Unakuta Jamaa kaoa mwanamke ambaye ana urafiki wa karibu na mchepuko wake. Lakini pia jamaa huyohuyo ana mdogo wake wa kike ambaye ni shosti wa mke wake na pia ni rafiki mkubwa wa mchepuko wake...
Kijana wa kiume mwenye zaidi ya miaka 25 na una geto lako mwenyewe acha kuishi mwenyewe kama Jini, tafuta binti anzeni maisha na mpate watoto dunia ipate vijana wapya.
Ukiangalia sababu kubwa ya...
Lengo la kuchapisha habari hii ni kutahadharishana na kuachana na Michepuko ambayo huleta sintofahamu katika ndoa zetu. Haya mambo sio poa kabisa na tusi yaendekeze hata kidogo.
Kabla ya kuanza...
Habari ndugu jamaa na marafiki.
Jambo Kubwa nawapa kisa changu alafu mnisaidie kujibu swali langu lililosimama kama kichwa cha habari hii.
Wakati nimeanza chuo, chuo flani chenye jina kubwa...
Habari wapendwa?
Samahani, nataka kupata 'experience' toka kwenu wanawake wenzangu ambao huenda mmezaa hajaolewa au hujazaa ila hujaolewa. Hivi kukaa kwenu hivo bila mume mmeona kuna madhara...
Kila ukikutana na bar au gest wadada wejaaa aisee imekuwa kama dar yan hapa msamvu itigi sijui samaki samaki naengne machimbo kibao ila mbna hamna pisi Kali za vyuo et wakulungwa
Anachofanya Manara kuoa kila baada ya miezi miwili naona km anafanya uzinzi kwa kigezo cha kufuata misingi ya ndoa.
Upande wa Ukristo asingeweza kufanya huu upuuzi, mwanamke ambaye amemtambulisha...
Licha ya kupost status ya wimbo wa Mario Dear Ex tena pale anaposema utamrudia Ex wako au bora kufa na kujiona kuwa mimi ni Handsome boy sana kuwa I don't deserve to date short girls. Kumbe ni...
Yaani kuna wanawake ukimwangalia hivi unamuona kama ni smart, ana maadili mzuri, hata shule ipo kidogo
Mnapoanza mahusiano, unashangazwa kidogo na tabia zake. Kwa mfano ukimuuliza siku zake...
Siku kadhaa hapo nyuma nilikuwa ni mwalikwa katika kongamano fulani lililohusisha wizara na taasisi kadhaa za serikali katika hoteli moja hapa mjini.
Muda wa breakfast, nikiwa nimeshakaa tayari...
Kijana kuwa na Wachumba wengi utapoteza pesa [emoji18]Mmoja utampa kidogo,Ila kidogo kwà wengi ni kingi,Magonjwa na kuchelewa Malengo yako[emoji18],Utahisi kuwafaidi Ila mwisho ni Majuto na...
Kama title inavyojieleza
Naombeni ufafanuzi juu ya hili jamanii
Kuna binti aged 18 single mother nilikutana nae kipindi cha sensa nikaomba namba tukaanza mawasiliano
Baada ya muda nikaomba...
Katika kumpenda mtu huwa kuna vitu vingi sanaaa na tunatofautiana.
Kuna Wavulana wanaona mwanamke mwenye makalio makubwa ndiye anabamba sana na Wapo wengine hupenda wanawake modell au Wembamba...
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.
Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na...
Nakumbuka mafundisho fulani hivi niliyopewa mwaka fulani kwamba kila jambo lina kanuni au 'principle' zake, ukishindwa kucheza ndani ya hizo principle umekwisha 'kipopoma', vilio vingi vya...
Hakika Ngoma ikivuma Sana inapasuka waswahili walinena, Leo ni siku mbaya sana ktk maisha yangu nahisi uwezo wangu wa kufikiri umefika mwisho.
Ishu ipo hivi jana nilikuwa na mchepuko wangu kwenye...
Wanawake walio wengi, walishajiwekea utaratibu wa wao kuhudumiwa tu kwenye mambo yanayohusu pesa. Na si wao kumuhudumia mwanaume.
Hii imepelekea kwa wanaume wengi kuwa watumwa, kuhangaika usiku...
Kuna Dogo Baada Ya Kumaliza Chuo. Kaka Zake Wanne Walichanga Kila Mmoja Milioni Tatu ,Wakampa Kama Mtaji.
Dogo Yeye Akaenda Kumfungulia Mchumba Wake Duka La Vipodozi Na Urembo. Mchumba wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.