Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Muda mchache uliopita nimesikia mambo ambayo yamenistaajabisha sana. Nilienda salun kwa ajili ya kunyoa, kwavile palikuwa na foleni, nikawa nimekaa kwenye benchi nje, nachezea simu huku nasubiria...
21 Reactions
119 Replies
5K Views
Juzi Kati wakati natembelea maskani ya Twitter nikakutana na mkenya mmoja anazungumzia kisa chake kimoja na demu wake. Anasema yeye kwakawaida huwa soo nice Kwa manzi wake kiasi kwamba kila kitu...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Hello, Siwatishi na wala siwabembelezi nawajibika kusema kuokoa taifa na jamii kwa ujumla. Ongezeko la watu wenye rangi za midomo kama ugonjwa wa ukoma wa midomo unapaa kwa kasi. Kuna wimbi...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Heshima mbele Wana jamvi. Hope wote mpo salama kabisa.Moja Kwa Moja niende kwenye mada, Kwa kifupi ni kwamba mwaka Jana mwezi wa pili nlikutana na mdada mmoja hivi ambae single mama wa mtoto...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Kweli sijui nyie ila kunawatu wanajali familia zao .sijamaanisha watoto na mke na maanisha baba na mama maana. Huwezi penda mzazi mmoja , . Kila siku naandika Hivi mama anazaa Kwa uchungu analea...
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Wajameni tusaidiane Huwa nawaza sipati jibu, kwanini ni rahisi kwa wanawake/wasichana kukaa bila nguo hata moja wakiwa pamoja vyumbani au mabwenini ila ni ngumu kwa wanaume/ vijana wa kiume kukaa...
8 Reactions
84 Replies
17K Views
Alioa 2021 nilikuwa mwenyekiti wa kamati kwenye harusi yao lakini pia nilishiriki kupeleka posa kama mshenga. Mtoto ni mzuri sana kwao ni Singida japo born town wa jiji la dar Es salaam, singida...
13 Reactions
153 Replies
10K Views
Nahisi mapenzi yameanza kunichosha sasa. Nimeanza ku-block namba za wapenzi wasiojua kuandika sms. Hivi mnawezaje ku-date na mwanamke ambaye hajui kutofautisha matumizi ya "r" na "l" katika...
9 Reactions
64 Replies
3K Views
Kwa kawaida upendo wa kweli huwa unajiendesha wenyewe hauhitaji kutumia nguvu. Ukiona unatumia nguvu kubwa kuendesha upendo wako kwa mtu. Kuwa na hakika kuwa hupendwi💔!!
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Aisee ipo hivi kuna jirani hapa mtaani ana kijana wake anatarajia kuoa mwaka huu hivyo nikapewa mwaliko wa kikao cha kwanza cha harusi ambayo ilikuwa ni weekend. Ila tokea...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari za kwenu?? Ili uwe na amani mda wote,hii inajumuisha wote walio ndani ya ndoa au walio na mahusiano ya kimapenzi. Mwanamke anaweza kukufanya ukaonekana kidume mbele ya jamii,pia anaweza...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani kelele za hawa wadada et tunabambiwa ila sometime wanayatakaga wenyewe Nimekaa zangu kwenye siti mtu anakuletea kalio mpaka puani hata hajistukiii mbaya zaidi limewamba Sikutakiana lawama...
12 Reactions
69 Replies
6K Views
jana bujibuji kaleta uzi kwamba wadada wenye hela hawapendwi na wanakosa wenzi wao. Mimi na manzi wangu wa kishua tunalisongesha kwenye shida na raha. Vijana igeni mfano
3 Reactions
17 Replies
982 Views
Miaka ya nyuma wanaume wengi walisalitiwa na wachumba baada ya kuwasomesha shule kwa gharama kubwa wakiwa na tegemeo la kuwa wenza wao wa maisha hapa ikaibuka kauli "mchumba hasomeshwi" somo hili...
21 Reactions
375 Replies
14K Views
Safari yangu ya kujitafuta na hatimaye kujitegemea imekuwa tofauti kidogo! Maisha ya ghetto nilianzia chuo! Wakati huo ilikuwa rahisi sana, pesa ilikuwepo na fursa zilikuwa nyingi. Sikuona ukali...
15 Reactions
25 Replies
2K Views
Salaam wanaJamiiforums Kwakuwa ndugu bwana Fene huyu manzi mkali nilie nae mtoto shombeshombe aliekuwa hasikii haoni kwangu amekuwa daily akinihimiza nimuoe basi nimeamua nije kwa marafiki zangu...
5 Reactions
139 Replies
8K Views
Mmejificha wapi wajameni, mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi. Hakuna kigezo wala masharti hapa, sibagui sichagui [emoji1] Ila ukija na usiponioa...
41 Reactions
254 Replies
17K Views
katika kuelezea hisia za mapenzi, sio lazima kila siku mwanaume tuu ndio awe mwanzilishi wa kusema hisia zake kwa mwanawake, kuna kipindi mwanamke anaweza kufunguka. achana na vicheche kadhaa...
4 Reactions
18 Replies
974 Views
Back
Top Bottom