Dadadeki hivi mshakutana n shetwani wa kike kabla hujampata au siku za mwanzo baada ya kumla alikuwa anapiga simu na kutext mara kwa mara.
Pyu baada kamda kidogo anakuwa Anti biper anti mfupi...
Unakuta mwanaume anafamilia yake anakorofisha na mke wake anakwenda kutafuta mchepuka. Akifika huko na hasira zake anadanganya hajaoa au kaoa lakn hampendi mkewe, anaenda mbali zaidi anasema...
Wakuu habari za muda?
Nina jambo kidogo tushirikishane maana tunatakiwa kuelezana vizur hili naamini linaweza kuamsha au kusaidia baadhi ya watu kujua ni umri upi ni sahihi kuoa na kuolewa kwa...
Salaam ndugu zangu humu.
Naomba kufahamu kwa anaejua kama kuna madhara ya kutofanya mapenzi kwa muda mrefu hasa kwa mwanaume kama yapo na kama yapo ni yapi?
Naomba ushirikiano wenu.
Hili ni jambo linalonishangaza sana. Kumekuwa na desturi ya binadamu wanaojihusisha na mapenzi ya namna nyingine kujitangaza hadharani kwamba wanaojihusisha na aina hiyo ya mapenzi.
Kwani...
Habari zenu ndugu wana JamiiForums, nimeona kama kawaida yangu na hili niwashirikishe kuna ndugu wa karibu mwenye jinsia ya kike umri wake kwa sasa anaweza kufikia miaka 52 amekuwa na tabia ambayo...
Anaandika Robert Heriel.
Haijalishi atakuambia nini, haijalishi atakupa nini. Mwanaume hawezi kukupenda Kama anavyompenda mkewe.
Hilo wala sio siri, wanaume wote duniani tupo hivyo.
Asije...
Wasalam wana JF za mida hii?
Nimekuja na mada hii, siku hizi wadada wananuka shida. Yaani ukichukua tu namba yake ni kama umejitafutia matatizo, maana ile mnaanza tu mawasiliano utaambiwa na...
Wakuu mambo vipi? Mimi hali yangu si nzuri sana.
Naandika uzi huu nikiwa na maumivu sana kwenye uume wangu, sijui kama alinifanyia makusudi au laa. Kuna mwanamke nimetoka kupiga (kwa leo lengo...
Habari za mchana wapendwa wana JF
Kwanza kabisa natoa ninamshukuru Mungu kwa kunijalia pumzi na afya njema
Napenda kutoa mrejesho wa uzi wangu ambao niliuleta kwenye hili jukwaa umepita muda...
Una mke wako ambaye umeishi naye kwa miaka kadha hadi sasa. Je ni sehemu gani za mwili wake ambazo alama za viganja vyako (fingerprint) zikitafutwa hazitaonekana? (Sitarajii kutajwa sehemu za...
Miriam Lukindo Mauki anaandika;
Ukiona mume wako kachepuka na mfanyakazi wa kazi za ndani (na mara nyingine huwaoa kabisa), kuna mambo mawili;
1. Ni mwanamke mwenye lawama nyingi, yaani...
Bado tupo kwenye kitabu Cha MWANZO...Bado tupo na ukoo wa Yuda....Bado tupo na mjane Tamari.
Ni kitabu Cha MWANZO 38:11-26
Baada ya mzaliwa wa pili wa Yuda kufa(Onan) ...Yuda akamwambia Tamari...
Mambo vipi?
Iwe umeoa au una mpenzi, ukimfumania mubashara utafanya nini? Kama ni kweli unaishi naye kwa akili, utamshika mkono muondoke kuendelea na maisha.
Kama utapiga, kuua, kuzimia, kupata...
Kuna baadhi ya wanaume wanatabia ya kutishia kifo kwa wapenzi au hata wake zao.
Unakuta mwanaume anamwambia mpenzi wake ukichepuka ntakuua.. Halafu bahati mbaya asilimia kubwa wanaosema hivyo ni...
Wakuu,
Usikubali mke au mpenzi wako kuwa na vitu vifuatavyo ambavyo ni hatarishi kwa mahusiano yenu.
1. Usiruhusu mkeo kuwa na bodaboda wake, bobaboda wa mkeo kuna uwezekano mkubwa akamla.
2...
Mimi mwenzenu sijui nimeumbwa na moyo wa namna gani, yaani kuna muda najilaumu kwanini nipo hivi! Mimi huwa sina muda wa kupenda wanawake wengi na siweza kutoka na wanawake wawili kwa kipindi...
Habari za asubuhi wapendwa,
Mimi ni member wa JamiiForums kwa muda mrefu ila nimesajili ID mpya kwa sababu maalum na hayo niliyooyandika ni ya kweli na ndio hali halisi
''Unaroho mbaya ndio...
Ni siku nyingi zimepita, nimeona ni vyema nitoe mrejesho. Kesi ilimalizika mwaka 2017, na nilipata talaka yangu, hilo ndilo jambo la msingi kwangu.
Alifanikiwa kuchukua gari polisi maana polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.