Introverts are people who prefer time for themselves, few circle of friends, in short people who are not social because of being shy/quite/.
I think I have this personality,and it cost me as I...
Tendo la ngono lina mambo mengi aisee na sababu nyingi sana. Kiukweli nimekua na tabia ya kumuuliza hili swali mwanamke ambaye nimehisi katokea kuvutiwa na mimi ama hela zangu. Lazima niulize...
Wakuu nina mchumba wa kiislamu ambae tumeshibana sana na nataka nimuoe lakini imetokea changamoto kwa baba yake anataka nibadili dini na amekomaa kweli kweli.
Baba yake ni mtu wa dini na ni...
Nimeona wanawake wengi wakimsifu Masanja kama amefanya jambo la kishujaa kugongewa mke na badala ya kumwadhibu ndio kwanza anaoneshwa mapenzi ya social media na zawadi za kushangaza kwa jambo...
Siku moja nilikuwa nimetoka nyumbani, niliporejea kwangu, nilipofika mlangoni nilisikia mazungumzo ya mke wangu na shoga yake, ambaye hajabahatika kuzaa na mumewe.
"Wewe tafuta mwanaume yeyote...
AMKA NA HII: Najua kuna kakitu wanawake wanaambiana “Ukitaka kujua kama anakupenda wewe muombe pesa kwanza kama akikupa basi yuko siriasi na wewe!”
Hapana, haipo hivyo, hata wale wanaojiuza nao...
Aisee kwa walioa ama kuolewa wanaifahamu hii siku, inakuwa tamu lakini yenye presha nyingi.
Binafsi siku hii jasho halikuacha kunitoka na hata uchangamfu ulitoweka, lakini ni siku yenye kumbukizi...
Habari, poleni kwa majukumu. Mimi nina rafiki yangu huku kampenda dada, akaongea naye wakakubaliana. Ilihali imepita wiki tatu, rafiki yangu ilibidi aombe penzi, dada ana mtoto hivyo shida...
Sina nia ya kutiririka wala kuperform kazi ya motivational speakers ila kwa niliyojionea, ningependa kufikisha ujumbe fulani.
Niliachana na mwanamke wangu sababu alikuwa mkavu hadi kero. Baada...
Natumai mko salama,
Leo nawiwa kuwaandikia haya enyi mabinti wenye nia ya kuutunza usichana wenu hata kama uko chuo au unatarajia kuingia huko.
Fanya yafuatayo kama hutaki uasherati chuoni.
1...
Habari wana JF
Ni matumaini yangu hamjambo wote mnaendelea vizuri. Kwangu mimi kuna suala lanitatiza kidogo hapa.
Et wanaume wezangu baada ya sex ni lazima kumpa mwanamke hela au demu wako...
Kuna mdada nilimpa lift ya pikipiki (sina gari) tukabadilishana namba za simu. Baada ya kuchati siku mbili tatu tukajikuta tupo karibu, nikamtoa out kwenye kijiwe changu cha kitimoto (sorry) kumbe...
Hili ni tatizo linaniumiza kichwa sana, najiuliza kwa hali hii nikioa itakuwaje? Ni miezi miwili tu au mmoja, namchoka kabisa.
Ila wiki chache za mwanzo nakuwa na hisia naye mno, yaani hata...
Soon tutaanza kuona masela wanawinda mende vyooni badala ya mkongo.
Hili pia ni fundisho la kutokuendekeza kula kula ovyo kwa michepuko. Kutoka mende mpaka kuwekewa kinyesi kabisa ni hatua chache...
Kwenye Uzi wangu nilioandika leo asubuhi, nilielezea bayana jinsi ninavyoumia ninapotafakari matendo ya mwanamume anayomtendea mwanamke kwenye tendo la ndoa!
Maumivu yananijia pale ninapomfikiria...
Kuna wanaume na wanawake wana maisha magumu, anafanya uamuzi wa kuvunja mahusiano yake tena wengine kwa mbwembwe na matusi juu, ila baadae anarudi tena na kulilia penzi alilolivunja.
Wapo tayari...
Wakuuu
Hapo juzi ilinilazimu kudandia roli kutoka mkoa A kwenda mkoa B majira ya usiku, safari ilikuwa ndefu na tulikuwa tunabadirishana mawazo na yule dereva.
Kwenye story tulizopiga...
Habari wana jukwaa,
Ni matumani yangu mnaendelea vyema na kila mmoja kwa nafasi yake anautafuta mkate wa siku. Kuna jambo nimejaribu kulifikiria kwa muda na nimeona tushirikiane kwani kuna watu...
Kubali ukatae huyo unayeishi naye si wako. Upo hapo kujisitiri tu uitwe mume wa mtu, mke wa mtu basi. Ndiyo maana umekubali kuvumilia yote.😆 Eti navumilia watoto, navumilia watu wataongea sana...
Huwa nafurahia sana mapenzi yaani unakutana na mwanamke anajifanya anakupenda kumbe anataka kukupiga tukio, kisha na wewe unajifanya umekolea ili na wewe umpige tukio yaani inakuwa full burudani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.