....Kwangu binafsi moyo wangu unakuwa na amani/ furaha sana pale ninapomsaidia mtu mpaka kufanikiwa kwake.
Karibuni tushirikishane ndugu, vitu/ kitu vinavyokupa amani/ furaha ya moyo......
Ni hivi palikuwa na mwanaume mmoja alikuwa anaishi na mke na watoto watatu wamekuza mpaka mmoja kaoa .
Huyo baba alipenda kuvaa nguo nzuri sana na alikuwa anajulikana Kwa kujipenda . Mno Sasa Kuna...
Nawasalimi kwa jina la Muumba..,hiki ni kisa cha Kweli kimetokea miezi kadhaa hapa kwetu mtaani..
Jamaa mmoja tumpe jina k,alitoka kijijini na mke wake na kuamua kuja mjini kwa ajili ya kufanya...
Tunakaa geto Moja lakini najua ananicheat.
Namuomba game lakini ananinyima lakini Hela zangu anataka kuzila. Nimeshapata habari zake kuwa ananicheat na Mbaya zaidi nilishakutana na CONDOM kwenye...
Nasikitika Sana yaani ninavyosikitika ni zaidi ya masikitiko ya bei ya maharage kuwa SAWA na nyama .
Wanaume Hawa wanawake ni pambo ndani ya nyumba. Akikosa kuwa mkali kwake na kumuadabisha...
a. HAUPO PEKEAKO
Haijalishi utakuwa unaamini hauna muonekano mzuri kwa sababu kila mtu anakutoa dosari bado haupo pekeako.Kila mtu unaemjua hajaridhika na muonekano wake.
Celebrity unaemuona yupo...
Je ile dhana ya ukipenda boga penda na ua lake. Je mke/mume ataweza kuishi na mtoto wake nyumbani kwenu ili hali mzazi mweziye aliyezaa naye yupo hai.
Je kama anaamua kumuacha mtoto kwa mzazi...
Habari za muda huu
Kuna demu moja hivi nilikutana nae tukafahamiana akawa mteja wangu,nikamtongoza akakubali .Ila kutoa mzigo akawa anaringa na kuzungusha nikamuuliza au unataka uniuzie...
Habari za wakati huu ni mbaya kweli kweli..
Mm hata nigombane vipi na mwanamke sitorudia tena kugoma kula usiku aisee hata kama ni kwa kumpima mwanamke akili yake siwezi rudia kosa la kugoma kula...
Siku hizi wa dada wa mjini mnakatabia kuacha kitambulisho chenu mnapo karibishwa kwenye maghetto yetu.
Tumejuana muda mfupi ni mekukaribisha ghetto umekuta kuna kila kitu tena ghetto la mangwear...
Poleni na vumbi na jua kali ...
Pindi unapotongoza mwanamke anaonyesha kabisa kukuelewa na anapo kuja kuuliza unafanya kazi gani then unampa jibu la kazi unayo fanya unakosea sana ndugu...
Aisee wanasema milima haikutani lakini Binadamu wanakutana,
Hiki ni kisa Cha kweli mwaka huu, Nilisafiri kikazi kwenda mkoani Tanga na Kwa kawaida ni sehemu ambayo huwa naenda mara kadhaa...
Habarini wana jamvi.
Kwa kifupi mi ni mzaliwa wa mkoa wa Mwanza ila tangu mwaka 2000 nilianzisha makazi yangu ya kudumu mkoani Mara. Kwa sasa nina miaka isiyopungua 40. Nafanya shughuli zangu...
Kijana wa kiume.
Ewe mwanaume.
Nakuita tena wewe mwanaume mwenye sifa zote za uanaume.
Inakuje umeamua kukubali kuudumiwa na mwanamke kwa kila kitu,jamani inasikitisha sana.
Mwanaume leo hii...
Hello dadaz.
Badilikeni Kubadilisha mwanaume sio guarantee ya wewe kuolewa.
How come [emoji23] ladies wanaume watano umewapanga halfu unawaita mabuzi ndo ya kuuhudumie.
Leo hii kutoa papuchu...
Hii tabia ya kuwatokea mademu mkiwa na ugwadu ndio inawafanya mchezee mitama ya shingo
Kwa sababu mnakosa ujasiri, mnakosa subra kwa sababu unakua driven na ugwadu.
Ukiwa na ugwadu unakua...
Nashauri wizara ya afya ije na kampeni maalumu ya kutoa elimu kwani watu sasa hivi wanaamini ukimwi hauambukizwi na watu condom hawatumii kabisa wanachilimuana kavukavu sio poa
Watu wakubwa Habari zenu,
Nisipoteze muda, kuna bandiko moja nilisoma jamaa analalamika pisi kali kuliwa na Bodaboda.
Na kwenye comment watu wengi wana support haiwezekani mtu boya kula au kuoa...
Habari.
Kijana wa kitanzania tafuta hela kwa ajili ya kujikwamua maisha yako binafsi na familia.
Achana na drama za kutafuta hela ya ajili ya mwanamke ambaye unachofanya ni probability.
Tafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.