Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka...
Kuna wakati hujikuta umeishi kwa kumtegemea mtu pasipo kutarajia
Basi ilikuwa mwaka fulani hivi natoka chuo baada ya kuhitimu masomo Sina cha kufanya wazo likanijia mr pipa si una bro wako...
Love me the way I am. Ni sentensi moja ya kipumbavu sana, wanawake wanatumia hasa pale akijua ana tatizo na hataki kulitatua.
Kuna situation hiyo statement inaweza kua na mantiki mfano una...
Tangu websites za porn zimepigwa ban hapa bongo VPN ilikua ndo mkombozi wetu wanyonge, naomba nieleweke mimi sio member wa CHAPUTA nilikua napita pita tu uko pornhub, xxnx n.k kureflesh akili na...
Salaam Wakuu,
Leo nimekuja na huu mjadala ambao umechochewa na mambo kadhaa ninayoshuhudia au kukutana nayo mtaani.
Binafsi ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye watu wengi hivyo nashuhudia...
MADHARA YATOKANAYO NA KUTUMIA VITU VYENYE KEMIKALI KALI UKENI!
✍🏻Uke ni kiungo katika jinsi KE kiunganishacho shingo ya kizazi na kizazi chenyewe. Umeundwa na viungo vingine kamna urethra...
Kwa uzoefu wangu wanawake karibu wote wenye tuvichwa tudogo yaani ni sifuri kichwani, wanadanganyika kirahisi. Wepesi wakudanganyika na wepesi kuomba msamaha.
Ukimkalisha chini umkanye ni kama...
Hiki kisa hakikunitokea mimi ila mtu wangu wa karibu though sio sana.
Kv aliopoa chura fulani mweupe mwenye wowowo, nadhani ni mwanafunzi wa Mlimani na kwenda naye guest house. Baada ya...
Habari za wakati huu wanajamvi, naandika haya baada ya kufanyiwa kitu ambacho sikukipenda na mwandani wangu na kuna kila dalili ya kuchapiwa na x wa mpenzi wangu. Nilitaka hivi karibuni nimchumbie...
Yaaani nimecheka mpaka nimeona nifanye kushare na ndugu zangu wa umu
Fikiria nimeenda kwenye kabaa fulani cha uswazi sasa mimi ni aina ya wale watu nikiendaga sehemu nakuwaga sina shobo na wadau...
Siku tano zilizopita, mpenzi wangu (mchepuko) alinipigia simu, akiomba anataka tuonane, kwa sababu malaria ilikuwa iko juu sana, kwa hiyo alikuwa anahitaji dozi sahihi ya kuweza kuituliza.
Baada...
Imekuwa desturi mabinti wengi kuleta nyuzi humu jamvini, kwa ajili ya kutafuta wachumba/waume ili kuolewa, lakini wengine wamekuwa wakitoka kapa.
Hivyo kujikuta wanabadili ID mara kwa mara ili...
Habari wanajamvi, kila nikikutana na hizi agenda za ukatili wa kingono hasa kwa mke na mume nashindwa kuelewa vizuri, naomba ufanunuzi wa kina wa hoja.
1:- Nimeoa/umeolewa je inawezekana vipi...
Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.
Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi...
Wakuu,
Mwezi mmoja uliopita nilikuja nyumbani (kwa wazazi) kwa ajili ya Pasaka, hapa nyumbani pia nilijumuika na mdogo wangu wa mwisho (anasoma chuo) hapa nitamwita Denis (sio halisi) na mtoto wa...
UKWENI PAMOTO JAMANI, YAMENIKUTA.
Na, Robert Heriel.
Nimeanza mwaka vibaya jamani. Wapi naficha uso wangu. wapi nauliza? Kama ningejua mambo yenyewe yapo hivi walahi wabinlahi nisingepeleka pua...
Kwanza nitangulize kusema sitaki watu wakunicheka, kama wewe unajua kila kitu mimi sijui ndiyo maana naomba msaada.
Kuna mwanadada ambaye nilikuwa na mfukuzia miezi takribani 3 na nusu, ila...
Habari wana JF
Unakuta umepiga usafi heavy gheto, umepika misosi ya kibabe, umejaza vitu kwenye jokofu, umetandika shuka jipya, umevaa boksa ya maangamizi, umepiga pasi nguo kwa dobi, umelipia...
Salaam,
Kuna kampeni inaendeshwa kimya kimya na wahuni kushawishi watu wasioe... Yaani watu waikatae NATURE... Maumbile yao ya asili...
Sasa wewe usipooa... Maji maji yako unayajaza unamwekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.