huku kila upande ukitoa sababu zake! Kabla hujaamua uunge mkono upande upi ni vyema ukajitafakari na kuona Kama uamuzi wako binafsi una...
10 Reactions
133 Replies
5K Views
Sijui nipoje (in Whozu voice),ila ndivyo nilivyo, huyu mpenzi wangu ninaishi naye vizuri na kwa upendo kwa muda mrefu. Sasa week jana alipata homa ya kuhara, siyo mbaya kila mtu anaumwa, ila ile...
9 Reactions
77 Replies
3K Views
Habarini wana Jamvi. Natumai mu wazima sana. Bila kupepesa maneno .Niende moja kwa moja kwenye point. Ewe mwanaume, ishawahi kukutokea upo faragha na ukashindwa kupata hisia kabisa na mtu...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Dunia simama, nina jama yangu mtu wa Mtwara ila amekulia Morogoro, basi katika stori mbili tatu akanisimulia jinsi alivyomtengeneza mke wake hata atongozwe na nani usiku wakati akiwa amelala...
9 Reactions
56 Replies
3K Views
Wakubwa shikamoni na wengine habari zanyu, wadogo marahaba. Kwenye mambo ya ndoa nipo mwaka wa 13 sasa nafikiri nina uzoefu wa kutosha. Katika kujifunza kwa waliotangulia, nimegundua wanaume...
6 Reactions
10 Replies
462 Views
Habari, Nimeajiri vijana kwa takriban siku 24 wanisaidie kupeleleza mienendi ya mke wangu, wamenipa taarifa na picha ya kijana anaye mdanganya mke wangu. Wakubwa na watu wenzangu wazima, hivi...
16 Reactions
99 Replies
6K Views
Back
Top Bottom