Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
1. She’ll Wear Sexy Clothes Around You When a girl clothes attractive, which means she is sexually to be had. She’ll wear horny garments because she needs a guy’s interest. Usually, while a lady...
0 Reactions
5 Replies
24K Views
Scientints and others je hii inawezekana? yaani nazungumzia kwa mwanaume lijali kabisaa asiye na shida. Atawezaje kukaa bila nyeto? Yes, kuna wale wazee wa totozi, wao wakikolea wanaenda...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Bila salaaam Niende moja kwa moja kwenye mada Mwaka jana nilikua na binti flani katika mahusiano. Tulidumu kwa miezi 8 nikampiga chini baada ya kuona ananiletea mapenzi ya kifilipino Binti...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Hello. Kipi kilichowahi kukutokea katika maisha yako ya mapenzi. Kikakufanya usingiziwe jambo ambalo hautakuja kusahau maisha yako. NAWAPENDA
0 Reactions
11 Replies
536 Views
Habari za jioni wana JF , mimi ni mgeni. Pia ni mzima wa afya Iko hivi kuna msichana nimependana nae takeibani miaka 6 wakati huo wote tulikua tukiishi kama wachumba Kuna wakati ukafika...
5 Reactions
65 Replies
3K Views
Habarini wanangu wa JF, ni muda sasa sijapost thread. Iko hivi nimemaliza form 6 mwaka jana mwezi wa 5 katika shule fulani jijini mbeya ilikuwa co-education (boarding). Sababu ya kuleta kisa...
4 Reactions
100 Replies
4K Views
Kiuhalisia haya mahusiano yapo tukiweka kando Bongo movie, bongo flava na ndumba ? Tuweke kando madenti wa sekondari hawa kuwapata ni rahisi lakini kwa sheria za sasa ukiingia kichwa kichwa...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Inasikitisha Sana. Mtu akiwa kazini unampigia simu hapokei makusudi.Embu just imagine hata kama ni wewe unafanyiwa hivi ndugu yangu ungejiskiaje. Unajua kabisa mtu Fulani anakupenda simu yake...
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Habari za Jumapili wapendwa.. Leo nimeenda kanisani kama kawaida yangu, ikabidi nikae siti za kati kati kabisa ya kanisa. Sasa sisters wa kanisa wawili wakaja wakaketi sit ya mbele yangu, Ibada...
13 Reactions
141 Replies
8K Views
Wasalamu wajameni! Maisha ni Raha sana Endapo utaishi bila ya stress. Mnamo Augost 2022 niliopata baby mama mpya, yaani penzi lilikuwa la kunoga mno. Tunaweza kuongea na simu usiku kucha mpaka...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Jamani nilichogundua maisha ya usingle ni mazuri sana na yanafuraha kuliko maisha ya mapenz mpaka nasema hivi nishafanya tafiti nyingi na pia nina experience je wewe unamtazamo...
24 Reactions
213 Replies
11K Views
Mi naamini kila dhambi lazima uilipie, ulipaji unaweza chelewa ila lazima muda ufike uwajibike. Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio. Usipende kuvuruga amani ya moyo ya MTU Mwingine kwa...
30 Reactions
242 Replies
6K Views
Habari. Mimi ni mzee na mgeni humu JamiiForums, mtoto wangu amenifungulia akaunti. Nina humli wa miaka 79 na nina nguvu za kunitosha. Nina mke wangu ana miaka 23 na nimemwowa mwaka wa tano...
24 Reactions
120 Replies
5K Views
Kuna Jambo ambalo natamani tukumbushane leo, na Jambo lenyewe linaitwa MWANAMUME. Ikiwa ni mwanaume ama ni mzazi wa mtoto wa kiume si vema kupita bila kusoma huenda ukapata kitu, Karibu. Nianze...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna binti tulikuwa tunasoma naye Binti huyo alikuwa mzuri saana wanafunzi wenzangu na baadhi ya walikuwa wana data na uzuri wa binti huyo Hata mimi pia nilikuwa natamani saana kutoka naye lakini...
0 Reactions
3 Replies
671 Views
Wakuu, Nimeshangaa sana. Kuna jamaa mmoja ni mhaya, ana hela hela. Sasa ana guest house kadhaa maeneo tunayoishi. Huyo jamaa ana mke mrembo, mdogo bado, ndo kwanza alimaliza kidato cha sita...
21 Reactions
51 Replies
5K Views
Baada ya kukataliwa na wanawake wote nilio-waaproach, finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama...
31 Reactions
302 Replies
14K Views
Naomba kuwauliza kina dada humu ndani, kuna binti mmoja nilitaka kumuoa lakini akanikatalia kwa kigezo hawezi kuolewa na mimi kwa sababu ni bosi wake. Kiukweli huyu binti nilitafutiwa na mtu kwa...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Habari za muda huu ndugu zangu Moja kwa moja acha niende kwenye mada nilikutana na binti mmoja mtandaoni tukaanzisha mahusiano huko baada ya mda kidogo tuliweza kukutana na kuendeleza mahusiano...
4 Reactions
114 Replies
7K Views
Wazee MSAADA kuna Ndugu yetu amekata shauri la Kuoa, na Mke anayetaka kuoa kabila lao ni Wakwere. Kwa anayejua tamaduni za Wakwere kwenye kupelekewa posa na namna Barua inavyoandikwa (Kama kuna...
0 Reactions
4 Replies
714 Views
Back
Top Bottom