Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wananzengo kwema humu, binafsi nishaga ongea mbele ya Familia yetu nilikozaliwa kuwa sitaowa na sitaki michango yoyote ya harusi kutoka kwa kijana yoyote yule. Sasa basi Kwa kuwa humu wote nawale...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Hello mambo aje? Ukweli usemwe mara zote nikiwa na shoo na hao magwiji wa kike kutoka haya makabila mhaya, mngoni na mmakonde, mara zote kwenye game nafanywa mimi badala ya mimi kufanya, wana...
7 Reactions
54 Replies
4K Views
Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori. The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri...
6 Reactions
139 Replies
6K Views
Rafiki yangu alimlaumu kaka yake, nami nikaumia kwa kuwa nilifahamu kisa cha ndoa ile. Nitaelelza machache nayofahamu ambayo yaliniumiza. Sitaelelzea ndoa yao kiundani ndugu wa rafiki yangu hawa...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
It is very irritating, unahangaika kumtumia mtu mamia ya ujumbe PM Halafu hajibu wakati ni yeye mwenyewe ndio alikuwa anasema anatafuta mwenzi. Mkiwapata semeni ili tusipotezeane muda
5 Reactions
25 Replies
713 Views
Tujifunzage kuwa unachoona huwezi kukiacha kutokana na mapenzi basi usikibugudhi au kukichunguza Kwenye maisha yangu nimedate na wanawake lkn most of them wamenizidi umri one or two years Kuna...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Je wajua kuwa nywele za chini na ndevu ni urembo wa kimahaba? Mwenyezi Mungu alituumba na kutuwekea hivyo akiwa na maana kabisa ila sasa binadamu wa leo wamestaarabika kiasi waonaona ndevu au...
18 Reactions
156 Replies
12K Views
Nimesikia yote kuhusu malalamiko baina ya wanandoa ila kubwa imeonekana tatizo ni watu hawapati watu sahihi Mimi nimeshuhudia mke sahihi atakayekupenda story yenu iwe kama ifuatavyo. 1.Umzidi...
4 Reactions
11 Replies
937 Views
Heri ya mwaka mpya waungwana... Mapendo daima... Asee kuna muda unampata mtu au unakuwa na mtu unampenda balaa na ukiwa nae ni raha tu ila kila ukitafakari mazingira yake na yako inabidi...
23 Reactions
247 Replies
8K Views
Usipomsikiliza wewe watakuja waharibifu watamsikiliza nae atawasikiliza Mwenye masikio na asikie
2 Reactions
5 Replies
419 Views
Hello mambo!! Wahenga walisema kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza. Kwa muktadha huo tuishi uhuru wa kifikra, kimaamuzi, iwe haki na huru. Kama ndoa ni nzuri mbona mnatumia nguvu kubwata na...
3 Reactions
32 Replies
847 Views
Mbali na kuwa kwenye ndoa ya wake wawili waaminifu, nina mchepuko wangu anayeishi mtaa fulani. Mchepuko huyu nilimpatia mtaji, kwa kuwa yuko na akili ya maisha, alifanikiwa kufungua biashara na...
8 Reactions
54 Replies
4K Views
Yes nilikua natokea Kilosa Morogoro kwa ishu zangu nikawa nimechelewa bus za moja kwa moja kutoka Kilosa mpaka Dar, ikanibid nibande gari mpaka Dumila ili nivizie gari zinazotoka barabara ya...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
Huko nchini Marekani Mwanaume aliyeoa wake watatu amepata umaarufu na kutajwa kuwa mfano wa mwanaume mwenye familia bora iliyoshikamana na wake hao watatu wanaoishi kwa amani na mume wao ambaye...
14 Reactions
63 Replies
4K Views
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo. Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi...
15 Reactions
91 Replies
4K Views
Duniani kuna mambo mengi ya ajabu! • Unatambua kuwa maji ya maiti ndo uwaga kunatoka dawa inayoitwa mnyonshe(au shuntama) daa ni huzuni ili jambo sio pouwa maji ya maiti (ndo maji pekee...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hii topic ni ya mahusiano, suitable for MMU. Ulimwengu na Taifa letu Kwa ujumla linapitia katika transformation kubwa ambayo ina athari kubwa sana, Sasa Kwa ambao at least tumezaliwa miaka ya...
4 Reactions
17 Replies
572 Views
Vijana na watu wazima naona ndoa zimekua chungu.sawa tusiwe kwenye ndoa. Ili hapa hakuna kabisa.
0 Reactions
6 Replies
382 Views
Et Baba wa nyumba... Haiwezekani unasomesha mtoto Intaneshino skuli, alafu jioni mtoto wako anarudi home. Ile ameshakula Cha usiku, anachukua Daftari, anakufata wewe Baba yake, Baba umekaa...
16 Reactions
111 Replies
4K Views
Nimetumiwa text huko private message ambapo mdada mmoja anahitaji nimshauri kuhusu changamoto ya mahusiano. Fuatilia hapa anavyojieleza kuhusu hiyo shida yake na vile nilivyo mshauri. Mdada ...
2 Reactions
48 Replies
2K Views
Back
Top Bottom