Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu nimekuja hapa kuomba ushauri. Kama mara ya kwanza nilivyokuja kuleta mada kuhusu yule mwanamke, sasa nmekuja tena kuwaomba mnipe ushauri wakuu. Je, kipi sahihi nifanye, nifute namba yake...
9 Reactions
86 Replies
4K Views
Nilikuwa na mwanamke wangu ambaye tulikuwa tunapendana naye sana, na tulikuwa tumepanga mwaka kesho tutaoana. Ilikuwa mwezi wa wa 9 mwanzo mwanzo kule mwanamke wangu aliniambia kuwa sijui...
22 Reactions
53 Replies
3K Views
Mimi nimekuwa na mawazo tofauti sana, umeoa mke wako ila sisi ambao hatujaolewa tusaidie wake za watu wanaume zao, yaani tuzeeke kisa tunatumika na mali za watu. Hivi nyie wanaume mliooa mnataka...
9 Reactions
69 Replies
3K Views
To be honest Mpaka Muda huu kuhusu maswala ya ndoa nakwama Sehemu moja Kuzaa mtoto then asome katika Dumu fagio hapo tu. NB Mimi najifunza kwa walio-fanikiwa tu Dumu fagio ni hatari kwa...
7 Reactions
10 Replies
1K Views
Inakuwaje wote Mungu katupa akili sawa, ghafla kuna mtu anaamua kutamani kufugwa na kuwa chini ya uthibiti wa mtu mwingine? Yaani ikitokea mwanamke kaolewa na mtu wa chini sana, na huyo mtu wa...
0 Reactions
6 Replies
468 Views
Nitajitahidi nitumie lugha ya staha. Kina dada wanaofanya biashara ya ngono, wanajiskiaje namaanisha wanajihisi wanafanya biashara hii kama wafanyabiashara wengine wanavyojihisi? Wakati wa...
65 Reactions
347 Replies
56K Views
Merry Christmas Kumekua na maneno ya kashfa Sana dhidi ya baadhi ya makabila hapa Tanzania.kuwa "wanawake wa kabila fulani Ni Malaya Sana,hawafai". Mtazamo huu Mimi Lee sikubaliani nao...
6 Reactions
63 Replies
19K Views
Habari za humu wananzengo, mimi ninashindwa kuelewa hii jinsia ya kike hasa ya huu mkoa wa dar wanataka nini? Mbona wanaringa sana. Mimi sitaki mapenzi ya biashara kama kuhonga sana ili mwanamke...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna mambo mengi watu wanayapotosha katika sekta ya mapenzi (afya pamoja na vitendo). Leo ningependa kuzungumzia mitazamo mbalimbali ambayo kiuhalisia si kweli au haina mantiki katika sekta nzima...
8 Reactions
37 Replies
4K Views
Ni siku nyingi zimepita lakini hili jambo sijawahi kulieleza popote pale. Leo nalieleza na kutaka kujua kama kuna waliowahi kukutana na hii hali waje nao hapa watoe yaliyowasibu. Mwaka 2013...
17 Reactions
61 Replies
6K Views
My Kaka (mama tofauti aka mtoto wa nje) tumekulia na kukaa pamoja alimpa mimba housegirl.By the time kaka alikuwa form five Kwa kumwogopa sana baba akanieleza tumwombe yule housegirl aseme amepewa...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
"A good woman is not one size, women say" "Unahitaji kukaa vizuri kama mwanamke!" "Nani atakuoa ikiwa hujui kupika?" Haya ni baadhi tu ya maagizo ambayo wasichana hupigwa navyo wanapokua...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyie wanaume mliooa tunaomba mtulie na wake zenu. Kama mlioa kwa bahati mbaya ni juu yenu. Msiwe mnatusumbua wengine kabisa kwanza mnatupa gundu tu ambao hatujaolewa, kaeni ma wake zenu. Nani...
15 Reactions
245 Replies
12K Views
Hii imekaa vipi wakuu!? Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho. Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila...
12 Reactions
78 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu. Naomba niende mojakwamoja kwenye mada husika, ni story ndefu lakini nitajaribu kuifupisha. Ni Mfanyakazi mwenzangu, nilishiriki kwenye zoezi zima la kumposa mkewe, mahari na...
6 Reactions
38 Replies
3K Views
nimemaliza chuo mwaka 2005 . nikafanya kazi maeneo kadhaa wakinizingua naacha. huwa sipendi kuzinguliwa kazini. kwahiyo usitegemee uniajiri alafu ulete za kuleta eti nikuache kama sijakuwamba...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote..... Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa...
27 Reactions
336 Replies
24K Views
Uchawi wa mwanaume kwa mwanamke upo wa aina 2 tu; 1. Pesa - Hii itamvuta aje kwako. 2. Kumfikisha Mlima Kilimanjaro - Hii itamfanya uingie moyoni kwake sana sana. Sasa ili umfikishe Kilimanjaro...
8 Reactions
48 Replies
4K Views
Kumekua na wimbi la akina dada kuzalia nyumbani hasa hawa wa miaka 19-26. Unakuta kijana anajua hana uwezo wa kuhudumia mimba na kuchukua majukumu kama baba lakini anazalisha tu. Kuna hawa jamaa...
11 Reactions
72 Replies
3K Views
Back
Top Bottom