Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kwenye Pete ya uchumba...sherehe Get together..sherehe Pete ya ndoa ....sherehe Ndoa...sherehe Fungate...shereheeee Nguumi...kimyaaaa Kwa wazazi...kimyaaaa Kkutengana...kimyaaaaaaaaa...
1 Reactions
8 Replies
911 Views
Mbinu hii ni ya kijesh kujua nafas yako ndani ya penzi lako na please ifanye hii at your own risk msinitaje hapo baadae mahakamani au ukiwa unahojiwa na waandishi sitaki lawama dandia mtumbwi wa...
2 Reactions
59 Replies
3K Views
Wanawake iwe huku au mitaani sema wanaume wahuku wamezidi sana wanaona wanawake ni malaya sana yaani mnatuona huku siso hatuna dira yaani tunategemea tu kutumiwa nakupewa hela nanyie. Sina...
5 Reactions
89 Replies
3K Views
Habarini ndugu zangu, Acha niende kwenye mada moja kwa moja, iko hivi kumekuwa na misemo ya kujifariji kwa sisi vijana eti 'kuwa single unainyoy ' au 'ukiwa single unakuwa huru na mambo yako '...
23 Reactions
182 Replies
7K Views
Wakuu za saa hizi. Binafsi na marafiki zangu wengi wamekuwa wakinipa kesi kama hizi, kwamba unakuta mwamba kamfukuzia demu, then anajibiwa na demu kuwa hataki mahusiano bali urafiki nae. Sasa...
7 Reactions
90 Replies
6K Views
Nakumbuka ilikua mwaka 2014 wakati wife ana mtoto mchanga ilinibidi kutafuta msichana wa kazi wa kusaidia, kijana mmoja alinisaidia kupata mdogo wake wa tumbo moja ,kabinti kanaitwa Fau kakaja...
32 Reactions
78 Replies
14K Views
ANAOMBA USHAURI Naomba unipostie kwa group Wamama wanishauri Mume wangu kanuna wiki ya pili, sababu ya kujinunisha hata siijui jamani, hajanigusa siku zote. Sasa Mungu sio athumani, Kwenye simu...
7 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama wewe mwenyewe umeshindwa kujisimamia, utawezaje kumsimamia mke pamoja na watoto? Narudia tena kukushauri, usioe kama kula yako ni ya shida; tatua kwanza changamoto ulizonazo, na uhakikishe...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Unavailable
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu habarini za majukumu? Ninatumaini jitihada za kujipatia mkate wa kila siku zinaendelea salama... Siku ya leo nimeitumia kwa asilimia kubwa hapa stend ya mabasi ya kwenda mkoa baada ya basi...
14 Reactions
47 Replies
2K Views
Hivi nyie binadamu mmekuaje siku hizi? Mnaboa ujue agriiii!! Wanawake wengi sasa hivi wanalalamika hamuwagusi kabisa ndani ya nyumba, hapa nawaongelea mliooa. Mimi nina mwezi sasa tangu tarehe 3...
35 Reactions
316 Replies
21K Views
Tumekubaliana kila nikihitaji nimwambie awe anakuja. Atakuwa ananitumia ratiba yake ya mzunguko kila mwezi ili nisimuite siku zisizokuwa nzuri kwake. Uzuri ni kwamba tumeshapima na bei/tozo...
5 Reactions
63 Replies
3K Views
Kisa hiki kitakuwa na episode 2 tu ili nisichoshe wasomaji. Kisa cha kweli ambacho huwa nakumbuka kinaniuma sana nilishaapa sitorudia tena,nikikumbuka yaliyotokea naamini kabisa wanawake wakipenda...
21 Reactions
194 Replies
29K Views
Habari wakuu? Nimekuwa na mahusiano mengi na warembo mbalimbali, kipindi cha huko nyuma; na ikapelekea wawili kuwa na watoto na mmoja ni mjamzito. Changamoto iliyopo; kwa sasa nataka nibaki njia...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Dogo ana mchepuko wake amenizoea mpaka mtaani kwao wanajua mi ndiyo namvua chupi. Maana asiponiona anamnunia mpaka bwana wake ambae ni mdogo wangu. Shida imekuja nilimdanganya na ameamini kwamba...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mazungumzo kati ya Mume na Mwanasaikolojia : P: Unafanya kazi gani Bwana Bony? H: Ninafanya kazi kama Mhasibu katika Benki. P: Mke wako? H: Hafanyi kazi, ni mama wa nyumbani tu. P: Nani...
16 Reactions
28 Replies
3K Views
Dah yani binafsi huwa nashindwa kuelewa inakuwaje kuwaje hadi wewe mwanamke unaamua kumuomba mwanaume hela ya Pedi. Though sijaona mengi duniani ila toka nizaliwe sijawahi kuwa kwenye mahusiano...
1 Reactions
61 Replies
3K Views
S.hikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Ndugu zangu watanzania; Ukimtendea mtu wema...
72 Reactions
152 Replies
16K Views
Ilikua ni siku tulivu tu Kama siku nyingine, basi shetani nae alikua kazini Kama kawaida yake. Kifupi mke wangu huyu hana tabia kabisa ya kushika simu yangu hadi majuzi alipo ingiwa na tamaa za...
5 Reactions
64 Replies
6K Views
Hakuna mwanamke anayeweza kuhimili jitihada za mwanaume kamili. Kila siku wanakuwa na sababu za kutoshiriki. Sasa ni wakati muafaka kuwa na wanawake wengi ili kupunguza ugomvi na mauaji...
29 Reactions
106 Replies
5K Views
Back
Top Bottom