Swala la ngono hovyo katika jamii limefikia hali mbaya. Boss kulala na wafanyakazi wa chini yake, akiyewekeza kidogo hata kwa mradi wa chai anataka kulala na wauza chai wake. Huko serikalini...
Leo asubuhi nimeamka zangu kujiwekea maji ya kuoga ya moto si unajua baridi inavyo piga
Basi ile nimewaacha jiko langu la gesi nimeweka maji. Picha likaanza nimeingia ndani kipindi hicho haka...
Wasichana wa Tanzania wanaamza usista duu mapema sana.matokeo yake wamedumaa
Wakiwa kwenye public ,wanajifanya kula kidogo,tena chipsi vipande vichache,kuku atamdonoa donoa,samaki atakula kama...
Vijana ambao wameokoka wana heshima mbele za watu wote
Sijui ili mimi peke yangu ndo naonaga tu
Nina marafiki zangu ambao ni walokole saana tabia zao na matendo yao ni tofauti saana na yangu
Japo...
Kuna mahala hatukuenda sawa, kitendo kilichomfanya kukasirika akitegemea kwamba nitamnyenyekea na kumuomba msamaha.
Binafsi sielewi ilikuwaje hadi yeye kufahamiana kwa namna ile na rafiki yangu...
Kuliwahi kutolewa taarifa hivi karibuni kuwa ndoa 300 kwa mwezi (sawa na ndoa 10 kwa siku) huvunjika jijini Dar es Salaam pekee.
Ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo hili, mimi Sexless...
Matukio haya nayashuhudia katika jamii, kuna mwanamke yeye ana mpenzi wake ambaye wote wanakunywa pombe, kila siku kupigana night hii ni hatari. Chondechonde wanaume mtaishiwa kufungwa au kupoteza...
Peace be with you all,
Week hii niko Dodoma kwa masuala fulani. Jana jioni baada ya mizunguko wakati narudi hotel (Morena hotel) kabla sijafika round about kutokea Mipango nikamuona kimwa asee...
Habarini wana Jamvi,
Katika wanawake wengi niliowapitia nimegundua ni wa kabila moja tu kutoka Kigoma Waha ndo wavumilivu katika maisha na hawana tamaa sana hata ukiwa huna kitu mwanamke wa...
Usicheze na hisia za mwanamke
Eti mwanamke akipenda ua anapenda kweli
Na akiamua kucheat ana cheat kweli
Na mwanamke akikuacha ua arudi nyuma ata ukimpa bilioni 2
Kauli hizi zilikuwa zina...
Wakuu
MDA SI mrefu nmetoka kupigiwa Simu na rafiki yangu mmoja wa karibu Sana Ni DOKTA hospital moja ya wahindi hapa mjini,Na anamiliki duka moja la dawa za binadamu kubwa Kiasi ambalo suka ilo...
Ni matumaimi yangu wote wazima.
Naombeni kujuzwa kwa kawaida inachukua muda gani kutoka siku ulipeleka barua ya posa ukweni mpaka siku ambayo utatakiwa kurudi kutoa mahari? Kama hakuna muda rasmi...
Naa'm wakurugenzi, natumaini mu wazima wa afya.
Moja kwa moja niende kwenye mada. Moja kati ya lengo la kufanya mapenzi ni kufika kileleni, lakini linapokuja suala la kuchelewa inakuwa...
Kwa kadiri siku zinavyoenda tusipo liangalia hili suala kwa undani tutajikuta dunia yote wanabaki wanawake hata kama kutakuwa na jinsia mbili tofauti
Unajua kwa nini haiwezekani mwanaume...
Kuanzia wasanii wetu wa kiume wa muziki wa kizazi kipya(Bongo Flava), waigizaji wa kiume kutoka Hollywood n.k, wote kwenye videos zao kwa kiasi kikubwa wanakuwa wananyenyekea kwa wanawake...
Habari zenu watanzania wenzangu natumaini ni wazima na mnaendelea vizuri na majukumu ya kifamilia na mambo mengine ya kimaisha.
Lengo hasa la kuleta uzi huu ni kuweza kufahamu kipi hasa...
Habari wanajukwaa nimemtolea mdada uvivu jana nikamchana mazima kama inavyojieleza hapo juu, nikuita Kwa huu mwaliko nakutaka uwe mpenzi wangu karibu Kwa maswali au ujumbe wowote unajieleza kwa...
Habari zenu watanzania wenzangu
Kwanza rejea uzi hapo chini
Nahitaji mwanaume wa kunipa ujauzito lakini hatohusika kwenye malezi ya mtoto.
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2026361/...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.