Najua hali ni mbaya sana hamna haja ya salamu
Wakuu nimesoma nyuzi nyingi na nimezungumza na watu wengi nimegundua kuwa kuna asilimia kubwa ya watu wapo kwenye mahusiano lakini mahusiano hayo ni...
Jumatano njema.
Kama kichwa cha uzi kinavyosema,nimeficha sufuria la nyama chini ya kitanda chetu.
Mke wangu hana bajeti kila nikinunua mboga lazima agawe gawe hovyo.
Sasa leo nilinunua nyama...
Hello.
Mapenzi yamekufanyia nini ambacho hautakaa usahau Maishani mwako?
Kwa upande wangu mimi, nilishawahi kumpenda Mtu kwa Moyo wangu ila alienda kwa mwingine iliniuma sana.
Najihisi nina bahati mbaya
maana hili jambo limenitokea mara tatu,imefika mara ya tatu kupendwa na wadada wenye mimba tena kimapenzi,hata sielewi kwanini inajirudia.sielewi ni mkosi au nini,halafu...
Leo niko hovyo sana akili haijatulia kabisa, nimekutana na pisa moja chuo fulani, sura, ipo, shepu ipo, kagawika vizuri, trackoo very standard hana mtrakoo ila trackoo ipo.
Katikati ya tracko...
Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya...
Hello jf member habari.
Kwanza niwashukuru sana kwa watu wote mliweza kunikaribisha mimi mgeni hapa.
Japo napokea matusi mara wewe sijui shemale ,wengine wanataka kujua jinsia yangu, mara ooh...
Kutokana na tafiti za maongezi nilizofanaya nao wengi wao nikagundua kumbe ni asili yao kutawaliwa na mwanaume na wanastahili kutawaliwa na mwanaume.
Wao wenyewe pia wanakiri Hilo kuwa wanapenda...
Habari zenu watu?
Tukiachana na yule niliekuta kanisevu "KIBERENGE" nikapiga chini,nimeamua kusonga mbele japo bado nawasiliana nae kiaina ila hakomi kuacha kuniita hivyo akinitext tu utaona text...
Naenda Kwenye Maada: Nina Mke Wa Ndoa Tumebahatika Kupata Watoto Wawili Wa Kiume Mmoja Miaka Minne Mwingine Miwili
Mienendo Kwenye Ndoa Yangu Naona Kuna Hali Ya Kuja Kutawaliwa Na Mke Wangu...
Kuna kipindi niko Dar nilifahamiana na binti mmoja alikuwa anasoma UDSM (tumwite Jane siyo jina lake halisi) na mm pia nilikuwa nasoma hapo. Sasa yeye alikuwa na changamoto flani iliyomsumbua sana...
Kuna demu nimemtongoza leo leo na kwa bahati nzuri amekubali ila cha ajabu ameshaanza kuniambia mambo ya kwenda kujitambulisha kwao yaani sijachukuwa hata point 3 zangu tayari anataka niende...
Ni sikitiko la nchi kila mmoja wenu anadai anamtaka anayedate naye awe Tall, Black and Handsome pasipo kujali vitu vya maana kama Ucha Mungu, Heshima, Upendo, Kuwajibik , Uvumilivu.
Tafiti...
Hello.
Single mother moja kwa moja jamii inawaona kama ni watu wapambanaji sana.
Ila niseme Singo mama wengi kwa sasa ni moja ya njia ya Udangaji.
Haiwezekani kabisa mwanamke mwenye Tabia na...
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.
Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni...
Kutokana na wimbi hili kuwa kubwa la hawa binadamu ambao wakiulizwa maswali kuwa kama wanawapenzi .....?
Hili jibu la kuwa wapo single na wanafuraha ni Uongo mtupu. Eti "Single and happy"...
Hello.
Maisha ni uwekezaji, Turudi kwa mapenzi,umewekeza kitu gani kwenye mapenzi ambacho unadhani kinaweza kukuletea faida.
Maana uwekezaji unaenda mojamoja na matokeo chanya na hasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.