Swali lenyewe ni hili, kama huyo mdada unae-date naye angekuepo kwenye nafasi ya kutoa msaada uliyo nayo wewe, huyo mdada angekupa huo msaada?
Mfano umempa mwanamke unae-date naye smartphone ya...
Nimechoka, Najisikia Uchungu sana!
Hadi kupika napika!Hello Jane,
Sijajua kitu gani kimetokea katika ndoa yetu, tulizoea kuwa na tendo la ndoa mara 3 kwa wiki na sasa ni mara moja kwa miezi...
Na hili nalo ikiwezekana mkalitizame kwa jicho yakinifu
Nikiwa kwenye kituo fulani hivi cha bodaboda mida ya saa mbili nikiwa naelekea kazini kwangu, ghafla moyo wangu unashtuka baada ya kumuona...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini ndoa nyingi za watu waliopishana miaka michache (rika moja) huwa zinadumu muda mrefu na kuwa na changamoto...
Tendo la ndoa lina mambo mawili ya muhimu
Burudani na kufika kileleni tu.
Burudani imebeba udambwidambwi ambao ndio hupelekea mtu kufika kileleni.
Tamati ya tendo la ndoa mtu amwage yale maji...
Unapoyaanza maisha yako baada ya kutendwa/kuachwa, huwa ni wewe utayebeba matokeo yoyote yale ya kiakili, kimwili, kiuchumi na kijamii.
Unapokuwa peke yako unapambana na upweke, unapambana na...
Ni mambo ya ajabu, kuwa na mahusiano na mtu asiyekuwa na moyo wa kutoa, anayetoa na mnapogombana ama kupishana anadai vitu vyake.
Kuna msichana alimpa mwanaume simu, baada ya mwanaume simu yake...
Habari wakuu,
Leo nami ngoja nitoe ya moyoni nipate ushauri. Nimeolewa na ndoa yangu ina miaka sita sasa na tumejaaliwa watoto wawilj wakike na wa kiume.
Nlikutana na mume wangu akiwa na tatizo...
Huko nchini Uganda Mahakama imeamuru Mwanamke mmoja alipe gharama ya Ush 10 millions kwa sponsa wake kama fidia ya Mwanamke huyo kumuacha njia panda sponsor baada ya kusomeshwa.
Imeelezwa...
Mwanamke zake tambo ni miaka 20 mpk 40 tu, baada ya hapo kwisha habari yako!
Ikiwa mwanamke hajaolewa katika umri huo imetoka, na akiwa hana mtoto ndiyo nitolee hiyo.
Lkn midume inaendelea kula...
Kutoka Kiaraka, Magegeni, Bagamoyo mkoa wa Pwani, kumetokea utata juu kuzikwa kwa mwili wa marehemu Massawe ambapo upande wa mke wanataka mwili usafirishwe na upande wa mume na majirani wakitaka...
Hivi karibuni na haswa mwaka huu 2023 tumeendelea kushuhudia ndoa za watu maarufu nchini Tanzania zikikumbwa na migogoro kiasi cha kuenea kwenye mitandao ya kijamii, mambo ya faraga yanaanikwa...
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana!
2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)...
Habarini wanajamvi,
Kumekuwa na wimbo wenye vilio kwa wanaume kuwa hawana nguvu za kiume huku wengne wakiishia kagoli kamoja.
Lazima ujue kuwa ngono ni kuwa na hapetaiti au ashki ikiwa apetaiti...
Ilipoishia sehemu ya kwanza; Baada ya hapo Aneth alifurahi kisha kunihudumia vile nilivyohitaji, na baadae nilimwita , nikamwomba namba yake ya simu , nikasepa kwenye mishe mishe.
Inaendelea...
Ndoa ni nusu dini haichezewi mtandaoni kuna watu wanawake wanne ila wako kimya kwa sababu wana fanya kwa ajili ya Allah sio kwa sifa za watu. Shida ni kuwa usipende kuonyesha mafanikio yako ya...
Wazee wenzangu wa kiumeni leo tutete yetu. Ujue kuna wakati unafika inabidi uchukue japo time kidogo kujithaminisha jinsi unavoishi ukilinganisha na umri. Me huwa nakereka sana sana mwanaume wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.