Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hii nakupa chukua.. Hamna uchafu unaokuja mahali pasafi hata siku moja. Ndiyo maana unakuta mtu kama roho yako imejaa Yesu, mtu hata akuendee kwa waganga hakupati, hii pia nakupa chukua. Issue...
7 Reactions
58 Replies
4K Views
Inauma sanaa maumivu ni makali nikikojoa ni usaha ulioganda maumivu kama mtu ananichomachoma na sindano. Chizi anachekesha akiwa siyo ndugu yako. Msiba ni wa kawaida usipokuwa nyumbani kwako...
32 Reactions
71 Replies
4K Views
Daah kuna situation moja imenitokea muda huu. Kuna demu fulani nilitaka nimtongoze hapa mtaani yaani jirani yetu anaitwa A  ila huyu demu ana rafiki yake ambaye amezoeana na mimi anaitwa M...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Kuna makabila ya kuyaamini lakini sio mangosha, yaani amemenyewa tena kiustadi mkubwa, uno la kimama mchungaji kiasi kwamba mpaka mtumishi aliyekuwa akizagamuana naye ameshindwa kuendelea kuishi...
2 Reactions
49 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wakuu, natumai nyote wazima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni hivi kuna binti mmoja hivi nilifahamiana naye kwenye harakati za kutafuta mkate wa kila siku, yeye...
8 Reactions
137 Replies
5K Views
Tumsifu, asalaam aleykum Naandika hata nikiwa na mabubujiko ya machozi moyoni yaani role model wa maisha yangu kwa mke niliyemtarajia naye ameniangusha jamaniiii. Dahhh hii dunia sio fair kabisa...
9 Reactions
60 Replies
4K Views
Sijawahi sikia mtu kafa kisa hajapewa salaam! NB: Kuna sababu nyingi zinazopelekea upungufu wa nguvu za kiume na kwa upande wa wanawake sijajua neno zuri moja lakulitumia (nguvu za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuhusu kitendea kazi, kiko salama, sina tatizo la nguvu za kiume ila nikimaliza tu, yaani wiki nzima nasikia uchovu, nasikia kulala lala tu. Naweza lala mchana hata masaa matano kisha na usiku...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Nimekuwa Kigoma sasa kwa muda wa takribani miaka 3. Kipindi nafika nikawa nasika story za wanawake wa Ujiji kuwa kama kijana unataka upotelee kwenye dimbwi na mahaba..basi nenda...
8 Reactions
115 Replies
29K Views
‘Dodo’, ile ngoma la King Kiba, kalisikilize tena leo. Yawezekana hukuelewa jana na majuzi ile. Ni ngoma ambayo unaweza kuitumia kusaka ‘waifu’ flan hivi na ukafanaikiwa. Ni ngoma ambayo inakuwa...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Wadau habari za muda huu poleni na majukumu na Mungu awabariki katika kazi zenu za mikono. Twende kwenye mada moja kwa moja, kuna mwanamke mmoja mwenye miaka 34 hivi, hajaolewa, mtoto wa Kikurya...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Wazima wote humu ndani? Hii tabia ya baadhi ya partner kwenye couple mpya kusimulia mambo yaliyopita kwenye mahusiano inakera. Sijui watu wanatumia kama defensive mechanism au ni ufahari. Kama...
3 Reactions
13 Replies
876 Views
Habari wakuu, Naombeni kunisaidia njia ya kumuacha mwanamke unayempenda sana, yaani ukikaa dk 5 lazima umuwaze. Nahitaji kumuacha kwasababu zangu binafsi, ingawa ananipenda sana na mimi nampenda...
8 Reactions
87 Replies
5K Views
Miaka iliyopita, nilichepuka na dada mmoja; kwa bahati mbaya yule mdada alinogewa na akatamani kupindua meza; kwa kuniwekea mazingira, nikikutana na mwanamke mwingine, jogoo asisimame ila kwake...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Mpaka umepata nguvu ya kuingia JF sipati kigugumizi ku-assume kuwa wewe ni mzima wa afya,,tumshukuru mungu[emoji120]. Katika kuishi ishi kwangu nimekuwa na mahusiano na wasichana wakawaida sana...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Leo nilikuwa naongea na mpenzi wangu, tulivyo kuwa tunaongea nikamuuliza swali hili; "Ni mwanaume wa aina gani ambaye anavutiwa naye?" Cha ajabu vigezo alivyotoa sina hata kimoja. Hivi wakubwa...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Kupenda sana kusalimiwa ni dalili ya umaskini, kupenda sana kusalimia ni dalili ya uungwana, kwakua we sio maskin(wa fikra lakini maana nna uhakika hela huna[emoji23]) na mimi sio muungwana...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Hii siri leo nawaibia dada zangu, wakulungwa mabinti na majimama ya humu jamiii forum, Ukiona tu mpenzi/rafiki yako anakwambia hana pesa ya kwenda kukuweka(kukupeleka guest mkanyanduane) ujue...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Wanawake wenye jina la mama mdogo nawapata kirahisi, hii inaweza kuhusiana na mambo ya koroho? Ni jina la yule mama mdogo ambaye wamezoena zaidi na mama ukiachana na wadogo zake wengine wawili wa...
1 Reactions
5 Replies
922 Views
Mimi sijawahi kupanga nyumba. Ila kuna baadhi ya vitu na vionaga kwenye filamu za wabongo na sio watanzania tu filamu nyingi za Afrika kuhusu baba au mama mwenye nyumba kuwa mkali saana Au...
1 Reactions
4 Replies
952 Views
Back
Top Bottom