Habari
Kama mwanaume umeumbwa na wivu nakuhurumia sana ndugu yangu, maana hata ukiwa na mwanamke innocent bado wauni watamsumbua, sasa imagine una mwanamke kicheche
Nta-share visa kazaa
KISA...
Dada wa diaspora alikuja mwaka juzi hapa Tanzania akampenda binti kisha kamuunganisha na kakake aliyeko nje ya nchi. Mambo yote ya kimahusiano yakaazia na kukamilikia kwenye simu.
Mwaka jana...
Karibu katika somo hili la leo linalohusu biashara maarufu ya kununua wanawake "mahari".
Mchanganuo au namna inavyo fanya kazi;
Bidhaa
Mwanamke [ Nyanya ]
Wauzaji
Wazazi upande wa mwanamke...
Nikiwa na umri wa miaka 19 nilikabithiwa na bibi mzaa mama mkoba wa uchawi. Bila kuukataa niliupokea kwa kuaminishwa ungenisaidia ningeweza kufaulu na kufanya vyema kielimu, kwani ilikuwa ni kiu...
Kama Mnakumbuka jana ule uzi wa
https://www.jamiiforums.com/threads/yule-kibonge-simtaki-tena.2071846/
Sasa Muda ule naandika ule uzi nilikuwa njee Napunga upep0 huku nakunywa wine Yangu pendwa...
Kwa mfano mwanaume wewe unajijua kuwa ni mlevi, wewe ukikutana na mwanamke day one just show her your reality kuwa ni mlevi haswa kama ni wa kukupenda atakupenda ulivyo tu, acha kuzuga...
Unakuta mwanamke wa nguvu kimuonekano, lakini ukienda naye kitandani hajui a wala b. Anachojua ni kuvua nguo na kufungua miguu au mapaja na kujilaza tu hapo. Mengine we mwenyewe endelea!
Kesho na...
Nisiwe mnafki hata kidogo, mimi ni mkristo lakini linapokuja suala la ndoa za kikristo huwa sina imani nazo, ninapoona ndoa zinafungishwa na padri au mchungaji wakati hili jambo halipo katika...
Hongera kwa kuvumilia maumivu ya tozo, pia msisahau kulipa ada kwa wale mliozaa kwenye ndoa au nje ya ndoa.
Kwa nini mwanamke akitaka kuolewa kuna huu upuuzi sijui;
Kupeleka barua ya posa
Sijui...
Natumai mu wazima wa afya na weekend inasonga vema...
Wakuu, baada ya kusoma ile thread ya mwekundu anayohoji kwa nini wanawake wengi wanapenda waume za watu au waliooa nigundua yafuatayo...
Hebu sema ukweli wa moyoni mwako. Hayo mahusiano ulionayo ndiyo ulikuwa ukitamani kuwa nayo ama unasogeza siku?
Juzi kati tulikuwa watu watatu. Wanaume wawili na mwanamke mmoja. Baada ya kuongea...
Msururu wa Wanaume wenzetu waliokwisha gongewa si haba. Kibaya zaidi kugongewa ilikuwa Siri ya ndani ila siku hizi hii mitandao inatuexpose saana.
Nini tufanye? Hakuna Mwanaume atakeyesimama hapa...
Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.
Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada...
Unakuta vipo kinondoni na sinza, havinaga kazi ila vina iPhone macho matatu mda wote vipo kwenye outfits, maduka ya simu makumbusho kule au vimekaa nje ya Saloon za sinza.
Kucha kutwa vinalamba...
In fact, every woman needs a little curve at the back. Many women say that when their asses look right, they feel attractive and very good about themselves.
This is exactly why more and more...
Kwema wakulungwa.
Hii imenitokea juzi kuna demu ananisumbua sana apa mtaani nishamtongoza sana ila kunpa mchezo anazngua sasa nkawa nmemsimulia jamaa ang mmoja akanishauri nmchek mtaalamu mmoja...
Kwanza kabisa Naomba tuwasifu wale wadada wana0fanya kazi NYUMBA ZA KULALA WAGENI wengi wawateja wa0 huwa tunafanya mamb0 ya kijinga sana mule vyumbani tukishamaliza Umalaya wetu...Wengine...
Wakubwa mimi BabaMorgan bado ni mdogo kiumri na kifkra naomba kujuzwa na ninyi wakubwa zangu, imekaaje kumtafutia mke wako dereva wa kumuendesha, tena kwenye gari ambayo ni full tinted?
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.