Binafsi nilikwazika sana siku rafiki yangu wa karibu aliponisemea kwa watu kuwa mali ninazomiliki zinatokana na majini na kuwaambia wengine wasiwe karibu na mimi na wasinisaidie katika kazi zangu...
Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.
Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia...
Vijana wengi wamekuwa wanapenda mapenzi kuliko kazi. Leo hii kijana unaweza ukamkuta anafanya kazi pesa yake haionekani inaishia kwa wanawake tu, anashindwa kujihudumia yeye kama yeye kisa ampe...
Nimejaribu kuomba msaada imeshindikana.
Mie nilikuwa sina mpenzi nikawa na mtu friend with benefits. Sasa nipo na chibabu nikasema ngoja nimwambie kuwa mie sio single tena.
Weeeh! Akawaka akadai...
Yaani kuna watu mabwege humu mpaka unashangaa... Unasema walitungwa ujauzito kipindi cha wazazi wao wakiwa wamelewa nini?
Yaani jamaa mmoja bwege anaomba nimpatie kiasi flani cha pesa amtoe demu...
Katika moja ya mambo yaliyoyabadilisha maisha ya watu wengi basi ni haka kamchezo ka kitandani.
Wewe mwenyewe fikiria jinsi kitendo cha dakika 30 kilivyoyabadilisha maisha yako yote. Ieleweke...
Happy New Year Comrades,
Huyu dada wa JF tulianza mazoea kupitia kuchangia threads mbalimbali mwisho wa siku tukaanza kuchat PM, baadae tukabadilishana contacts tukaanza wasiliana, pamoja na...
Hatua zifuatazo zinaweza kukusaidia
1.JIFUNZE TABIA ZA WATU
Kama hujui asili ya tabia za watu utaumizwa sana miaka yote.Kwa asili ya tabia za binadamu ni kwamba mtu mwenye sifa ya kusema wengine...
HABARI ZENU WAKUBWA!
Naitwa JAMES YUSTAR
Kijana mkakamavu
Nimekuwa mfatiliaji wa JF tangu mwaka 2015, kabla ya mwaka Jana kujiunga rasmi.
Wakubwa, Leo naomba niwashirikishe changamoto...
Wakuu.
Mimi naona mapenzi yaenda kunishinda.
Kuna mwanamke ilitokea nilimpa ujauzito mwaka jana nikamwambia usitoe mimi ntalea kipindi hiko niko nae mkoa yeye alikuja kunisalmia na sikujiandaa...
Happy new yeeeeeeeeeeear brothers&sisters
Nimekuja kuleta mrejesho. Ni kuhusu yule dada aliyeomba nimkopeshe 50k na nikampa conditions nimegegede miezi miwili kwa wastani wa mara 1 kila siku...
Wanawake tafuteni hela mtakosa wachumba.
Nilikutana na huyu mwanamke miaka ya nyuma huko.
Akawa abakuja gheto anapika, anafua, usafi anafanya na moto nampelekea.
Hakuwa na makuu kivile ila...
Naombeni ushauri wakuu,
Ni Hivi,
Nakumbuka Kuna kipind niliwahi kuleta humu kesi ya Brother yetu mmoja (mkubwa kiumri) kumuoa mchumba wa miaka mingi wa rafiki yetu (mdg kiumri) Kama MKE mdogo...
Embe dodo ni aina ya maembe ambayo ni matamu sana. Watu wengi hawajui namna ya kula tunda hili kwa raha na kistaarabu.
Leo katika uzi huu nitaeleza namna ya kula embe hili.
UTANGULIZI
Embe dodo...
Kuna jamaa fulani ambaye ana tabia ya ku comment ujinga kwenye picha za mke wangu na tabia ya kupost picha za mke wangu kwenye messenger day yake nilimuuliza mke wangu akasema ni binamu yake...
Habari ya asubuhi wana Jf ni miezi mitatu sasa tangu nimekuja tanga.
Lakini nilivyokuja katika mkoa huu, kuna binti ghafla akawa ni mtu wa kunichangamkia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!! Si...
Binti alisema jamaa alimbaka miaka kadhaa huko nyuma baada ya kugundua tunafahamiana.
Baharia nikaipotezea kwa sababu kidimbwi naendelea kusugua nikaona haina noma ngoja kawe kaside chick.
Sasa...
Mara nyingi sana huwa nikisikiliza nyimbo ya BUSHOKE na JULIANA KANYOMOZI " usiende mbali ". Huwa anamkumbuka rafiki yangu JAMES mapenzi tu ndo kilikuwa chanzo cha kifo chake.
Jamani tunatakiwa...
Mapenz ni kitu cha ajabu sana unaweza ukampenda mtu na usimjue alivyo. Ngoja niwape story wanangu kitu kilichonikuta me katika muhusiano na uyo bint.
Nimempenda dem kupitia njia ya simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.