Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari Wana MMU na kheri ya mwaka mpya binafsi nimekuja kutoa pongezi kwa mabinti wote wa kikwele kwani mmoja wenu kanipatia Mimi kijana wa Mara aisee sijawahi pata kwingine itoshe kusema nyie ni...
2 Reactions
1 Replies
416 Views
1. Kuna siku nlikuwa naitwa na mwaamke niende kwake nikamle, na wakati huo huo kuna jamaa yangu anajisikia vibaya kanipigia simu yupo home. Nlikataa kwenda kwa mwanamke nikaenda kwa jamaa...
42 Reactions
41 Replies
3K Views
Tokea wife kuondoka na vitu vyandani na kuniacha kama alivyonikuta 2017 jamani shida inakuja kila nikiona kirikuu kimebeba vitu yaani mtu anahama 🤣🤣 nahisi kama wife anarudi hata kama nikiwa...
11 Reactions
17 Replies
751 Views
Watu wanaonewa Sana kwenye ndoa. Mtu anajitahidi kutunza ndoa Kwa akili na Moyo wake wote lakini mwingine anachukulia advantage kumtesa mwenzake. Wewe ni mtu aina gani huna huruma Kila siku...
4 Reactions
14 Replies
650 Views
~ Watu kama Julius Caesar, Theodore Roosevelt, James Bond, Thomas Shelby bila kumsahau Vladimir Putin ~Watu hawa wanaitwa Alpha Males ~ Wanaume wengi wanahitaji kua kama hao, na wanawake wengi...
18 Reactions
24 Replies
4K Views
Itifaki izingatiwe - Mimi ni mkristo Kuna dem nimempangia sehem hivi karibuni sasa kwa bahati mbaya tumekuja kugundua kuwa nilipompangia ni pemben ya kanisa (haya ya kilokole ambayo ibada ni kila...
15 Reactions
42 Replies
2K Views
Leo katika tafakari yangu na tathmini; nimegundua nina watoto nane, na wanaotambulika na mama zao kuwapa jina langu ni sita, wakike 3, na wa kiume 3; wa nje ya ndoa 3 mama tofauti. Changamoto...
3 Reactions
48 Replies
2K Views
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma! Kuna mwanamke humu kapost anataka mume, mimi nikampandia hewani...
75 Reactions
480 Replies
27K Views
Mahakama ya Upeo Nchini Kenya leo Januari 27, 2023 imetoa Uamuzi kuwa Wanandoa wanaoachana hawatagawana Mali nusu kwa nusu (50/50) kama ilivyokuwa awali bali kila Mmoja ataondoka na kitu chake...
4 Reactions
106 Replies
6K Views
Hello ndugu zangu! Binafsi ninaleta leo kisa kimoja ambacho sikuwahi kukileta humu. Wakati nasoma advanced level nilikuwa Beta guy aka a nice guy. Nakumbuka nilikuwa na hela ila sikuambulia...
6 Reactions
32 Replies
4K Views
Ukiusikia usemi wa watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa basi sasa ndio amini kuwa usemi huo upo na unafanya kazi. Jumapili iliyopita nilimsindikiza mpwa wangu ( mtoto wa dada yangu...
20 Reactions
125 Replies
9K Views
Wana ndugu habari Weekend hii Napenda sana kuogelea nipeni location basi [emoji2112] [emoji2113] [emoji474] (to swim)
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Wadau ni hivi kabla hauja anza kuchepuka anza kwanza na kumpenda mkeo na familia yako na kumjari hata ya kinafki. Kwa nini unatakiwa ufanye hivyo ni kwamba wewe unapo enda huko nje Unaenda...
3 Reactions
12 Replies
766 Views
Wanawali 60. Wakali kwa types nitakazo mimi. Tena wote nawakuta bikra...so naanza nao mwenyewe. Ndo maana nikiwaangalia wanawake siku hizi wanasema nmekuwa na kiburi na dharau. Ni kweli sikatai...
10 Reactions
71 Replies
3K Views
Hivi hawa wanaume wanaohamasishana eti kataa ndoa ni wanaume kweli? Hivi mwanaume rijali kabisa anaweza kuogopa kuowa? Ukiwasikiliza sababu zao eti wanaogopa kuchapiwa. Poleni sana dada zangu...
8 Reactions
17 Replies
1K Views
Njia za Ufungaji wa Tai (Tie) Tie a bow tie. Step 1: Make a simple knot, allowing slightly more length (one to two inches) on the end of A. Step 2: Lay A out of the way, fold B into the...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Manipulators katika mahusiano; Ni watu wanaopenda kutawala maisha ya wenzao, mfano anaweza kudukua simu yako, kukuchagulia marafiki, wengine wanazuiwa kufanya kazi, yaani kifupi anakuwa anajikuta...
19 Reactions
162 Replies
11K Views
Salaam wakuu, niende kwenye mada. wakuu hivi ikiwa mume(wandoa) ana tabia kama hizi maana yake huwa ni nini anajaribu kuwasilisha ujumbe gani. Mimi nina huyu mume wangu ambae hana wivu na mimi...
9 Reactions
69 Replies
3K Views
Hawa sio watu wa kuwapa attention. Hawa sio watu wa kuwapa sehemu ya mioyo yenu, Hawa sio watu wa kuwaruhusu wa-share experience, importance na gift ya maisha yako, Hawa sio watu wa kuhudumia...
2 Reactions
1 Replies
411 Views
Waganga ni watu walioridhishwa kutibu watu na shida zao mbali mbali . Ikiwemo kutoa majini, Kutoa vifungoo Kutoa uchawi uliowekwa mwilini au katika nyumba za watu . Kurudisha nyota...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom