Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hapo vip! Nimejaribu kuchunguza,nimeona wanawake warembo wanaongoza kuzaa watoto wenye sura mbovu,mbovu. Hivi tatizo ni nini?
2 Reactions
101 Replies
19K Views
Kwa maisha ya sasa na wanawake wengi, utagundua wengi hawatumii au hawana akili. Na ndiyo maana wanajibidiisha sana kwenye muonekano, ila kichwani hamna kitu kabisa. Hopeless. Mwanaume : Fikiria...
9 Reactions
47 Replies
4K Views
Wakuu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada. Huko Kenya kijana mmoja kutoka familia ya kimaskini aliyekuwa ameajiriwa kama mtunza bustani kwenye familia moja ya mboga saba, amejikuta...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
KURINGARINGA KUNAVYOWAPONZA MABINTI.!! Kuringa kwa wasichana wa kibongo ni athari za malezi. Ulaya mtoto wa kike na kiume wanakua pamoja, wanahug, wanakiss, wanacheza pamoja but responsibly coz...
11 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari zenu wana nzengo? Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala...
31 Reactions
124 Replies
7K Views
Wakuu kuna mdada Anadai ana mimba yangu mpaka sasa sijui nifanyeje maisha yangu yenyewe hayaeleweki sijui pakuanzia wala kumalizia. Na binti naye hana mpango wa kuchomoa ushauri ndugu zangu sijui...
5 Reactions
66 Replies
7K Views
Acheni! Acheni! Acheni ulafi wanaume mliooa. Na ndiyo maana mnajifia mapema mnawaacha wake zenu wakiendelea ku enjoy mali zenu na mahawara zao. Komeni kusingizia eti mnarogwa, anawaroga nani...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za saivi ndugu zangu. Dhumuni la kuleta hii mada hapa ni ili kupata msaada wa kimawazo kuhusu binti mmoja tuliodumu kwenye mahusiano kwa miaka minne. Kipindi tunaanza tulikuwa...
11 Reactions
105 Replies
5K Views
Ee bwana ee! Juzi kati katika hali ya kupita pita hivi niko na mchizi wangu, si tukajikuta tumetulia eneo flani tunapiga stori na mrembo flani wa kishua huku tukimwagilia moyo. Nikawa najipigia...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Nataka kuoa, lakini yanaweza yakatokea ya kutokea hivi utaratibu wa kuvunja ndoa upoje? Mliovunja ndoa zenu naombeni uzoefu wenu..
2 Reactions
104 Replies
16K Views
Unawezaje kumtongoza au kumfanya mwanamke ambaye hakupendi akupende? Mimi kuna mwanamke ambaye namtaka ila kwa bahati mbaya mwanamke huyo kama anavyosema yeye ni kuwa hanipendi! Ila ananipa mda...
0 Reactions
2 Replies
380 Views
Hii inawahusu hasa wanaume/mabaharia wanaopenda kuchukua totoz maeneo mbali mbali. Kuna siku tulikuwa kwenye kikao cha kiume na mabaharia wenzangu, tukawa tunabadilishana mawazo na katika...
15 Reactions
177 Replies
11K Views
Context izingatiwe Nivilio kila Kona, wanaume wakiuliza yako wapi mapenzi tuliosimuliwa na Babu zetu. Waliotuhadithia kuwa mapenzi si pesa bali hisia za wawili waliopendana na kuamua kuishi bila...
13 Reactions
76 Replies
4K Views
Dakika chache zilizopita ilikuwa siku yangu ya kuzaliwa ila nina utaratibu wa kuacha tu siku ipite bila kufanya taratibu yoyote. Lakini marafiki zangu leo wamenishangaza baada ya usiku kunitegea...
23 Reactions
80 Replies
4K Views
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo. Hata nkimtongoza...
17 Reactions
154 Replies
11K Views
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums. Ndugu zangu watanzania, hivi mnajua ya kwamba; Utakachokuwa unamsimulia sweetheart wako siku za mwanzoni penzi lenu linapokuwa...
31 Reactions
210 Replies
22K Views
Habari zenu waungwana wa humu JamiiForums. Jamani nyie waungwana, katika haya maisha jitahidi sana usiwe sehemu/sababu ya ndoa za rafiki zako kuvunjika. Hivi utasijikiaje ukiwaona watoto...
30 Reactions
245 Replies
18K Views
"Ndio maana ikatokea huko kwenye mahusiano na mwanaume, halafu ukampigia simu akutumie hata elfu kumi, utamsikia akisema, njoo nyumbani kwangu uchukue",alisikika mwanadada mmoja akizungumza kwa...
9 Reactions
20 Replies
3K Views
Juzi nilikuwa na safari kwenye mkoa fulani nikaamua nipite kumsalimia shemeji yangu(mke wa aliyekuwa rafiki yangu) ambaye amefiwa na mme wake miezi michache iliyopita, nilishangaa kumkuta shemeji...
14 Reactions
28 Replies
3K Views
Hivi karibuni nilileta uzi unaosema; Nimekuta vitu vya mwanaume chumbani kwa mpenzi wangu, naomba ushauri tafadhali Huu ni mrejesho bada ya kukuta vitu vya mwanaume mwingine imebidi niombe wiki...
61 Reactions
158 Replies
55K Views
Back
Top Bottom