Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Huwa nasemaga tu kwa nilichokishuhudia na sidanganyagi Nimepitia hapa Ubungo nikasema nitafute lodge nipumzike mwenyewe tu mara Gafla kaingia jamaa mmoja mfupi kama nyundo ni balaa kachomekea tu...
37 Reactions
115 Replies
4K Views
Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko...
33 Reactions
251 Replies
4K Views
Moja ya vitu ambavyo tunavyo baadhi ya wanaume ni kuwachukulia poa wale wanawake wanoonyesha kutupenda kupitiliza, unakuta una mwanamke anakujali mnyeyekevu anakuheshimu alafu unamchukulia poa poa...
33 Reactions
167 Replies
17K Views
Kuna mdau aliwahi kukazia humu kuwa mwanaume anayejielewa usijiwekee asilimia miamoja kuwa mwanamke uliyenaye anaweza kuwa nawewe milele , usijiwekee asilimia mia siku akibadilka utakuja kulia...
20 Reactions
46 Replies
9K Views
Wakuu wasaalam, Issue inaanzia hapa wamekutana miaka kadhaa ilopita Binti no 4; ntatumia no ili kueleweka vzr akiwa ni single Maza wa mtoto mmoja wa kike kwa madai yake ni kwamba alibeba ujauzito...
5 Reactions
57 Replies
6K Views
Hi? Mzee wangu alikula mke wa jirani yetu mapenzi yalipowanogea kamtoa kwa mumewe na kwenda kumpangia gest house jamaa alipogundua akawafata kwa lengo la kufumania na kumkataza mzee aachane na...
14 Reactions
43 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema nilikua mraibu wa punyeto kupita kiasi takribani robo tatu 3/4 ya umri wangu na maisha yangu.. Nilianza uraibu wa punyeto baada ya kubalehe tuu na niliijua...
16 Reactions
82 Replies
2K Views
Salam wakuu, andiko hili ni kwa ajili ya kuelimisha jinsi jamii inavyo paswa kuishi na ma jobless pro max. Jamii yetu ina watu mbali mbali, wapo wenye ajira, ma jobless pro max, watu wa daraja la...
33 Reactions
188 Replies
3K Views
Hello humu jf, Hebu tusaidiane mawazo na mtizamo huyu mtu ananiona vipi? Mimi ni kijana na umri wangu miaka 28 sijao Sasa kuna mwana kitaa hapa ninapoishi yeye ameoa na mtoto mmoja umri wake...
9 Reactions
32 Replies
807 Views
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii. Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
24 Reactions
231 Replies
10K Views
Happy Saturday wananchi wa Sameer Kama kichwa cha Uzi kinavyosomeka Sina Nia ya kumpoint mtu au Sina Nia Mbaya kuleta Uzi huu. Back to our mission Nimejiunga na JF Sina mda mrefu Sana Ila...
9 Reactions
63 Replies
998 Views
Guys week end naona imeisha sasa mnajipumzisha ili kesho muianze juamatatu kwa nguvu zote. Sasa basi, mwaka huu ulipoanza moja ya resolution nilizokuwa nimefanya ni kuwa karibu na Mungu na...
5 Reactions
61 Replies
2K Views
Niko hapa kituo flan cha daladala Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana...
45 Reactions
236 Replies
5K Views
Hello dears Poleni na majukumu. Kuna mmama fulani alikuwa anafuatilia nyendo za mumewe (waliyezaa nae watoto kadhaa bila ndoa) basi akagundua mzazi mwenza anapewa kisamvu cha kopo na...
16 Reactions
97 Replies
2K Views
Declaration of Interest: Mimi nimeoa mmeru Arusha Town. Pamoja na mapungufu madogo madogo kwenye jamii ya watu wa Arusha bado ni jamii bora sana kama unataka Mke wa kujenga familia na Taifa kwa...
21 Reactions
184 Replies
4K Views
Wanawake sikuizi mmekuwa na msongo wa mawazo kisa umri umeenda na ulipanga kuolewa ukiwa 25yrs ila hakuna dalili wengine mmekuwa mnabeba mimba ovyo kutegemea watawaoa mbaya sana iyo Jikite...
18 Reactions
117 Replies
2K Views
RECONCILIATION AFTER 6 YEARS OF DIVORCE???. Afrobeats Diva Tiwa Savage has reconciled with her ex-husband and baby daddy @Teebillz after six years of divorce. The couple who were married in 2013...
9 Reactions
40 Replies
1K Views
Kuna watu wanajiona ni wanaume na hata huwa wanaoa wanawake na kuzaa nao lakini kiuhakika wake si wanaume kweli.Kama wanawake wangekuwa si uwanawake wao basi wangewakataa mapema kabla ya ndoa...
2 Reactions
33 Replies
976 Views
Ifahamike kwamba sio wanaume wote ni waadilifu, vilevile siyo kila Mwanamke huwa mpenda ugomvi. kuna wanaume hutumia upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu ambao mwanamke...
2 Reactions
11 Replies
393 Views
Nimeona single mothers wakistruggle kulea watoto wao wa kiume peke yao bila baba za hao watoto kuwepo. Je unaweza kumjua mwanaume aliyelelewa na mama peke yake? Je tabia zake zinakuwaje? Anaweza...
0 Reactions
95 Replies
16K Views
Back
Top Bottom