Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wazazi au walezi wanapenda sana kuweka taarifa au picha na video nyingi sana kuhusu watoto wao mtandaoni. Wengine huko Instagram, wanachapisha video na picha za watoto wao wakiwa nusu uchi...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu mmebarikiwa. Iko hivi, kuna kazi nliipata mikoa ya Kanda ya Ziwa na nlitegemea kupata pesa nyingi sana ila kwa bahati mbaya mambo yamekwenda tofauti kabisa. Wakati nafika huku nilikutana...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa. Nataka kuuliza kitu hapa maana najua Dunia ina vitu vingi na kila kinachotokea siyo kipya, ujue kimeshatokea sehemu. Nataka kupata uzoefu kwenye hili. Je, ilishatokea...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Unakuta mwanamke hujawai kutembea naye wala kumfanyia baya lolote lile lakini bahati mbaya mahusiano yamevunjika tu ghafla, hakuna mawasiliano pande zote mbili lakini siku unamuona online...
4 Reactions
103 Replies
10K Views
Bila mambo mengi, Jana asubuhi asubuhi si nikakuta missed call za pisi flani zikiambatana na text za nimekumiss. Ah! Mida mida nikaamua kujibu ile basi tu. Mrembo kaanza kunieleza vitu...
9 Reactions
129 Replies
6K Views
Hello , Leo tuongelee mbinu za kushawishi watu. Hizi nlizisomaga kwny kitabu fulan miaka imepita..Lakini zimenisaidia sana kwa kujua au kutokujua. Nakuomba nishee na wewe pia. Ushawishi huu...
27 Reactions
33 Replies
4K Views
Huyu manzi tulikutana Nairobi, nilienda kwenye mbishe flani ya chap kwa haraka, mwenyeji wangu akanipeleka club moja inaitwa K1 Klub. Hapo nilikutana na mamsi mmoja, ni msupuu siyo utani...
8 Reactions
190 Replies
7K Views
Habari za muda huu ndugu jamaa na marafiki, ni matumaini yangu kuwa sote hatujambo na wenzetu wanaopitia mitihani mbali mbali ya kiafya au kiuchumi Mungu awasimamie maana yeye ndio muweza wa yote...
6 Reactions
8 Replies
741 Views
Nawasalimia wanaizengo.. Nina mwanamke mjanja mjanja Sana tuko ofisi moja, tume date na nime kula mara mbili tatu. Namsoma bado. Huyu mwanamama is extra genius, naona na IQ yake kunizidi...
1 Reactions
11 Replies
956 Views
Habari wana jukwaa. Leo nataka niseme kitu kidogo sana. Ushajiuliza kwanini mahusiano mengi yanavunjika, namaanisha mahusianoa ya mwanamke na mwanaume? Jibu ni rahisi sana, sababu ni kuwa, wengi...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwanza poleni wakaka na wadada ambao bado single kama mimi. Kuna huu msemo eti umri umeenda tafuta mtu wa kuolewa au unatafuta mtu wakukuzalia. Hapana, hakuna hilo, mnajidanganya. Usidanganywe...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Jambo ndugu zangu, naombeni ushauri wenu. Nina mwanamke wangu ambaye tunapendana naye na tuna mpango wa kuoana hapo badaye. Ila ninashindwa kuelewa tabia za mwanamke huyu, kiufupi mwanamke huyu...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Jamani ndiyo tunamalizia wikiendi natumai mko poa. Basi wikiendi ilivyoanza nikaona ni busara kwenda mtembelea bibi huko kijijini kwake Mwanzo Mgumu, nikapokelewa kwa kishindo. Basi bwana, bibi...
21 Reactions
155 Replies
6K Views
Habari wadau, Mafarisayo, wapambanaji, watafutaji bila kusahau wachakataji. show yangu mbovu kuliko zote ni mwenda zake aligoma kusimama kabisa bustani ya eden nilivuta bangi na hisia zote lakini...
0 Reactions
4 Replies
932 Views
Jumamosi mabush ananipigia simu kunisabahi na haraka ananiuliza nipo pande zipi za jiji.namjibu nipo hom na watch series.ananambia haraka nijiandae anakuja kunipitia anipeleke kiwanja kipya( si...
14 Reactions
60 Replies
6K Views
Wakuuu. Tumezaliwa watano kwa baba na mama angu, mimi ni wa pili kutoka mwisho, hao wengine wote ni wanawake mimi peke yangu ndiyo mwanaume. Kwahiyo dada watatu wamenizidi na mmoja ndiyo yupo...
14 Reactions
97 Replies
5K Views
Mwalimu Mwakasege amesema kabla vijana hawajaungana Katika Ndoa ni vema wajitafakari kama Mungu ndiye anawaunganisha kwa Imani na siyo Upendo pekee. Mwalimu Mwakasege amesema Upendo ukipoa basi...
11 Reactions
45 Replies
4K Views
Ni nadra sana kukuta mwanaume anamwambia mwenzako kwamba anamjali. Ukiwa na shida utapewa msaada kwa utani au kadhihaka fulani hivi, Kwa nje ni kama huwa hatutaki kusaidiana ama kujaliana lakini...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Muuza Kangala nina wakati mgumu sana. Maana huyu mwanamke ananichanganya. Kama miezi mitatu tulizinguana naye. Baada ya kizinguana naye mpaka leo anazingua kunipa puchi. Mimi nikivusha wanawake...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Bint wa Bill Gates (tajiri namba moja duniani kwa miaka kadhaa) anategemea kufunga ndoa na kijana wa Kimisri (wanaotujengea Steigler Gorge). Bint ame fall kwa kijana handsome wa Kiislam...
47 Reactions
962 Replies
71K Views
Back
Top Bottom