Tuko mbali mikoa tofauti, hapa kisanga ndipo kinakuja. Anapenda kupiga piga simu mara kwa mara, sasa mara nyingi najikuta namkatiza ilee.. "Samahani ngoja nitakupigia baadae kidogo".
Kiukweli...
Mbeya, Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu amewataka wanaume kutoa taarifa za ukatili wa kijinsia wanaofanyiwa katika ndoa ili kupata msaada wa kisheria na kisaikolojia...
Habarini za jioni.
Leo nawatukana wanaume wote wanaowapiga wake zao kuwa ni wajinga na wapuuzi, kwa sababu zifuatazo;
Unampigaje mwanamke tena mpaka kumuumiza kabisa, ilhali jioni unakula chakula...
Kuna mwanamke ninafanya naye kazi, sasa mwanamke huyo tayari nimesha mchana mkweli wangu na kwa bahati mbaya alikataa. Nilijaribu kukaza kabisa akasema nimpe muda afikirie. Si unajua vijana sisi...
Nilikuwa napitia kwa ukaribu sana status zilizowekwa katika page za wasichana as per say! Nimekuta wengi wameandika kwenye kipengele cha relationship "Complicated".
Wale ambao umri wao unaonekana...
Ni mwaka sasa unakaribia kuisha tangu uamue kuniandikia ujumbe wa kuhitaji talaka baada ya ndoa yetu kudumu kwa miaka miwili na miezi minane tu.
Bado nakukumbuka sana mpenzi. Sichoki kukumbuka...
Hili tuliweke sawa kwanza kabla ya yote
Naomba tusome apa
Kisha akamwambia huyo mwanamume, “Kwa kuwa wewe umemsikiliza mkeo, ukala matunda ya mti ambayo nilikuamuru usile; kwa hiyo, kwa kosa lako...
Nimeingia asubuhi hii Zanzibar baada ya kutoka South Africa, kwakweli nimekuja Zanzibar kuangalia fursa za biashara. Nimekuwa nikitamani sana kufanya biashara, na mara nyingi nimekuwa nikitamani...
Habari wandugu?
Hapa juzi kati nimehudhuria harusi moja hivi na ilikuwa poa kabisa. Sasa nilichoshangaa ni pale wakati wa utambulisho!
Bibi harusi wakati anamtambulisha kaka yake, dume zima si...
Nina kimeo changu kinaniendesha mpaka nakosa usingizi, nikitaka kumtimua anatishia kujiua. Sasa sijui anaweza akafanya kweli au mikwara tu, siyo mara moja ni zaidi ya 20, kila akinizingua nikitaka...
Wakuu kutokana na majukumu kuwa mengi na kukimbizana na mikate yetu ya kila siku hivyo sita ongea mengi kutokana na muda.
Huu mpango wa 50/50 upo kwa ajiri ya mumnufaisha mwanaume ila wanaume...
Niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Poleni na mihangaiko ya hapa na pale
Nikiwa katika pikipiki ya ofisi mida ya saa nne asubuhi wakati napeleka package kwa wateja X huko...
Habarini za weekend ndugu zangu natumaini nyote wazima wa afya Mungu anatupigania .Pia nitangulize shukran zangu za dhati Kwa Wana Jf wote kokote mlipo duniani.Turejee katika mada.
Nimeamua...
Kuna jamaa yangu ananiambia mara kadhaa amekuwa akiota afanya nilichokiandika hapa juu na mama yake mzazi, na kwa mara ya kwanza usiku wa kuamkia leo kaota anafanya yaleyale na mama mkwe wake...
Wana JF!
Namshukuru Mungu kwa kutujaalia uzima na afya njema! Sifa na Utukufu ni vyake yeye!
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya pekee mwanetu Junior hapo kwenye avatar! Mungu mlinde na umpe uhai hata...
Haikuwa makosa vitabu vya dini kumtambua mwanaume kama kichwa cha familia, hii ni kweli na ushahidi wa hilo upo.
Nimekaa mahali hapa nakunywa maji kama rejeta nikisindikizia na chipsi mayai...
Ndugu yako wa damu baba mmoja mama mmoja anaweza kuwa mbaya na katili kwako. Hata yule ambaye mko baba/mama mmoja anakuwa katili dhidi yako na asikupende abadani. Wanaume wenzangu tuwekeze kwa...
Haka kabinti nilikatongoza mara mbili, kalikataa kabisa kwakuwa mimi ni shemeji yake. Sasa naona tabia yake ile ya kuniomba nimnunue hiki mara nimtolee pesa ya mchezo, mara ya kula naona bado...
Habari yako,
Sorry leo nipo hapa katika jukwaa hili naomba ushauri kuhusiana na hili ninalolileta kwako muda huu.
Naitwa Mr George Francis kwa jina maarufu. Kuna dada mmoja anaitwa Latipha...
Habari za muda huu wadau; bila kupoteza muda niende kwenye mada! katika pitapita zangu wikiendi iliyopita nikabahatika kuopoa dada poa bei yake haikuwa mbaya sana nililala naye usiku mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.