Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna binti nImekuwepo nae for longtime mpaka nika plan kuwa Mungu akipenda awe wife kumbe kwao ana mtoto na amenidanganya Ila katika kufanya utafiti nikajua ameshazaa nimejitoa mdogomdogo. Hivi...
4 Reactions
112 Replies
11K Views
Ushauri . Hakikisha unamwambia mkeo kuhusu kufanya Ngono salama , maana kuchapiwa sio swala Tena so suluhisho ni kuhakikisha mkeo unamwambia asiende dry Nipo hapa hosptali ya wilaya nimemsindika...
18 Reactions
46 Replies
3K Views
When searching for a respectable wife, you should avoid women working in the following fields. Surprisingly, women who work in law enforcement, journalism, healthcare, or politics don't make good...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za muda huu wadau[emoji112] Mimi ni muajiriwa katika sekta binafsi. Basi mara baada ya kupata kazi hii, nikazoeana sana na dada flani. Baadaye kiutani utani tukawa wapenzi na binafsi...
6 Reactions
190 Replies
14K Views
Red flags in women 1. Watches mindless shows like the bachelor/bachelorette 2. Tattoos everywhere 3. Unnatural hair colors (Purple/Green/Bright Red) 4. Daddy issues 5. Single mommy with kids...
1 Reactions
1 Replies
331 Views
Kenya kukubali haki za mashoga ni jambo la aibu sana kwa vizazi vijavyo, labda wanaharakati wa mashoga ni wale wanaume ambao hawazai au hawatazaa, kwasababu kitendo cha kuona mtoto uliyemzaa...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Baada ya kujua kichwa cha habari kinavyojieleza, leo jioni tumeachana na siwezi kurudiana naye, nimemwambia huyo mtoto apewe babake, amesema kwa mila zao hawezi kumpa babake mtoto wakati hakutoa...
52 Reactions
292 Replies
26K Views
Kwanini mna viburi hivi kwetu? Daaah yaani
2 Reactions
9 Replies
592 Views
Yaani sijui nina tatizo gani naweza mtamani mwanamke saaana nakuvutiwa nae naomba namba napewa natongoza anakubali anapokuja tuonane labda baa kwa stories mbili tatu ili kupanga miadi ya...
2 Reactions
15 Replies
657 Views
Waungwana naona hii weekend inaishilia hivyooo ila siko poa kabisaaa nahisi moyo unaungua huko ndaniii. Sasa turudi kwenye hoja ya msingi..... Unakuta mtu ana mwanamke au mwanaume wake...anajua...
12 Reactions
102 Replies
3K Views
Mkasa wake upo hivi... "Binti yake amemfumania nikifanya mapenzi na ex wake. Ni mara yake ya kwanza kuleta mwanaume nyumbani baada ya mume wake kuwa na safari za mara kwa mara mikoani. aibu...
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Habari wana Jf, Hapa ninapoishi ni mimi pekee ambae sina mke na nilishawahi kuleta uzi hapa ➡️ Thread 'Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa' Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa Sasa imekuwa...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Naombeni kujua bei ya Dozen ya Chupi za Wanawake zinauzwa kiasi gani kwa DSM Nataka nikamnunulie Mchumba zawadi
3 Reactions
74 Replies
26K Views
Habari zenu ndugu zangu? binafsi namshukuru huyu MUNGU kwa uzima. Ni jana tu siku ya alhamisi nikiwa natokea Dar kwenda Moshi mjini nikipanda gari ya umma (nikumbushie kidogo sio kila siku...
33 Reactions
163 Replies
17K Views
1. Mwanamke anakutembelea geto, unamwachia rimoti ya TV aweke chaneli anayoipenda, unakuta chapu mwenzio kaweka filamu za bongo muvi. 2. Mwanamke yeye ni wa kukubeep tu hapigi simu hata kama...
0 Reactions
10 Replies
932 Views
Maisha ya Mwanadamu kiujumla yanatengenezwa na mawasiliano chanya ya kila siku katika mazingira yanayo mzunguka. Neno mazingira likijumuisha nyumbani, kazini, kwenye biashara, kanisani...
14 Reactions
60 Replies
3K Views
Tuambiane mchepuko wanini??
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Unakutana na mtu kwenye maeneo ya raha wenyewe mnakula biere na kuvibe na mwisho wa siku mnaishia kwenye one night stand. Kwenye tendo mtu anakuambia anataka mkulane nyama kwa nyama kwa madai eti...
8 Reactions
47 Replies
2K Views
Habari za siku nyingi watu wa Mungu. Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa...
30 Reactions
131 Replies
10K Views
1. Maneno ni mengi, kila mtu huwa na mazoea yake na namna anavyoishi na watu, siyo wote watakuona sawa unaposimama au kuzungumza na jinsia nyingine, mawazo ya mtu uweza kuwa tuhuma na shtaka kwa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom