Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga. Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza. Nimejikuta nampenda kias kwamba na...
30 Reactions
206 Replies
21K Views
NI DHANA POTOFU KUSEMA MWANAUME HASIFIWI UZURI. NI AKILI NA KAMPENI ZA KISHETANI. Anaandika, Robert Heriel Kuhani. Soma Kwa Utulivu. Hizi ni falsafa za Watibeli, Kutoka Nyota yenye mbawa Mbili...
7 Reactions
9 Replies
923 Views
Huyu Dada ni mzuri Sana Kila nikimuona Moyo mapigo yanaenda Kasi. Najihisi ni kama sijui Niko wapi.Nashindwa kuacha kumwangalia. Namwangalia mpaka anajishtukia. Nashindwa nianze gia ipi kuingia...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu. Naomba niseme nitakuwa wa kwanza kupitisha Sex (kujamiana) iwe miongoni mwa mahitaji ya msingi na muhimu kwa binadamu. Drive force kubwa ya mwanadamu Kuanzia kuumbwa kwa ulimwengu huu...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Mshikaji ananisimulia tukiwa kwenye daladala, dahh bro mambo yamenifika hapa..... Nimevumilia lakini nimeshindwa. Mke wangu ambae ninae unajuwa hatujawahi funga ndoa ila tuna mtoto mmoja na tuna...
1 Reactions
52 Replies
2K Views
Hello 👋 Ni upendo tu🥰 Muwakumbuke bodaboda wenu mnaowatumaga vitu vya nyumbani na safari za hapa na pale. Mwaka wa bodaboda huu wadada wameamua kuwabariki😎
6 Reactions
63 Replies
3K Views
Bila discussion wakuu, Wanawake wengi wa siku hizi daah wameota mapembe, yaani hawaambiliki, wala huwezi kuwapanga kwa chochote. Yaani anataka kupelekesha mtu tu kwa kila kitu akiwa anajua upo...
11 Reactions
78 Replies
4K Views
Hbr za w,keend wakuu Najiuliza ni kwann wanawake wasomi hawaolewi, mfano: madoctor wakike, mahakimu wakike, wanasheria na hata walimu wengi was secondary hawaolewi shida nn hasa jaman Nina...
22 Reactions
1K Replies
84K Views
Kama upo kwenye ndoa na unafurahia, basi huu uzi unakuhusu ili tuweze kubadilishana uzoefu wa namna gani ya kuishi na wenza wetu kwa furaha. Kupitia maoni mazuri yatakayotolewa hapa inawezekana...
13 Reactions
99 Replies
3K Views
Lile jambo tunafanya wote na kuna wakati mwanaume huzidiwa kabisa ila ni nadra sana kumkuta mdada au mama anajisifu juu ya game. Sio hivyo tu Kuna wakati hata katika stori za kawaida mdada au...
1 Reactions
13 Replies
715 Views
Habari wana MMU, Nimefanya utafiti mdogo sana nimebaini wanaume warefu ni chaguo la wanawake walio wengi katika suala nzima la mahusiano ya mapenzi. Nimepita thread nyingi sana za kutafuta...
23 Reactions
777 Replies
133K Views
Mwana JF hope mko fine Katika kusoma thread nyingi za MMU hasa zenye contents za minyanduanao hutaacha kusikia neno hili 'Kuifinyia Kwa ndani' Wanaolitumia neno hili uonyesha kufurahia kana...
15 Reactions
498 Replies
34K Views
Habari zenu, Nakumbuka niliwahi ona thread ikizungumzia kuwa mabinti wengi wanapenda harusi kuliko ndoa ndo maana wanaosuka mipango ya harusi asilimia kubwa ni wanawake. Ninavofikiri mimi ni...
8 Reactions
79 Replies
3K Views
Hello mambo JF! Muda mchache mambo ni mengi, usisumbuke asili ya tamaa ni vitu kama ilivyo kwa mwanamke na kuku, wote tamaa yao huvutwa na mvuto vitu kama afanyavyo kuku. Hata angeona hatari...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Wakuu, MUDA mfupi uliopita nilienda kwa mpenzi wangu kukata kiu baada ya kummiss kwa takriban siku 4 zote nilizokua Safari. Nimeenda nimemfungashia kijizawadi, Cha kushangaza nimefika nmeishia...
26 Reactions
374 Replies
11K Views
Kadiri unavyopenda zaidi, ndivyo unavyozidi kuumia. Yule unayempenda zaidi atakuumiza zaidi ikiwa huna uwezo wa kumwacha. Unampenda sana kiasi kwamba unavumilia madhaifu yake yote. Upendo na...
6 Reactions
48 Replies
3K Views
Baba: calling -------------- Mimi: Hallo, shkamoo mzee wangu. Baba: Marahaba, hujambo? Mimi: Mimi sijambo mzee, vipi huko wazima? Baba: Huku wazima tumetingwa na kilimo hapa. Vipi wewe...
5 Reactions
10 Replies
825 Views
Nina swali! Ni sawa kwa mwanamke aliyeolewa kunywa pombe, kulewa na kuchelewa kurudi nyumbani? Nina rafiki yangu ana ndoa ya muda wa mwaka mmoja. Mwanamke ameanza tabia ya ulevi. Wakipishana...
4 Reactions
98 Replies
6K Views
Wakuu, Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi! Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake...
24 Reactions
225 Replies
9K Views
My heart is broken, this is not what our future was supposed to look like. Tears are flowing from my eyes, but no way, I can't stop what's happening! I remember the day we met in one of the...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Back
Top Bottom