Habarii..
Kabla ya kuandika huu mkasa uliotokea miezi kadhaa iliyopita, ilibidi niukumbuke sana ule uzi wetu wa kula tunda kimasihara
Acha nifike kwenye mada..
Miezi michache iliyopita, mshkaji...
Habarini wana JF,
Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.
Nakumbuka...
Habari za mchana wapendwa
Kwanza napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa Jamii Forum na members mliotoa michango yenu. Nimeona si vizuri kukaa kimya bila kuleta mrejesho wa kinachoendelea...
Njoo tushirikishane uzoefu kuhusu vizinga vya wanawake wa hapa na pale. Kwa upande wangu kuanzia mwezi wa kwanza hadi sasa mwezi wa kumi vizinga tu nilivyopangua ni zaidi ya milioni 2 na bado hapo...
Ni huyu mke ninaekaa naye, juzi tuligombana mara baada ya yeye kukuta meseji ya mwanamke mwingine akiniomba nimpitishie hela ya kula.
Nikiri wazi kweli nilikosea, na niliongea naye nikijua...
Nilikutana na huyu binti wa kimwera mrembo na nusu guu la bia na shepu la kuombea mkopo bank yoyote nchi hii tukawa tunawasiliana vizur
Siku moja akaja geto akasema hakai saana akaja nikamshika...
Bwana Ali ndoa yake ina mwaka wa tano, tangu ndoa ikiwa na miaka mitatu ugomvi usio na ukomo ulianza. Ali alikuwa akimtuhumu mkewe Asha kwa kutembea na bosi wake.
Mtoto wao ana mwaka wa pili...
Hii no fap challenge inahusu kujizuia kuzitoa shahawa kwa kufanya vitendo kwa mwili ama kutumia akili kuwaza, vitendo vinaweza kuwa kama sex au kujichua na akili ni pale unajenga mawazo ya kingono...
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wote kwa pamoja tuitikie kazi iendelee. Natumai wanajukwaa la MMU hamjambo, mimi kama mwenyekiti chipukizi wa jukwaa hili naomba kuileta...
Wanawake hua siwaelewi.
Kwanza hawajui zama hizi ukitongozwa umepewa thamani ya juu sana. Maana hivyo viungo vyenu vinapatikana bila kutongoza.
Sasa unakuta mwanamke anatongozwa anatoa majibu...
1. Binti alikuwa mwanachuo, chuo flani Mkoani. Nimeenda kikazi ndo bado kijana miaka hiyo. Katika kupita pita town nikakutana naye kwenye duka moja la vinywaji. Nikamtamani nikaomba namba ya simu...
Ndoa Kwa wenzetu wenye I.Q kubwa sio kama vile tuzaniavyo sisi huku afrika, kwao ndoa huwa zinaenda au huwa na malengo ya ndani zaidi, ambayo pengine ni ya kitabia, akili za familia fulani na...
Majibu ya sensa yamevuja uko "Katika kila vijana kumi, kuna vijana kumi wanateseka na mapenzi".
Umeshawahi mfata msichana mkiwa sekondari akakujibu shombo kinoma, halafu baada ya miaka kama 9...
Roho ya mauti ni mbaya sana, kabla hujaingia kwenye mahusiano na mtu, jitahidi umjue.
Jua atleast mahusiano yake matatu nyuma yaliishaje, yalikuwaje?
Kuna mtu ukiingia naye tu kwenye mahusiano...
Tukiachana na tereza wa kule Kigoma ambao ni wanaume ambao walikuwa wakitembea uchi usiku huku mwili mzima wakiwa wamejimiminia mafuta ya mawese kisha kwenda kwenye majumba ya watu, kuvunja...
Kama hauna kipato au fedha za kumhudumia mwanamke uliyenae kwenye mahusiano basi ujue:
1. Muda wako wa kuwa kwenye mahusiano haujafika.
2. Hauna mapenzi ya kweli kwa huyo mdada.
3. Unaendeshwa...
Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano. Ila kwa sasa sina hisia naye kabisa, natafuta njia nzuri ya kumpiga chini.
Je, nimchane simtaki au nimpotezee kimya kimya, maana anatuma tuma ujumbe kila...
Mdada mmoja alikuwa anauza kibanda cha chips, alinivutia na nilikuwa na mpango wa kumtongoza, kabla sijamtongoza nlimpa Tsh. elfu 2 anipe chips za buku jero.
Chenji ya jero akanipiga kwa...
Ngoja nimtafute mrembo hapa hapa JamiiForums ili nikafunge naye ndoa ya Bomani ili niishi kwa afya, amani na furaha. Hiyo ya Kanisani nawaachia tu wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.